Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

In Klopp I trust
Sack Klopp
Sack Conte
Sack Wenger
Sack Koeman

We do not need any defeat nor tie!
Bandugu kuna mtani hapa amenipasha habari kwamba Leicester walifanya karamu na walinunua majogoo yaliyonona na kuyachinjwa kwa ajili ya supu, vipi majogoo yako yamepona kweli au ndio hayo yaliyotendwa na Leicester?
 
Huyu jamaaaa Mbona mlimpenda baada ya kuitosa chelsea. Leo imekuaje mnaanza kumponda. Ox ni midfilder mzuri sana atawasaidia punguzeni pressure.


Mkuu Kuwa serious! Fanboys wa OX na Brendan Klopp ni huyu Malafyale na wala si Sisi Wakongwe wa Timu ya Liverpool tunaoifahamu utamaduni wake..
 
Bandugu kuna mtani hapa amenipasha habari kwamba Leicester walifanya karamu na walinunua majogoo yaliyonona na kuyachinjwa kwa ajili ya supu, vipi majogoo yako yamepona kweli au ndio hayo yaliyotendwa na Leicester?

Carabao is trash cup!
Is there for small team ili acheze Yuropa mwakani
 
....Nasikia Liverpool wamepitiwa tu na Shetani..

Edo kumwembe bana
 
Hapa umepanic hili combe la carabao halimpeleki mtu ueropa Fa ndio humpeleka ueropa.
Hapana mkuu. Carabao inakupa tiketi ya moja kwa moja kushiriki Uropa cup. Fuatilia utapata majibu. Lakini kwa upande wa majogoo wanaliona kama kombe la mbuzi.
 
"The second ball after a corner, and a throw-in… I am sick of goals like this. You cannot play football."

Julgen klopp.
 
Mkuu ni Fa nina uhakika.
Refer Swansea city alitwaa kombe hili kati ya 2012/2013 baada ya kumchapa timu yangu chelsea. Then next walishiriki kwa tiketi hiyo kwani kwenye ligi nahisi walikuwa wa 8 au tisa ivi kama sijakosea. Pia unaweza kugoogle for more verification zaidi
 
Hawa wameisha kuwa teja king power......!!! May be next game Klop atatenda miujiza.
0a93a95725189b4ee3a8578938826ca3.jpg
 
Refer Swansea city alitwaa kombe hili kati ya 2012/2013 baada ya kumchapa timu yangu chelsea. Then next walishiriki kwa tiketi hiyo kwani kwenye ligi nahisi walikuwa wa 8 au tisa ivi kama sijakosea. Pia unaweza kugoogle for more verification zaidi

Poa mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom