Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

e8bd6f50fe218a0a7bfd3f642581962d.jpg
 
Kadi ya Mane ndiyo turning point ya game!Kabla ya Mand kutolewa hawa tuliisha wabana
Salah alikosa bao la wazi sana na tukawa tunakuja sana
Tuna kikosi imara na kizuri,game ya leo haina maana yyt
Pole aiseee. Epl hii hakuna mwenye hati miliki wa kutofungwa. Ukifunga Leo kesho utafungwa tu. Mkajipange upya bado mna nafasi ya kubeba Ubingwa.......!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati Rodgers anatakaribia kuchukua ubingwa Henderson ndiye alikuwa DM na tatizo kubwa la Liverpool lilikuwa defence,imepita karibia miaka 5 still bado mna tatizo hilo hilo la defence.Sometimes kocha anatakiwa kubadilisha mfumo ili kupunguza weakness ya timu ndio maana umeona sometimes makocha wanacheza 3CBs lakini Klopp anacheza mfumo uleule akicheza na Stoke,Man City au Chelsea.Pia Klopp aliamua kumuuza Sakho na ameshindwa kutafuta replacement yake msimu wa pili huu.
Tulieni acheni longolongo mlisema nyie mnafunga timu kubwa tu. Leo sijui imekuaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Nakubaliana na Wewe Kwa 100% kuhusu Hendo Kwani Huu Ndiyo Ukweli Huyu Jamaa Jamaa Sijawahi Kumkubali wala Sitomkubali....

Ukiangalia Goli la Kwanza Utakutia Source ni Yeye Kwani Limetokea Katikati Akiwa Yeye ni Defensive Midfield ameshindwa Kublock Move...

Goli la Pili pia limeanzia Maeneo Hayo ya Kati kabla ya Kupigwa Cross kutoka Kwa Wing ya Kushoto...

Goli la Tatu Pia Limetokea Kupitia Kwenye Eneo la DM na Hendo kashindwa Kublock move...

Goli la 4 & 5 sikuendelea Kutazama...

So Uzembe wa Mabeki wetu unachangiwa sana na Ubovu Wa Hendo Kuwa Hajui Kucheza Tackles wala Kudribble.... Hawezi Kuiunganisha Timu kama Nahodha...

Kiujumla Anashindwa Kuwacover Mabeki wetu kiasi Ya Kwamba Anawaexpose sana..
Poleni sana. Naona Leo umenyolewa na maji ya baridi kabisa
Mkuu Nakubaliana na Wewe Kwa 100% kuhusu Hendo Kwani Huu Ndiyo Ukweli Huyu Jamaa Jamaa Sijawahi Kumkubali wala Sitomkubali....

Ukiangalia Goli la Kwanza Utakutia Source ni Yeye Kwani Limetokea Katikati Akiwa Yeye ni Defensive Midfield ameshindwa Kublock Move...

Goli la Pili pia limeanzia Maeneo Hayo ya Kati kabla ya Kupigwa Cross kutoka Kwa Wing ya Kushoto...

Goli la Tatu Pia Limetokea Kupitia Kwenye Eneo la DM na Hendo kashindwa Kublock move...

Goli la 4 & 5 sikuendelea Kutazama...

So Uzembe wa Mabeki wetu unachangiwa sana na Ubovu Wa Hendo Kuwa Hajui Kucheza Tackles wala Kudribble.... Hawezi Kuiunganisha Timu kama Nahodha...

Kiujumla Anashindwa Kuwacover Mabeki wetu kiasi Ya Kwamba Anawaexpose sana..
Poleni sana. Naona Leo mmenyolewa na maji ya baridi kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati Rodgers anatakaribia kuchukua ubingwa Henderson ndiye alikuwa DM na tatizo kubwa la Liverpool lilikuwa defence,imepita karibia miaka 5 still bado mna tatizo hilo hilo la defence.Sometimes kocha anatakiwa kubadilisha mfumo ili kupunguza weakness ya timu ndio maana umeona sometimes makocha wanacheza 3CBs lakini Klopp anacheza mfumo uleule akicheza na Stoke,Man City au Chelsea.Pia Klopp aliamua kumuuza Sakho na ameshindwa kutafuta replacement yake msimu wa pili huu.
A terrible mistake kumuuza Sakho. Yule jamaa ana nguvu kweli kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Klopp: "A very unlucky situation. Of course, I think everyone knows Sadio did not see the goalie. It was not for one second that he had a look at the goalie or whatever, he just wanted to get the ball as soon as possible. That’s when happened then the red card and we cannot change it anymore. Hopefully the goalie is not seriously injured. I think in the first moment when all the people were on the pitch it looked like this. After the game he was in the dugout, so hopefully, as I said, it is not too serious".
 
Klopp: "Mane is very, very, very upset. We couldn’t keep him up, he was shocked about the situation and I am sure also about the decision because he didn’t think [it would be red]. If the leg is not where the leg is, you can also say it is a foul from the goalie. What can I say? In the end it is a red card and I am sure enough people will find enough reasons to say it is the right decision and we cannot change it anymore. Of course, it had a big influence on the game today".
 
Klopp Post Match Press Conference:On whether the decision to substitute Salah at half-time was tactical…

Yes. He is completely OK.
°
On whether Coutinho could return against Sevilla

Yes.
 
Uzuri timu yetu huwa inawa-prove wrong wanaoitetea kupita kiasi kuwa timu imekamilika ... we are weak as usual

Bila mipango thabiti haya makombe tutaendelea kuyasikia tu kwa majirani

Kuna uwezekano uefa tukapata humiliation kubwa zaidi

Poor klopp

You wrong again!
Chelsea kutolewa Cahil akala tatu za haraka haraka na trash Burnley
Pep au Wenger au Klopp mpo pungufu toka dakika ya 37 anakupiga easy
Ina maana Chelsea nao wabovu?Burnley anapata hata sare na Chelsea 11 kwa 11?
Turning point ilikuwa kadi ta Mane.Period
 
Wakati Rodgers anatakaribia kuchukua ubingwa Henderson ndiye alikuwa DM na tatizo kubwa la Liverpool lilikuwa defence,imepita karibia miaka 5 still bado mna tatizo hilo hilo la defence.Sometimes kocha anatakiwa kubadilisha mfumo ili kupunguza weakness ya timu ndio maana umeona sometimes makocha wanacheza 3CBs lakini Klopp anacheza mfumo uleule akicheza na Stoke,Man City au Chelsea.Pia Klopp aliamua kumuuza Sakho na ameshindwa kutafuta replacement yake msimu wa pili huu.

Leo tatizo ni defense?
Team gani haifungwi?
Man U nao tatizo ni defense sababu kagungwa 2?
11-11 Man City hamfungi Liverpool
 
Sisi tunao jua mpira tunasema Man City kapata advantage ya kadi nyekundu ya Mane!Haya mengine sijui hatuna kikosi imara ni porojo tu
Kuna wengine wanasema hatuna depth?Really?Coutihno,Lallana,Lovren na OX wapo nje bado eti hatuna dept
 
You wrong again!
Chelsea kutolewa Cahil akala tatu za haraka haraka na trash Burnley
Pep au Wenger au Klopp mpo pungufu toka dakika ya 37 anakupiga easy
Ina maana Chelsea nao wabovu?Burnley anapata hata sare na Chelsea 11 kwa 11?
Turning point ilikuwa kadi ta Mane.Period
pole mkuu naona unatia huruma
 
Leo tatizo ni defense?
Team gani haifungwi?
Man U nao tatizo ni defense sababu kagungwa 2?
11-11 Man City hamfungi Liverpool


Nothing here we didn't expect, I don't think any supporter in his right mind would think we had a shot at the title with the same fu.ckin defense we had last season.

We needed a defensive midfielder and a central defender, neither of these signings came in.

So if we reach top four we need to score no less than a hundred goals.

To win we need a miracle!
 
Leo tatizo ni defense?
Team gani haifungwi?
Man U nao tatizo ni defense sababu kagungwa 2?
11-11 Man City hamfungi Liverpool
Liverpool wana tatizo la defence miaka mingi kama hulioni ni matatizo yako ndio maana kila mwaka unasema mnachukua ubingwa,katika mechi 4 United amefunga magoli 12 na amefungwa magoli 2 while Liverpool amefunga magoli 8 na kufungwa magoli 8.BR alifungwa magoli 51 lakini kilichomsaidia timu ilifunga magoli 101 kitu ambacho kwa sasa hamuwezi kufunga hayo magoli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom