Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Wewe huna historia nzuri na Chelsea kwenye UEFA. ..mara zote amekuwa akikupiga tu

Sijui leo kwa sevilla kama utatoka.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mimi sasahivi ninaingia wasiwasi kuwa wewe umeanza kutazama mpira baada ya kuanzishwa Azam TV ...! Kwa Kukukumbusha tu Ni Kuwa Hata Champion League Niliyochukua 2005 nilibeba kwa Kutumia Mgongo wa Chelsea pale nilipokutandika 1 - 0 Kwenye Nusu Fainali kupitia Mkali Luice Garcia ambalo Mourinho hupenda kuliita "Ghost Goal"

Na hata 2007 nilifika Fainali Kupitia Mgongo Wa Chelsea Baada Ya Kukutandika Hiyo hiyo Nusu Fainali...

Ninamshukuru Mungu Kwa Kutojaalia wewe chelsea Kupata mafanikio Kupitia Mgongo wa Liverpool kwani Huwezi nifunga hata Kwenye hatua ya Makundi Kama ilivyokua Mwaka 2006.

Sasa wewe sijui unanifunga Champion League ipi mkuu?
 
Mara ya mwisho kukutana na Sevilla alikupiga 4-1 final Europa ....Leo unakutana naye tena..

Sent using Jamii Forums mobile app


Ila leo si Europa, Ni Champion League.

Jana umekutana na Timu Hata Taifa inalotoka halitambuliki! umejilia Pweza Gizani sasahivi unaleta kelele ukidhani Una Timu Ya Kupambana CL kwa Maiti uliyemfunga Jana....
 
GOOOOOOOO KLOP ANASAWAZISHA PALE KARIUS ANAPIGA BONGE LA ASSIST

MALAFYALE ANAFURAHA SASA MATUMAINI YANARUDI.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom