Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Apewa ruhusa na mkuu wa shule kukaa darasani masaa mawili tu

Nililazimika kuondoka shule mapema ili niwahi mazoezini. Nilikuwa na barua rasmi ya mkuu wa shule kwa ajili hiyo hivyo shule nilifika saa moja asubuhi na kutoka saa tatu.

Naikumbuka ile barua ya mkuu wa shule iliandikwa ‘Mo aruhusiwe kuondoka mapema ili awahi mazoezini.

Nilikaa shule kwa masaa mawili tu. Sijui maisha yangekuaje sasa kama ningefeli kwenye soka!

Sasa tunamzungumzia mchezaji bora wa Afrika, mchezaji bora wa mwezi Novemba, kwenye ligi kubwa ya England. Sasa tunamzungumzia Mo Salah, anayefunga anavyojisikia.

Hili halijatokea kwa bahati mbaya. Tangu utotoni Salah alikuwa na ndoto ya kuwa mchezaji bora duniani.

“Kama nilivyosema, ilikuwa ngumu nyakati zile lakini sikukata tamaa. Nilitamani kuwa mchezaji mkubwa siku moja, mchezaji wa kipekee kidogo,” alisema Salah.

Nawaambia ukweli, nilikuwa nikitamani kuwa mkubwa siku moja lakini sikufikiria kama ningekuwa hapa leo hii. Kila kitu kilikuwa ndoto kwangu nilipokuwa na miaka 14, lakini niliishi na imani kuwa nitafanikiwa. Namshukuru Mungu kwa yote.”

Hii ndio safari ya Mo Salah.
 
Alianza soka akiwa beki tatu, ilikuwaje akawa straika?

“Nilipokuwa kocha wa kikosi cha vijana U -16 cha Arab Contractors, nilikuwa na mabeki watano wa kushoto na Salah alikuwa mmoja wao,” alieleza Said El-Shishini, kocha mkuu wa klabu hiyo.

Arab Contractors, kwa sasa inafahamika kama El Mokawloon FC, ndio klabu ya kwanza ya Salah kufundishwa vitu vya msingu kwenye mpira.

El-Shishini anaeleza jinsi mambo yalivyokuwa katika miaka miwili aliyokaa na shujaa huyu wa Misri.

“Mchezo mmoja tulicheza dhidi ya ENNPI, timu ya vijana imara sana wakati huo. Tulishinda mabao 4-0 na Salah alianza kikosi cha kwanza akiwa beki wa kushoto.

“Nakumbuka alipoteza nafasi tano za kufunga akiwa yeye na golikipa wa ENPPI.

“Kwangu kitu kikubwa haikuwa nafasi alizopoteza bali uwezo wake wa kukokota mpira kutoka nyuma mpaka kubaki na golikipa. Kilikuwa kitu cha kipekee sana kwa kila aliyehudhuria mechi ile.

Lakini baada ya mchezo, nilimuona Salah akijiinamia na kulia kwa nafasi alizokosa. Nakumbuka nilitoa paundi 25 za Misri kwa straika aliyefunga mabao matatu na Salah nilimpa paundi 25.

El-Shishini anasema ule ndio ulikuwa mwanzo wa mabadiliko ya Salah, kwa kuanza kuchezeshwa katika nafasi za mbele.

“Kutoka siku ile nilifanya maamuzi ya kumpa Salah katika wingi ya kulia,” alisema El-Shishini. “Nilimwambia angekuwa mfungaji bora wa timu zote mbili, kikosi chetu cha U -16 na Ligi ya taifa ya vijana U-17. Nilikuwa kocha wa timu zote mbili na nilimpanga Salah mbele.

Mwisho wa msimu alifunga jumla ya mabao 35 na tangu hapo ameendelea kufunga kila siku bila kuchoka.

Salah kwenye Premier League, 2017-18

Dakika alizocheza 1596

Mabao 17

Asisti 5

Mashuti 66

Mashuti yaliolenga lango 41
 
Liverpool FC imetuma Ndege iliyowabeba Ken Dodd, John Bishop na Les Dennis Kwenda Monaco Kujadili Usaini wa Lemar ili warudi Merseyside na deal done.
 
Lema simkubali
Sio wa kuziba pengo la Coutinho
Lema hana pasi za kushtukiza na hana dribbling ya amaana kama ya aCoutinho
 
Lema simkubali
Sio wa kuziba pengo la Coutinho
Lema hana pasi za kushtukiza na hana dribbling ya amaana kama ya aCoutinho

Coutihno wkt anatoka Inter alikuwa anakera sana!Coutihno alikuwa anapelekwa kwa mkopo team ndogo ndogo kama vile Espanyol
Kaja Liverpool katengenezwa sasa kawa nchezaji bora,Lemar ana potential zaidi ya Coutihno na atatisha sana ndani ya miaka miwili
He is too young,kama akija tumelamba dume!
 
Coutihno wkt anatoka Inter alikuwa anakera sana!Coutihno alikuwa anapelekwa kwa mkopo team ndogo ndogo kama vile Espanyol
Kaja Liverpool katengenezwa sasa kawa nchezaji bora,Lemar ana potential zaidi ya Coutihno na atatisha sana ndani ya miaka miwili
He is too young,kama akija tumelamba dume!
Coutinho alikuwa mkali yangu zaman
Inabid watafte mtu mwenye miguu mwepesi
 
Coutinho alikuwa mkali yangu zaman
Inabid watafte mtu mwenye miguu mwepesi

Ilikuaje basi Inter hakuwa hata anabaki kuwa squad player?
Liverpool wanaifuata Inter walikuwa tayari wapo kwenye mazungumzo ya mkopo na Espanyol
 
Ilikuaje basi Inter hakuwa hata anabaki kuwa squad player?
Liverpool wanaifuata Inter walikuwa tayari wapo kwenye mazungumzo ya mkopo na Espanyol
Alikuwa young
Ni kama Woodburn
Dogo atakuwa mkali wakimfundisha vzr
 
Lema simkubali
Sio wa kuziba pengo la Coutinho
Lema hana pasi za kushtukiza na hana dribbling ya amaana kama ya aCoutinho


Mkuu Kumbuka Kuwa Coutinho alipitia Umri Kama Alionao Thomas Leamr sasahivi! Lakini Kipiji alichonacho Lemar Sasahivi Coutinho Katika Umri Huo Hakuwa Na Kipaji Hicho!
Kwahiyo Lemar iwapo Hataflop Basi Kipaji Chake Hapo Baadae
Kinaweza Kuwa Zaidi Ya Coutinho.

Kumbuka Kuwa Kabla Ya Kuwa Jürgen Klopp Coutinho alikuwa Ni average Player tu tena Wa Kawaida Sana! Lakini Klopp Kamdevelop Kuwa World Class! Kwanini Lemar Naye asiwe World Class.

Kama AlivyokuQuote Mkuu Malafyale Hapo Juu Ni Kuwa Coutinho Alikuwa akiishia Kutolewa Kwa Mkopo tu Ni Liverpool Ndiyo iliyotengeneza Kipaji Chake.

Na Kama utafatilia Vizuri Coutinho Mpaka Anakuja Liverpool na Mpaka Kuna Klopp alikuwa Ni Winga
(Tena ya Kushoto) na Wala Hakuwahi Kuwa na Kipaji Cha Central Midfielder! Lakini Klopp Kambadilisha na Sasa Ni Central Midfielder ya Kufa Mtu...

Ni Sawa na Thomas Lemar! Kusema la ukweli nayeye Ni Winga
(Natural Yake)! Lakini Klopp Anataka Ambadilishe Kana Central Midfielder Kwa Formation Ya 4-3-3 ambayo Winga Wa Kulia (Salah) Anapanda Juu kutengeneza SALAH-BOBBY-MANE.
Na Winga Ya Kushoto (Lemar) Anashuka Katikati Anatengeneza KEITA - GINI/HENDO - LEMAR.

Kwahiyo Usihofu Lemar Ni Very Talented
 
Mkuu Kumbuka Kuwa Coutinho alipitia Umri Kama Alionao Thomas Leamr sasahivi! Lakini Kipiji alichonacho Lemar Sasahivi Coutinho Katika Umri Huo Hakuwa Na Kipaji Hicho!
Kwahiyo Lemar iwapo Hataflop Basi Kipaji Chake Hapo Baadae
Kinaweza Kuwa Zaidi Ya Coutinho.

Kumbuka Kuwa Kabla Ya Kuwa Jürgen Klopp Coutinho alikuwa Ni average Player tu tena Wa Kawaida Sana! Lakini Klopp Kamdevelop Kuwa World Class! Kwanini Lemar Naye asiwe World Class.

Kama AlivyokuQuote Mkuu Malafyale Hapo Juu Ni Kuwa Coutinho Alikuwa akiishia Kutolewa Kwa Mkopo tu Ni Liverpool Ndiyo iliyotengeneza Kipaji Chake.

Na Kama utafatilia Vizuri Coutinho Mpaka Anakuja Liverpool na Mpaka Kuna Klopp alikuwa Ni Winga
(Tena ya Kushoto) na Wala Hakuwahi Kuwa na Kipaji Cha Central Midfielder! Lakini Klopp Kambadilisha na Sasa Ni Central Midfielder ya Kufa Mtu...

Ni Sawa na Thomas Lemar! Kusema la ukweli nayeye Ni Winga
(Natural Yake)! Lakini Klopp Anataka Ambadilishe Kana Central Midfielder Kwa Formation Ya 4-3-3 ambayo Winga Wa Kulia (Salah) Anapanda Juu kutengeneza SALAH-BOBBY-MANE.
Na Winga Ya Kushoto (Lemar) Anashuka Katikati Anatengeneza KEITA - GINI/HENDO - LEMAR.

Kwahiyo Usihofu Lemar Ni Very Talented
Huwez mlinganisha coutinho na Lemar
Na si kila mchezaji anakuwa na kiwango chake(najua unajua)
Aina ya mpira wa coutinho na lemar ni tofaut kabisa
Inatakiwa watafte mchezaj mwepesimwepesi na sio lemar
Kwang mimi lalana akiwa onform ni bora kuliko lemar japo lemar mdogo2
 
Mkuu Kumbuka Kuwa Coutinho alipitia Umri Kama Alionao Thomas Leamr sasahivi! Lakini Kipiji alichonacho Lemar Sasahivi Coutinho Katika Umri Huo Hakuwa Na Kipaji Hicho!
Kwahiyo Lemar iwapo Hataflop Basi Kipaji Chake Hapo Baadae
Kinaweza Kuwa Zaidi Ya Coutinho.

Kumbuka Kuwa Kabla Ya Kuwa Jürgen Klopp Coutinho alikuwa Ni average Player tu tena Wa Kawaida Sana! Lakini Klopp Kamdevelop Kuwa World Class! Kwanini Lemar Naye asiwe World Class.

Kama AlivyokuQuote Mkuu Malafyale Hapo Juu Ni Kuwa Coutinho Alikuwa akiishia Kutolewa Kwa Mkopo tu Ni Liverpool Ndiyo iliyotengeneza Kipaji Chake.

Na Kama utafatilia Vizuri Coutinho Mpaka Anakuja Liverpool na Mpaka Kuna Klopp alikuwa Ni Winga
(Tena ya Kushoto) na Wala Hakuwahi Kuwa na Kipaji Cha Central Midfielder! Lakini Klopp Kambadilisha na Sasa Ni Central Midfielder ya Kufa Mtu...

Ni Sawa na Thomas Lemar! Kusema la ukweli nayeye Ni Winga
(Natural Yake)! Lakini Klopp Anataka Ambadilishe Kana Central Midfielder Kwa Formation Ya 4-3-3 ambayo Winga Wa Kulia (Salah) Anapanda Juu kutengeneza SALAH-BOBBY-MANE.
Na Winga Ya Kushoto (Lemar) Anashuka Katikati Anatengeneza KEITA - GINI/HENDO - LEMAR.

Kwahiyo Usihofu Lemar Ni Very Talented
Coutinho nilikuwa namkubali tangu zaman2
 
Huwez mlinganisha coutinho na Lemar
Na si kila mchezaji anakuwa na kiwango chake(najua unajua)
Aina ya mpira wa coutinho na lemar ni tofaut kabisa
Inatakiwa watafte mchezaj mwepesimwepesi na sio lemar
Kwang mimi lalana akiwa onform ni bora kuliko lemar japo lemar mdogo2

Coutihno alipokuwa na umri kama wa Lemar alikuwa trash
Lemar ni zaidi ya Coutihno hasa akija kwa JK
 
Huwez mlinganisha coutinho na Lemar
Na si kila mchezaji anakuwa na kiwango chake(najua unajua)
Aina ya mpira wa coutinho na lemar ni tofaut kabisa
Inatakiwa watafte mchezaj mwepesimwepesi na sio lemar
Kwang mimi lalana akiwa onform ni bora kuliko lemar japo lemar mdogo2


Nilichokigundua Kwako Humjui Lemar Wala Humfatilia Kwenye Game za Monaco.

Tuishie Hapa! Ova
 
Coutinho nilikuwa namkubali tangu zaman2


Coutinho Mpaka Anatia Saini Mkataba Wa Kujiunga Na Liverpool Hakuna Mtu Aliyekuwa Akimrate Kwani Hakuwa na Kiwango Chochote Cha Maana Kinachotambulika Baali Alikuwa Ni Mchezaji Wa Mikopo tu...

Mpaka hapa Pia Nimegundua Ulikuwa Humjui Coutinho.

Tuishie Hapa. Ova
 
Grujic apelekwe sehemu kwa mkopo acheze.Ni kipaji kinachoozea benchi.Atakujq kuwa kama Coutinho badae kama akienda sehemu kucheza kwasababu kwa sasa hana nafasi kabisa kuingia kikosini.

Mi namuona mzuri kuliko Lemar.Aende sehemu akapate playing time kisha arudi
 
Grujic apelekwe sehemu kwa mkopo acheze.Ni kipaji kinachoozea benchi.Atakujq kuwa kama Coutinho badae kama akienda sehemu kucheza kwasababu kwa sasa hana nafasi kabisa kuingia kikosini.

Mi namuona mzuri kuliko Lemar.Aende sehemu akapate playing time kisha arudi
Nimeanza hadi kumuonea huruma utadhani ni mdogo wangu wa damu
 
The Real Madrid midfielder Dani Ceballos who only joined the Spanish giants in the summer has told his current employers he favours a move to Anfield over any other destination
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom