Liverpool katolewa hapo hakuna home and awaysafari imeanza kuiva sasa bado waje watupige kwetu sasa
Game ndio imekwisha mkuu hakuna kurudiana,safari imeanza kuiva sasa bado waje watupige kwetu sasa
nazungumzia mechi ya ligiLiverpool katolewa hapo hakuna home and away
hela ya chamberlain ingetosha kabisa kumchukua William carvalho kutoka sporting hapo tungekuwa tumepunguza shida kwenye defense midfield, wakati kwenye academy tunao akina chamberlain wengi tuDuh hakika Liva mlichelewa sana kumchukua Ox Chambo uyu jamaa anatenda miujiza.
hela ya chamberlain ingetosha kabisa kumchukua William carvalho kutoka sporting hapo tungekuwa tumepunguza shida kwenye defense midfield, wakati kwenye academy tunao akina chamberlain wengi tu
Mechi ya ligi ni hapo hapo wiki ijayonazungumzia mechi ya ligi
![]()
![]()
![]()
mkuu mmewaibia Liverpool hela yao....leo Ox alikuwa anatenda miujiza sio siri
![]()
ukichanganya na yule Henderson wao ilitosha kabisa okazaki na sliman kufanya yao
![]()
![]()
Watoto wa kiingereza hawa sijui wanashida gani hiki kizazi cha sasa
And yellow teethKlopp is just a German David Moyes with passion.

Kwni jana Ox amecheza??Duh hakika Liva mlichelewa sana kumchukua Ox Chambo uyu jamaa anatenda miujiza.
Huyu jamaaaa Mbona mlimpenda baada ya kuitosa chelsea. Leo imekuaje mnaanza kumponda. Ox ni midfilder mzuri sana atawasaidia punguzeni pressure.hela ya chamberlain ingetosha kabisa kumchukua William carvalho kutoka sporting hapo tungekuwa tumepunguza shida kwenye defense midfield, wakati kwenye academy tunao akina chamberlain wengi tu
Ile siku niliomba sana Ox apite kimya kimya hasisajiliwe chelsea. Alivyokataa dilii ya chelsea na kwenda Liverpool niliagiza kuku wa kienyeji kutoka dakawa mpaka Dar. Aiseee nilikulaje supu na kusherekea.Yule Meku Wenger ndio kawapiga hawa ndugu zangu kwenye hii biashara hakika angalau wametupunguzia mizigo duh bado Walcot nae wakimtaka waje tu ndugu zetu hawa.