eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
Malafyale kama upo pole na kipigo
duh yanaongezeka tu,Don't worry! Everything is fine... No Retreat No Surrender
Bado tulia unyoleweFirst and Second Goals came from the same mistake...
Hahaha eti tunamuogopa COUTINHO hahaha uyo mme mzuia unadhani atacheza mpira wake wa kawaida!! Nadhani leo mmepata mnachokiitaji, timu bado mbovu sana ..halafu mna mategemeo kuchukua ligi hahaha ..labda mkaibe.Wale Mashabiki Wa Chelsea Waliokua Wakishadidia Coutinho Aondoke Liverpool Sasa Wameshaanza Kuingia Baridi na Kutetemeka Baada Ya Kumuona Coutinho Karipoti Mazoezini Na Kutrain Pamoja Na Kikosi Kizima na Wala Hakutrain Pekeyake kama anavyofanya VVD ili kushinikiza Kuuzwa..
Ikumbukwa Kuwa Mashabiki Wa Chelsea Wanamuogopa Coutinho Kuliko hata Messi au Mchezaji Mwengine Yeyote yule..
😀😀😀
View attachment 583558
Kwa ukumbavu kama huu unategemea kushinda kweli. LIVERPOOL ITACHUKUA UBINGWA PINDI MTOTO WANGU WA KWANZA ANAANZA CHUO MWAKA WA KWANZA PALE OXFORD![]()
Mimi ni mtu nisiejulikana, nafanya mambo yasiyojulikana





Bado mnapambanaTuliaaa!! Game haijaisha bado
Kuangamizwa/kuangamiza mtu.
duh yanaongezeka tu,
duuh 5-0 aiseeeee, aibu jamani sijui jogoo kanyolewa na wembe.Kuna janga huku. Majogoo wananyolewa. Malafyale yupo wapi aiseee.
Sent using Jamii Forums mobile app
aiseee poleni , matano mengi sana, na bado Man Utd hajawafunga ya kwake.Nilikitarajia Kabla Ya Msimu Kuanza! Ila Walioipenda Liverpool Kuanzia 2010 Ndiyo walitangaza Ubingwa Msimu huu! Lakini wanashindwa Kufahamu Kuwa Hakuna Timu inayochukua Ubingwa na Kikosi Kisichozidi Wachezaji 13...
naona majirani wameamua kutuiga.Masafa ya 5G
android phone