Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool wana tatizo la defence miaka mingi kama hulioni ni matatizo yako ndio maana kila mwaka unasema mnachukua ubingwa,katika mechi 4 United amefunga magoli 12 na amefungwa magoli 2 while Liverpool amefunga magoli 8 na kufungwa magoli 8.BR alifungwa magoli 51 lakini kilichomsaidia timu ilifunga magoli 101 kitu ambacho kwa sasa hamuwezi kufunga hayo magoli

United alifungwa 6-1 na Man City alipo pata kadi nyekundu Vidic
Chelsea kafungwa 3 alipopata kadi nyekundu Cahil!
Kusema tina defense mbovu mwaka huu sababu ya mechi ya jana sio sahihi!
Ukiwa pungufu kwa dakika karibia 60 kwa team yenye quality kama Man City unategemea nn?
Liverpool tupo sawa sana mwaka huu na game ya jana iliamriwa kwa kadi nyekundu.Period
 


Na Ndiyomaana Niliwahi Kukwambia Kuwa Ndani Ya Bongo Hakuna Mshabiki Hata Mmoja Wa Chelsea Anaejua Mpira! Na Wala Hakuna Mshabiki Hata Mmoja Wa Chelsea Anaejua Chochote Kinachohusu Chelsea Kabla Ya Kuja Morinho (Before 2004)...

Mkuu 5G nilikuanza wewe na Cha Ajabu Umeshindwa Kuzilipa Sasa unafurahi Kulipiwa na Man City...

Mkuu Mwanamme hahitaji Kupigiwa bali Hupiga Mwenyewe..



Screenshot_20170910-091732.png
IMG_20170910_091902.jpg
 
Nothing here we didn't expect, I don't think any supporter in his right mind would think we had a shot at the title with the same fu.ckin defense we had last season.

We needed a defensive midfielder and a central defender, neither of these signings came in.

So if we reach top four we need to score no less than a hundred goals.

To win we need a miracle!

Defense yetu huwezi ilaumu kwa jana
Team ilicheza vyema sana kabla ya kadi nyekundu ya mtu anayeibeba team!
Man City angepewa kadi nyekundu mtu wao muhimu sana uwanjani Silva wangesalimika?
Mane's red card gave Man City a game.Period
Hata defense angekuwa VVD na Kompany kwa team yenye quality kama Man City mkiwa pungufu mnafungwa
 
Hivi Mane anacheza DM au CB pale Liverpool ?? Maana alipotoka ndio mkafungwa 4, na fans wengi wa humu mnalilia kuwa turning point ya game ilikuwa ni red kwa mchezaji ambaye ni Winger na hausiki kiviiile defensively.
6a2c7a7e901b6fa7370e89ed8382f675.png

Citizens walikuwa vyema zaidi yenu kwa game ya jana, hiyo ndio sababu ya kipigo.

Full Stop
 
Hivi Mane anacheza DM au CB pale Liverpool ?? Maana alipotoka ndio mkafungwa 4, na fans wengi wa humu mnalilia kuwa turning point ya game ilikuwa ni red kwa mchezaji ambaye ni Winger na hausiki kiviiile defensively.

Citizens walikuwa vyema zaidi yenu kwa game ya jana, hiyo ndio sababu ya kipigo.

Full Stop

Mkuu tunaoposta hapa ni Wale tu Tunaofahamu mpira unachezwa vipi na Sio kila mtu tu anadeserve Kupost ama Kuquote mtu!!

Unaweza kuniambia Ndani Ya Misimu 5 iliyopita ni Timu gani iliyowahi kuizidi Man City Kwa Ball Possession au Kutandaza Soka wanapokutana nao??

Hata Last Season Man City Walituzidi Kwa Kila Kitu ikiwemo Ball Possession na Shots lakini Still Tuliwafunga...

Na misimu iliyopita pia Walituzidi kila idara kwani hatukua na uwezo wa Kuwadhibiti Yaya Toure, Silver na Aguero lakini still tuliwafunga...

Na hata anapocheza Na Chelsea, Man U na Spurs hutawala mpira ikisha akaishia kufungwa...

Kwahiyo jana Kutuzidi is not the Concrete reason to be humiliated mercilessly....

Mkuu Mimi siamini sana kuifanya kadi ya Mane Kuwa ni Excuse... Lakini imeplay some important role katika game ya jana kwani ndiyo iliyotutoa mchezoni...
 
Nimeshangaa jana mjini kwetu kulikuwa na utulivu wa kutosha kumbe kuna jamaa alipewa chanjo ya ndui.
 
United alifungwa 6-1 na Man City alipo pata kadi nyekundu Vidic
Chelsea kafungwa 3 alipopata kadi nyekundu Cahil!
Kusema tina defense mbovu mwaka huu sababu ya mechi ya jana sio sahihi!
Ukiwa pungufu kwa dakika karibia 60 kwa team yenye quality kama Man City unategemea nn?
Liverpool tupo sawa sana mwaka huu na game ya jana iliamriwa kwa kadi nyekundu.Period
John Evans ndio alipewa red card Vidic hakucheza hiyo game na kabla hata ya red card United walikuwa wameshafungwa,kikubwa kilichomponza SAF ilipofika dakika ya 80 alianza kuwashambulia Man City na kufunga goli moja akaamini anaweza kuchomoa badala ya kuendelea kucheza defence Man City walifunga magoli matatu kuanzia dakika ya 90-93
 
You wrong again!
Chelsea kutolewa Cahil akala tatu za haraka haraka na trash Burnley
Pep au Wenger au Klopp mpo pungufu toka dakika ya 37 anakupiga easy
Ina maana Chelsea nao wabovu?Burnley anapata hata sare na Chelsea 11 kwa 11?
Turning point ilikuwa kadi ta Mane.Period
Ubishi mengine ni ya ukoo. Hatushangai. Cahil alipewa kadi dakika za 37 baada ya hapo tuliogea Magoli 3 za faster na kusema Leo chelsea watapigwa wiki. Tulivyorudi hakika mlikiona kilichotokea. Mechi ilikuwa balance tulivyopata goli 1 hapo ndo watu wakaanza kuziba mikono yao. Kilichofata tukapewa 2nd red card. Then bila uoga kabisa tukaongeza goli la 2. After 9 minutes mpira ukaisha.
Nyinyi jana mane kapewa red dakika ya 30 and above. Kilichotkea ulikiona. Mlipotea kama hampo uwanjani
Therefore, Liverpool ni mbovu zaidi ya chelsea.
Chelsea 2 red card.
Results. Chelsea 2 vs 3 Burnley.
Liverpool 1 red card.
Results. Liverpool 0 vs 5 Man city.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na Ndiyomaana Niliwahi Kukwambia Kuwa Ndani Ya Bongo Hakuna Mshabiki Hata Mmoja Wa Chelsea Anaejua Mpira! Na Wala Hakuna Mshabiki Hata Mmoja Wa Chelsea Anaejua Chochote Kinachohusu Chelsea Kabla Ya Kuja Morinho (Before 2004)...

Mkuu 5G nilikuanza wewe na Cha Ajabu Umeshindwa Kuzilipa Sasa unafurahi Kulipiwa na Man City...

Mkuu Mwanamme hahitaji Kupigiwa bali Hupiga Mwenyewe..



View attachment 585545 View attachment 585547
Safari hii mtafukuwa sana makaburi ili kupunguza streess na aibu. Kuna mwimbaji moja kaimba za kale zilipendwa. Leteni mengine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Defense yetu huwezi ilaumu kwa jana
Team ilicheza vyema sana kabla ya kadi nyekundu ya mtu anayeibeba team!
Man City angepewa kadi nyekundu mtu wao muhimu sana uwanjani Silva wangesalimika?
Mane's red card gave Man City a game.Period
Hata defense angekuwa VVD na Kompany kwa team yenye quality kama Man City mkiwa pungufu mnafungwa
Kumbe Liverpool inamtegemea Mane tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Defense yetu huwezi ilaumu kwa jana
Team ilicheza vyema sana kabla ya kadi nyekundu ya mtu anayeibeba team!
Man City angepewa kadi nyekundu mtu wao muhimu sana uwanjani Silva wangesalimika?
Mane's red card gave Man City a game.Period
Hata defense angekuwa VVD na Kompany kwa team yenye quality kama Man City mkiwa pungufu mnafungwa
Hongera Malafyale kwa "ushindi mnono" uliopewa na Gardiola. Kwa kusherehekea ushindi huo ulichinja majogoo ngapi?

Siku ingine ukiwa na sherehe utualike.

Hawa jamaa wanakutania hapa. "Liverpool's brutal reality check"

Tafsiri isiyo rasmi- Majogoo ya Malafyale yamechinjwa kwa risasi na watu wasiojulikana.

Link 'Liverpool's 5-0 loss to Man City must be put in context'

Link Arsenal Special Thread

Ahahaha na sisi tulilia miaka 20
Sasa tunacheka tu
Avumilie
Sasa mnachekwa tu? Mmefanya nini?

 
You wrong again!
Chelsea kutolewa Cahil akala tatu za haraka haraka na trash Burnley
Pep au Wenger au Klopp mpo pungufu toka dakika ya 37 anakupiga easy
Ina maana Chelsea nao wabovu?Burnley anapata hata sare na Chelsea 11 kwa 11?
Turning point ilikuwa kadi ta Mane.Period
Pale ndo game plan ya Klopp ilifia kabisa, Salah nje ilikuwa ngumu 10/ 11 against Man city

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi Mane anacheza DM au CB pale Liverpool ?? Maana alipotoka ndio mkafungwa 4, na fans wengi wa humu mnalilia kuwa turning point ya game ilikuwa ni red kwa mchezaji ambaye ni Winger na hausiki kiviiile defensively.
6a2c7a7e901b6fa7370e89ed8382f675.png

Citizens walikuwa vyema zaidi yenu kwa game ya jana, hiyo ndio sababu ya kipigo.

Full Stop

Ww hustahili kujibiwa
Hujui lolote kuhusu soka
 
Hivi Mane anacheza DM au CB pale Liverpool ?? Maana alipotoka ndio mkafungwa 4, na fans wengi wa humu mnalilia kuwa turning point ya game ilikuwa ni red kwa mchezaji ambaye ni Winger na hausiki kiviiile defensively.
6a2c7a7e901b6fa7370e89ed8382f675.png

Citizens walikuwa vyema zaidi yenu kwa game ya jana, hiyo ndio sababu ya kipigo.

Full Stop

Ww hustahili kujibiwa
Hujui lolote kuhusu soka
 
Ww hustahili kujibiwa
Hujui lolote kuhusu soka

Heri wewe unaejua soka maana kwako Vidic, Cahil na Mané wote ni 'CB'' kiasi cha kulinganisha impact za red cards zao katika mchezo.

Kama sio ni umepanic basi kunywa maji upunguze hasira.

United alifungwa 6-1 na Man City alipo pata kadi nyekundu Vidic
Chelsea kafungwa 3 alipopata kadi nyekundu Cahil!
Kusema tina defense mbovu mwaka huu sababu ya mechi ya jana sio sahihi!
Ukiwa pungufu kwa dakika karibia 60 kwa team yenye quality kama Man City unategemea nn?
Liverpool tupo sawa sana mwaka huu na game ya jana iliamriwa kwa kadi nyekundu.Period
 
You wrong again!
Chelsea kutolewa Cahil akala tatu za haraka haraka na trash Burnley
Pep au Wenger au Klopp mpo pungufu toka dakika ya 37 anakupiga easy
Ina maana Chelsea nao wabovu?Burnley anapata hata sare na Chelsea 11 kwa 11?
Turning point ilikuwa kadi ta Mane.Period
I can be wrong & you can be too

Tatizo letu we chose different path ila wote tunataka kufika the same destination

Haina haja ya kuongea sana only table can define our consistency - inconsistency team

let's wait for that trash burnley vs us

And Let us meet here again for this convo at x-mas break tuone where we are!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom