Kunguru Mjanja
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 2,047
- 3,978
Nataka kurudi Arsenal![]()
jamaa mechi zake mbili za mwisho kala magoli 9
Nataka kurudi Arsenal![]()
nikusindikize aisee , nikubebee simu mana hali ilivyo unaweza kusahau kwenye meza.
Leo ni siku mbaya sana kwetu... Hope Klopp and the boys will forget it and move on
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu aende man city akaseme week iliyopita tumemfunga Liverpool 5Nataka kurudi Arsenal![]()
Nasikia anataka kwenda Man city😀😀😀jamaa mechi zake mbili za mwisho kala magoli 9
dah,No! Leo nahisi sihitaji Company....
Jamani.cute b kuna msiba uku shogaaa, vaa dera tuje kuwapa pole.
Weraaaaaaaaaaaaaaa5G 5G 5G 5G.
Mmempa magoli mengi sana Man city.
5G 5G 5G 5G
Mkuu poleKadi ya Mane ndiyo turning point ya game!Kabla ya Mand kutolewa hawa tuliisha wabana
Salah alikosa bao la wazi sana na tukawa tunakuja sana
Tuna kikosi imara na kizuri,game ya leo haina maana yyt