ipogolo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 6,280
- 5,987
Game of chance. Refa mkuda angesema offside!Mwisho ikawaje?
Game of chance. Refa mkuda angesema offside!Mwisho ikawaje?
Hivi kachangia nini leo?Solanke yupo vizuri sana sema wengi tunapenda tuone anafunga ila his presence as a no. 9 it drags back opponent defender tofauti anapokuwa firmino
Kwa hiyo mkuu alivyocheza solanke ni mbinu zile?Pia tukumbuke Klopp anajua mbinu za soka kuliko yyt hapa
Kwa ufuoi anajua afanyalo
Matip kaingia baada ya goli la ushindiKlopp anazngua sana. it is clearly leo alienda kutafta draw yeye.. Matip kaingizwa baada ya goli kusawazishwa.. Embu lets think jamaa alkua anawaza nini kama sio kusecure draw!!!
The guys wamefight sana!! Tuwapongeze tuu
I expected two silly draws ndan ya hiz sku 3..
Hivi kachangia nini leo?
Je anafikia uzuri wa Origi?
sidhani maana aliotoa pasi alitoa ya kichwa na aliyefunga nae kafunga kwa kichwaGame of chance. Refa mkuda angesema offside!
Origi hayupo.Yupo kwa mkopo wolfsburg na kuna uwezekano mkubwa akabakia moja kwa mojaHivi kachangia nini leo?
Je anafikia uzuri wa Origi?
Najua mkuu ila hakustahili kutolewa kwa mkopo mana alishachangia team vizuri tu ukilinganisha na huyu kinda anae mlazimisha ache na uwezo hana badoOrigi hayupo.Yupo kwa mkopo wolfsburg na kuna uwezekano mkubwa akabakia moja kwa moja
Origi hayupo.Yupo kwa mkopo wolfsburg na kuna uwezekano mkubwa akabakia moja kwa mojaHivi kachangia nini leo?
Je anafikia uzuri wa Origi?
Kwa wewe apo kwa hali aliokuanayo alistahili kutolewa kwa mkopo abakie solanke?Origi hayupo.Yupo kwa mkopo wolfsburg na kuna uwezekano mkubwa akabakia moja kwa moja
Huyu dogo ndio ilibidi apelekwe kwa mkopo, bado hajaiva. Kwa sasa hana kiwango cha kuwa kikosi cha kwanza liverpoolNajua mkuu ila hakustahili kutolewa kwa mkopo mana alishachangia team vizuri tu ukilinganisha na huyu kinda anae mlazimisha ache na uwezo hana bado
Kocha anakiburi cha kijinga sana yani hata kupokea pasi dogo kashindwa lakini bado kamtoa Mane badala yakeHuyu dogo ndio ilibidi apelekwe kwa mkopo, bado hajaiva. Kwa sasa hana kiwango cha kuwa kikosi cha kwanza liverpool
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Haikustahili mkuu.Ilikuwa ni kosa kumuweka Solanke mbele ya Origi.Solanke bado sana kuwa hata third choice striker kwa timu inayohitaji mafanikioKwa wewe apo kwa hali aliokuanayo alistahili kutolewa kwa mkopo abakie solanke?
I think watani unawazungumzia ni EvertonNaangalia game Ya watani zetu vs Everton and I must say bora hata sisi
Watani wetu timu yao ni hovyo sana na wanacheza bila malengo na soka yao iko hovyo sana yaani inahitaji moyo kuangalia
UnitedI think watani unawazungumzia ni Everton