Hizi historia hazina maana yetote kwa sasa. .
Kama mlishindwa kubeba ligi kipindi cha akina Gerrard. Milner, Lucas Alonso ...nk basi andiken maumivu tu ..maana kwa ubovu wa kikosi ulichonacho usitegemee kuvuka hata hatua ya makundi UEFA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu burnly msimu uliyopita si alikutandika nje ndani au siyo wewe. Ebu matokeo ya msimu uliyopitaKwa kiasi fulani upo sahihi ila unawezaje kulinganisha uwezo wa bunley na man city? Ukianbiwa utaje timu3 ambazo zinaweza kuchukua ubingwa man city utaiweka lakini sio bunley, sasa jiulize uko pungufu na unacheza na watu ambao wanaweza kutwaa ubingwa na upo pungufu unacheza na timu inayoweza kushuka daraja
Chekii timu unayosema inashuka daraja inavyokunyoshaKwa kiasi fulani upo sahihi ila unawezaje kulinganisha uwezo wa bunley na man city? Ukianbiwa utaje timu3 ambazo zinaweza kuchukua ubingwa man city utaiweka lakini sio bunley, sasa jiulize uko pungufu na unacheza na watu ambao wanaweza kutwaa ubingwa na upo pungufu unacheza na timu inayoweza kushuka daraja
Acha kujitekenya hii ndiyo timu inayotaka kushuka dajara.Absolute garbage!
3-0 ilikua wakati Cahil tu kapewa kadi,anatolewa Fabr tayari mmeisha pigwa 3!Uwe na kumbukumbu
Kama trash team kama Burnley ambayo likely itashuka daraja inakupiga 3 sababu tu Cahil katolewa vipi sasa utasalimika 5 kwa Man City wanaofikiriwa hata kuwa mabingwa?
Nonsense at all!Unatujazia sred yetu tu kwa michango ya hovyo
Acha kujitetea wewe ..Chelsea pamoja na upungufu wa players wawili tena muhimu dhidi ya Barnley ..bado ilifanikiwa kurudisha magoli mawili ...sasa wewe kutolewa tu mane unapigwa tano, je angetolewa mwingine ci ungepigwa kumi
Wee kubali timu ni mbovu na ilizidiwa kila upande.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaumwa wewe nani msimu uliopita alimtandika liver nje ndani? Angalia huyo bunley alimaliza ligi wa ngapi na hata hiyo game aliyoshinda angalia nani aliposses mpira kuliko mwenzie, all in all man cty kamzidi bunley by far, huwezi linganisha uwezo wa cty na bunleyHuyu burnly msimu uliyopita si alikutandika nje ndani au siyo wewe. Ebu matokeo ya msimu uliyopita
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaumwa wewe nani msimu uliopita alimtandika liver nje ndani? Angalia huyo bunley alimaliza ligi wa ngapi na hata hiyo game aliyoshinda angalia nani aliposses mpira kuliko mwenzie, all in all man cty kamzidi bunley by far, huwezi linganisha uwezo wa cty na bunley
Washabiki wa Liverpool wanajua mpira kwenye mtandao tu. Na kutabiri ubingwa ambao nao mwisho wa siku wanajikuta hata kombe la mbuzi hawana.Mkuu usishangae ni Mshabiki wa Chelsea huyo aliyependa Mpira Ukubwani (2004) Baada ya Morinho Kuhamia Chelsea!
Washabiki Wa Chelsea Siku Zote Ninasema Hawajui Mpira watakusumbua tu. Manake hata hilo jambo dogo la Kuwa Game ya pili Burnley Tulimfunga 2 kwa 1 pia halijui! Atajua nini jengine...!
We jamaa si ulisema bunley kamfunga liver nje ndani?Washabiki wa Liverpool wanajua mpira kwenye mtandao tu. Na kutabiri ubingwa ambao nao mwisho wa siku wanajikuta hata kombe la mbuzi hawana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Rejea Chelsea vs Burnley after Cahil red card
Mkuu nakushauri endelea kushabikia netball yakoWashabiki wa Liverpool wanajua mpira kwenye mtandao tu. Na kutabiri ubingwa ambao nao mwisho wa siku wanajikuta hata kombe la mbuzi hawana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe huna historia nzuri na Chelsea kwenye UEFA. ..mara zote amekuwa akikupiga tuWewe @Ollachuga ni Shabiki Maandazi na Kitu Pekee Kwenye Mpira unachokijua nikuwa Mpira umeanza Kuchezwa na Drogba, Lampard, Joy Cole, Makelele, Gallas, Bridge, Cavalho na Geremi Kwasababu ndiyo wachezaji ulioanza Kuwafahamu pale ulipomfata Morinho Chelsea..
Lakini Wanaojua Mpira Basi Wanaweweseka Kuomba Wasijepangiwa Kukitana na Liveepool kwani Liveepool CL ni Rahisi kuliko EPL...
Na ninatamani Kwenye Mtoano (16 Bora) nikutane na Chelsea uone Nitakachokufanya.
hapa hatuangalii uwezo wa barnley au man city. .hapa tuna angalia uwezo wa clab yako kushindwa kuzuia mabao matanomaajabu leo barnley analinganishwa na cty kiuwezo
Chelsea alirudisha goli mbili..wee umerudisha hata moja? 5-0 ...Rejea Chelsea vs Burnley after Cahil red card
Nao defensi yao mbovu sana?


iyo defense ni mbovu kias gani. .Chelsea alirudisha goli mbili..wee umerudisha hata moja? 5-0 ...iyo defense ni mbovu kias gani. .
Sent using Jamii Forums mobile app
Lovren sijawahi kumkubaliKarius
Gomez Lovren Matip Robi
Can Hendo OX
Mane Fimo Salah
Seville na waje tu na tunawapiga easy tu!
Tuache kupanic