KweliKwanza
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,520
- 2,820
Nilikuwa nafatilia almost kila mechi tangu 2007Coutinho Mpaka Anatia Saini Mkataba Wa Kujiunga Na Liverpool Hakuna Mtu Aliyekuwa Akimrate Kwani Hakuwa na Kiwango Chochote Cha Maana Kinachotambulika Baali Alikuwa Ni Mchezaji Wa Mikopo tu...
Mpaka Pia Nimegundua Ulikuwa Humjui Coutinho.
Tuishie Hapa. Ova