Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Game Ya Jana imeprove Kuwa Midfield Yetu inaweza Kupress Vizuri Zaidi bila Ya Hata Kuwemo Coutinho! Je bado yupo aliye na wasiwasi na Hilo?
 
Sometime MEDIA zinamihemko Kweli...

Ukweli Usiofichika Ni Kwamba "FIRMINO IS FAR MILE AWAY BETTER KULIKO GABRIEL JESUS"
Kuanzia Pressing, Ufungaji, Attacking na Assissting!

Lakini
still Media Za Brazil Zinampromote G. Jesus Kuwa awe Striker Namba Moja World Cup 2018 na wamembariza jina la "New Ronaldo".

Ili niondoshe Biased basi Jesus ni Kitu Kimoja tu anachomzidi Firmino! Ni injury.. Jesus ni injury Mara kwa Mara Kuliko Firmino.
 
Hongereni majogoo wa jiji maana ule mfupa ulikuwa mgumu sana
 
Hebu Tuangalie na Hili!!!

• Coutinho is gone under Klopp
• Can is on his way to go under Klopp
• Lucas Leiva gone under Klopp
• Strridge is on his way to go under Klopp
• Mignolet on his way to loss his position
• Hendo on his way to loss position
• Moreno on his way to loss position
• Clyne on his way to loss position

NEW SQUAD:

• KARIUS (Also new Keeper to come)

• GOMEZ/TAA - MATIP - VVD ROBO

• AOC - KEITA - GINI

• MO - BOBBY - MANEMANE

Next Season FXI Yetu itakuwa Ni Timu Mpya iliyo na Wachezaji Aliowaleta Klopp Yeye Mwenyewe (Except Firmino) bila Ya Kuwemo Mchezaji aliyerithi Kutoka Kwa Mtangulizi Wake...

Kwahiyo Hapo Klopp Kaunda Timu Yake Na Atakuwa responsible Kwa Kila Kitu na Kwenye Mafanikio atachukua Full Credit! Penye Maharibiko atakuwa Full blamed.
 
(3).jpg
 
Tetesi

Liverpool wapo tayari kupambana na Manchester City na Manchester United katika kutaka kumsajili mshambuliaji wa Arsenal Alexis Sanchez, 29. (Sunday Mirror)
 
Tetesi

Liverpool wametupilia mbali mpango wa kumsaini wing'a wa Monaco Thomas Lemarbada baada klabu hiyo kuomba pauni milioni 90 kwa mchezaji huyo wa miaka 22. (Times
 
Tetesi

Liverpool wapo tayari kupambana na Manchester City na Manchester United katika kutaka kumsajili mshambuliaji wa Arsenal Alexis Sanchez, 29. (Sunday Mirror)


Miaka 29?????
Ni Rumors za Media tu lakini Klopp hana plan ya Kusajili Wazee kama Huyu!!! Kwanza Kesha Huyu Hamna Kitu tena ni mzigo tu na wala hatufai.
 
Mkuu nikisema nifukue post za nyuma utaaibika sana hasa suala la coutinho ulivyokua unapanic na kusema udaku wa media. Tulia,wenye timu ndo wanaamua uzee wa wachezaji na sio mashabiki.
Miaka 29?????
Ni Rumors za Media tu lakini Klopp hana plan ya Kusajili Wazee kama Huyu!!! Kwanza Kesha Huyu Hamna Kitu tena ni mzigo tu na wala hatufai.
 
Mkuu nikisema nifukue post za nyuma utaaibika sana hasa suala la coutinho ulivyokua unapanic na kusema udaku wa media. Tulia,wenye timu ndo wanaamua uzee wa wachezaji na sio mashabiki.

Kwa swala la Coutinho nilikuwa nipo Sahihi Kwa sababu alikuwa Yupo Katikati ya Mazungumzo na Liverpool!
Angelikuwa alikataa mazungumzo na Timu kama alivyokataa Sanchez, Ozil na Can hapo nisingekuwa sahihi..
So, bado nasimamia hoja yangu!

Na kama ulinisoma Vizuri nilichokuwa nakolipinga Mimi ni Media rumors Kwani Hawakuwa Wakitoa Official news kutoka vyanzo Vya Club Bali ni Wavumishaji tu..
 
Huyu dogo Manuel Akanji Media Zilivumisha Kuwa Anatakiwa na Liverpool lakini leo Rasmi Amesajiliwa na Dortmund.


IMG_20180115_213946.jpg
 
Always napotezea malumbano ila naweka kumbukumbu. Bila media hizi habari tungepata wapi ati media rumours wakati ndo vyombo vinavyotulisha habari za wachezaji na timu zao.
Kwa swala la Coutinho nilikuwa nipo Sahihi Kwa sababu alikuwa Yupo Katikati ya Mazungumzo na Liverpool!
Angelikuwa alikataa mazungumzo na Timu kama alivyokataa Sanchez, Ozil na Can hapo nisingekuwa sahihi..
So, bado nasimamia hoja yangu!

Na kama ulinisoma Vizuri nilichokuwa nakolipinga Mimi ni Media rumors Kwani Hawakuwa Wakitoa Official news kutoka vyanzo Vya Club Bali ni Wavumishaji tu..
 
Tokea Robert Firmino aekewe Kipengele cha "Release Clause" katika Mkataba Wake! basi Liverpool imeondosha mpango Wa Kueka Kipengele hicho katika Mikataba ya Wachezaji Wake na Haiko tayari Kueka Kwa Mchezaji Yoyote yule kwa Kuhofia Yasije Yakawafika Kama ya Suarez.

Kwahiyo Ni Wazi Kuwa Emre Can ni lazima Ataondoka Liverpool Kwani Moja ya Sharti lake la Kusaini Mkataba mpya ni Kuwa aekewe Kipengele hicho katika Mkataba mpya jambo ambali FSG hawako tayari.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom