Immortal_MH
JF-Expert Member
- May 14, 2013
- 1,240
- 2,252
SahihishoNdani Ya Siku 2:
• Tumecheza Mechi 2
• Tumefunga Magoli 4
• Tumeconcede Goli 1
• Tumepata Points 6
Tumeconcede goli 2
SahihishoNdani Ya Siku 2:
• Tumecheza Mechi 2
• Tumefunga Magoli 4
• Tumeconcede Goli 1
• Tumepata Points 6
The man is currently not happy because he sees/thinks the respect,appreciation,faith and value he was given earlier by the manager and to some extent by the fans,are no longer there.Mechi na chelsea mane alicheleweshwa sub na mechi ilipoisha alionekana akimlaumu kocha, Jana kafunga hajashangilia, Alikua anatupa Ujumbe gan kwa kutokushangilia? Kuna kitu gan kinaendelea hapo?
Respect sana mkuu, unajua alikua na kaufalme kake, ilifikia hatua watu wakawa wanasema akiumia mane au kwenda afcon liver haifanyi vzr, kale kaufalme kamehamia kwa mo Salah, hilo litakua linamtesa sana na huenda ndio maana muda mwingine analazimisha kufunga hata Kama Kuna mtu yupo pazuri zaidi yake. Ni vizuri klopp akamtambua na kumpa matibabu ya kisaikolojia. Mpira ni kitu Cha ajabu Kuna siku atarudi kwenye fomu na loyalty watakua wanapokezana.The man is currently not happy because he sees/thinks the respect,appreciation,faith and value he was given earlier by the manager and to some extent by the fans,are no longer there.
As a human being i would have felt the same regarding Klopp's treatment towards him recently
Ukwel huyu jamaa nampenda kuliko wote liverpool maana ni zaid ya fighter ila naumia pia nikiona furaha yake ikipungua anfield klopp anajisahaulisha tu umuhimu wa huyu jamaaRespect sana mkuu, unajua alikua na kaufalme kake, ilifikia hatua watu wakawa wanasema akiumia mane au kwenda afcon liver haifanyi vzr, kale kaufalme kamehamia kwa mo Salah, hilo litakua linamtesa sana na huenda ndio maana muda mwingine analazimisha kufunga hata Kama Kuna mtu yupo pazuri zaidi yake. Ni vizuri klopp akamtambua na kumpa matibabu ya kisaikolojia. Mpira ni kitu Cha ajabu Kuna siku atarudi kwenye fomu na loyalty watakua wanapokezana.
The man is currently not happy because he sees/thinks the respect,appreciation,faith and value he was given earlier by the manager and to some extent by the fans,are no longer there.
As a human being i would have felt the same regarding Klopp's treatment towards him recently
Rotation haikwepekiMiongoni Mwa Wachezaji Waliokoseshwa Heshima Na Washabiki na Kutoaminika Mpaka Kwa Kocha Ni Mignolet, Moreno, Lovren na Henderson! Lakini mbona Hawana Bifu na ingawa uwezo wao Ni Mdogo lakini Wanapokuwa uwanjani Wanajituma kadri ya Kiasi cha uwezo wao na Wanakuwa na Furaha!!
Kwanini Kwa Sadio Mane iwe Tofauti wakati Bado anaaminiwa na Mashabiki pamona na Klopp??
Kilichopungua Kwa Mane Ni Hile Status Yake tu Yakuwa Ni "Main man" wa Livedpool lakini kafanya Kiburi...
Na Tabia Hii Kaianza Siku hile Ya Game na Chelsea!! Mimi Nahisi Kuna Sababu Nyengine Mbali inayomfanya Akose Furaha na si Kulilia Heshima.
Ninachodhani, Sababu Kubwa ya Mane Kuleta hizi sintofahamu Ni Kuwa Hakubaliani Na Kufanyiwa Rotation.
Kiukweli hili halibishiki Hakuna Mchezaji Hata Mmoja Duniani Anaekubali Kufanyiwa Rotation! Hata Hawa Kina Firmino na Coutinho huwa Hawapendi lakini Huyu Mane Yeye Kaamua Kuonesha waziwazi Kuwa Anachukia Kuekwa Bench Kwa Kisingizio Cha Rotation.
Kwani Rotation inaondosha Consistency ya Mchezaji!
Mtazame Gini uwezo wake ulivyishuka Kutokana Na Hii Rotation!!
By the way Sitegemei Tena Kurokea Kwa Hichi Kinachoitwa Rotation Kwani Kipindi Cha Mrundikano Wa Mechi Kimeshapita sasa tutaendelea Na Mechi Zetu za Kila Weekend.
Inaonekana huwajui FSG alichofanya Coutinho sio kitu kipya hapo Liverpool Sterling na Suarez walifanya the same na still wakauzwa ndio policy ya hao wamarekani na wamempata kocha anayefit kwenye policy zao .Kununua mchezaji kwa below £10m then kumuuza kwa £130 ni faida kubwa kwaoMashabiki Wa Liverpool Walichokipendekeza Kupitia Mitandao Mbali mbali Ya Kijamii!
1) Coutinho Asiuzwe
2) Liverpool iishtaki Nike & Barcelona kwa FIFA Kwa Kumvuruga Mchezaji Kinyume na Taratibu.
√ Hapo Barcelona itakumbana na Transfer Ban.
3) Hapo imuadhibu Coutinho Kwa Kumpokonya Namba Kikosi Cha Kwanza na Aishie Kusota Benchi.
4) Coutinho acheze Kama Mchezaji Wa Hakiba (Reserved) Kwa Kipindi Chote Cha Miaka 4 ya iliyobakia Ya Mkataba Wake.
5) Hapo Tayari Liverpool Wameshamharibia Ndoto Zake Za Kucheza Kombe LA Dunia Kwani Brazil Haichukui Wachezaji Wa Hakiba.
HILI LITAKUWA NI FUNZO KWA BARCELONA DHIDI YA LIVERPOOL KUVURUGA WACHEZAJI WETU! NA VILEVILE NI FUNDISHO KWA WAAMERIKA WA KUSINI KUTOHESHIMU MIKATABA YAO NA KUTAKA KUVURUGA TIMU
Baada ya michezo 22 msimu uliopta na msimu huu.
season 2016/17
Win 13
draw 06
loose 03
goals 51
concede 27
GD 24
position 4
pts 45
season 17/18
win 12
draw 08
loose 02
goals 50
concede 25
GD 25
position 04
pts 44