Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

usajili wa keita na VVD jumla yake ni paund mill 125..huku countinho akiuzwa kwa paund mill 145...hivyo kilichobaki ni paund mil 20..sitarajii usajili wowote wa kuzid hicho kilichobakia...au tupambane na vilivyopo..ni mawazo tuu ya kichaga yamenipeleka huku..
Unafuatilia mpira mkuu
 
It looks like Van djik won't make his premier league debut for liverpool as he is set to miss the match today.
 
It looks like Van djik won't make his premier league debut for liverpool as he is set to miss the match today.

Mitandao inasema VVD hatacheza kwasababu ya Hamstring injury lakini Liverpool hawajalithibitisha officially hilo!

Bali Klopp Amesema "No Guarantee" kama atampanga au hatampanga ila hakutoa sababu ni Nini...

Kwa Hiyo ni 50/50 Kucheza au Kutokucheza


Kuna uwezekano VVD asicheze game ya leo since ni majeruhi
 
Not too bad!
In fact no January signing until summer! Monaco wanadhani sisi ni Misukule baada ya Kuona Tumepata Mounga Wa Kutosha Kwa Kumuuza Coutinho eti wanataka £100m kwa Lemar ili aweze kumove hii January! Ridiculous...

Bora tusubiri Mpaka Summer Kuliko Kuwa Crazy Katika Market.
 
wakuu Lianzini na Malcom angalau bei zao sio kama wanazohitaji Monaco...au pia Seri...kipa naona Klopp atasubiri mpka mwezi wa sita
 
Liverpool team:
Karius
Gomez
Matip
Lovren
Robertson
Can
Wijnaldum
Oxlade-Chamberlain
Mane
Salah
Firmino.

Substitutes: Mignolet, Milner, Klavan, Lallana, Ings, Solanke, Alexander-Arnold.
 
Mignolet Yupo Bench na Karius Kaanza
[HASHTAG]#VVD[/HASHTAG] injury problem (Hamstring)
 
Arsenal nayeye amekuwa fcuked leo! Imebaki sisi wenyewe tu kufanya kweli! Tukiangusha gari basi tujilaumu wenyewe...
 
Baada Ya Makosa Ya Mignoleta Kupitiliza Kiwango Klopp leo Officially ameamua Kumtangaza Loris Karius Kuanza Kumueka Golini na atamuangalia Kama ataperform Vizuri Mechi ya leo tu basi Ataendelea Kukaba Golini Kama Kipa Namba 1 Wa Liverpool.


Klopp explains Karius selection against Man City
Binafsi naona mara 100 Migs acheze na makosa yake maana kuna muda huwa anatoka usingizini na ku perform vzuri kuliko uyu Kirus, ajachngamka kabisa na huwa mzembe sana. Ki ukwli tunahitaji GK wa maana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom