Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀

ههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههههه
 
Mungu mkubwa sana
Pls tuingie kwenye official page ya Liverpool tutoe maoni yetu,nadhani sasa Mane na Klopp ni personal toka alipokaa nje game na Chelsea na baadae Mane kumpa kubwa alipokuwa anamshauri!
Kwa nn Mane leo atoke wkt ndiyo alikuwa ana uhai sana?
 
Ingawa klopp anataka kutuua kwa presha ila kwenye hizi mechi ya leicester na burnley nimependa fighting spirit ya wachezaji
 
Sasa wacha nijiandae niwavizie Manure Manake Toni Mara Hamuachi Mtu salama! 😀 😀 😀
 
Mkuu tatizo Si Kucheza mpira au Kutokucheza! Kwa zama za sasa huwezi kuingiza timu kucheza mpira Wa Kubahatisha Ushindi.

Lazima tuingize Timu Ya Uhakika! Kwasasa Firmino alivyo on Fire huwezi kumueka Bench Hata Siku moja.
Tatizo kuchoka
Ni dhahiri wa2 huchoka
We umecheza juz af leo tena ucheze
Misuli huchemka
Then ukiangalia mechi ya mwaka jana boxing day
Nahis ilikuwa Liver na Sunderland, wachezaj walikuwa wamechoka mwanzomwisho
Yaan mpaka ukiangalia2 unaona
 
Mkuu tatizo Si Kucheza mpira au Kutokucheza! Kwa zama za sasa huwezi kuingiza timu kucheza mpira Wa Kubahatisha Ushindi.

Lazima tuingize Timu Ya Uhakika! Kwasasa Firmino alivyo on Fire huwezi kumueka Bench Hata Siku moja.
Ila ni kweli pale Solanke alipaswa kutoka badala ya mane
 
Bangi za Klopp.
Origi yuko vizuri zaidi ya Solanke
Tumeshinda lakini hatukustahili
Oriji haaminiki
Nadhan mazoezini huwasoma wachezaj zaidi
Nilichokuwa najiuliza sikuzote ni kwann huwa anamuacha Anord benchi anamuingiza Gomes
Leo ndo nimejua Anord anatumakosa tudogo twingi
Ila bado naprefer attacking spirit ya anord zaid
 
Klopp anazngua sana. it is clearly leo alienda kutafta draw yeye.. Matip kaingizwa baada ya goli kusawazishwa.. Embu lets think jamaa alkua anawaza nini kama sio kusecure draw!!!

The guys wamefight sana!! Tuwapongeze tuu

I expected two silly draws ndan ya hiz sku 3..
 
Klopp anazngua sana. it is clearly leo alienda kutafta draw yeye.. Matip kaingizwa baada ya goli kusawazishwa.. Embu lets think jamaa alkua anawaza nini kama sio kusecure draw!!!

The guys wamefight sana!! Tuwapongeze tuu

I expected two silly draws ndan ya hiz sku 3..
Mwisho ikawaje?
 
Tatizo kuchoka
Ni dhahiri wa2 huchoka
We umecheza juz af leo tena ucheze
Misuli huchemka
Then ukiangalia mechi ya mwaka jana boxing day
Nahis ilikuwa Liver na Sunderland, wachezaj walikuwa wamechoka mwanzomwisho
Yaan mpaka ukiangalia2 unaona
Timu zote zinacheza hivyo. Haikuanza leo. Dawa ni kuwa na kikosi kizuri kikubwa. Kama Enzi ya Benitez. Alikuwa na kikosi cha ligi na Champions.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom