Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwavile Timu Naipenda Sitoacha Kutarajia Ushindi lakini Leo Ni dhahiri tunabahatisha! Tuombe hicho kigoli kisurudi tu manake beki noma.
 
Watu hawaoni hilo
Iatoshe wanalalama2 hawajawahi kucheza mpira


Mkuu tatizo Si Kucheza mpira au Kutokucheza! Kwa zama za sasa huwezi kuingiza timu kucheza mpira Wa Kubahatisha Ushindi.

Lazima tuingize Timu Ya Uhakika! Kwasasa Firmino alivyo on Fire huwezi kumueka Bench Hata Siku moja.
 
Kwavile Timu Naipenda Sitoacha Kutarajia Ushindi lakini Leo Ni dhahiri tunabahatisha! Tuombe hicho kigoli kisurudi tu manake beki noma.

Umeona majeruhi ya Man City?
Unajua ni kwa nn?
Klopp yupo sawa ku rotate,huwezi cheza games za muscles za EPL within every 48 hours
Kunbuka Liverpool kacheza mechi 4 ndani ya siku chache sana!
 
What is this Klopp?
Mane is our best player there
Why anatolewa?
Ohh my God lkn yy ni kocha anajua zaidi!!
 
Klopp muda mwingine cjui hua anachanganyikiwa, mechi nyingi tulizopata sare hua anafanya uzembe flan wa waziwazi tu.
 
Sina hakika kama klop ni kocha bora duniani. Unamtoa Sadio unaacha Solanke.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom