Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

On the eve of the @premierleague season kicking off, LFC's Emre Can received his Carling Goal of the Season Award for THAT strike!
39720212ae6fe3b4c00e88763fe1ad2a.jpg
 
BREAKING: Official Liverpool statement on Philippe Coutinho. (Source: LFC)
b4f26874ab997288214f5818e6acf3dc.jpg
 
Let cou10 go

We need team players and there are many of them out there
 
coutinho has handed in transfer request...................., je itakuwa kama Suarez saga maana Fenway wama-issue statement ya kuwa Coutinho haondoki few minutes later the brazilian hands in transfer request

Kama ataondoka sasa hivi na hakukuwa na dalili za kutafuta attacking midfielder, who would Klopp turn to in such a short period of time as PC replacement? Isco??, messi???( refering to what klopp said in his press conference recently)

Malafyale M-mbabe OSOKONI MosDef sijui hata ndugu yetu huyu yupo wapi, Kidowle

proven No. 10
 
coutinho has handed in transfer request...................., je itakuwa kama Suarez saga maana Fenway wama-issue statement ya kuwa Coutinho haondoki few minutes later the brazilian hands in transfer request

Kama ataondoka sasa hivi na hakukuwa na dalili za kutafuta attacking midfielder, who would Klopp turn to in such a short period of time as PC replacement? Isco??, messi???( refering to what klopp said in his press conference recently)

Malafyale M-mbabe OSOKONI MosDef sijui hata ndugu yetu huyu yupo wapi, Kidowle

proven No. 10

Mkuu mak89…Ni kama wiki mbili hivi zimepita toka niandike maoni yangu kwenye jukwaa letu hili, kuhusu coutihno. Maelezo yangu yalitoa asilimia kubwa kwa phill kuondoka na kama angebaki basi ingekuwa ni well-done kwa timu yetu. Kuna wenzangu hapa walini-quote na kuonyesha kwamba napotoka na kwamba phil haondoki…but as we can see % kubwa inaashiria huenda tusiwe naye kwa msimu ujao ingawa waheshimiwa wamesema hauzwi!

Ishu ya phil iko tofauti kidogo na Lui kwa namna nionavyo mimi…Lui alipozingua kwa mara ya kwanza kutaka kwenda the gunners alitulizwa, na mmoja wa watu walioweza kuongea naye ni steve G. Apart from arsenal kuweza kufikia realese clause iliyokuwepo kwenye mkataba wake lakini owners nao walipigilia msumari wa kukataa kuuza. (It has been said that, steve alimwambia kwamba gunners will be a step down and instead he should give LCF at least one season and if a team like barca have to come then it will makes sense to leave…During summer break I think most of us tulikuwa tayari tumeishajua kwamba Lui hatorudi tena baada ya kilichotokea kwenye world cup. Hii ya phil ni kali! James Pearce baada ya kukataa kwamba hakuna transfer request, later on anatuhabarisha kwamba phili has REQUESTED HIS TRANSFER VIA EMAIL…and HIS IS DOING THIS A DAY BEFORE THE LEAGUE STARTS!!

Sina hakika kama timu ilijiandaa au haikujiandaa kwa tukio hili but what I hope is for the club to spend the transfer money wisely…kupata mchezaji wa level ya coutinho ni lazima nayeye atakuwa around bei hiyohiyo LCF watakayo uza…tumeona Dortmund refused pound 100m kwa Dembele…how about mbappe? I don’t know!!

LCF need to do something now! We sold Lucas and Stewart without any replacement…Lallana is now injured. Tumeshindwa kusajili our two main targets…mpaka sasa hatujui nini kinaendelea kwenye mkataba wa emre…are we gonna failed again on this transfer market?? No, we still have three weeks…WAKE UP WAKE UP!
 
Mkuu mak89…Ni kama wiki mbili hivi zimepita toka niandike maoni yangu kwenye jukwaa letu hili, kuhusu coutihno. Maelezo yangu yalitoa asilimia kubwa kwa phill kuondoka na kama angebaki basi ingekuwa ni well-done kwa timu yetu. Kuna wenzangu hapa walini-quote na kuonyesha kwamba napotoka na kwamba phil haondoki…but as we can see % kubwa inaashiria huenda tusiwe naye kwa msimu ujao ingawa waheshimiwa wamesema hauzwi!

Ishu ya phil iko tofauti kidogo na Lui kwa namna nionavyo mimi…Lui alipozingua kwa mara ya kwanza kutaka kwenda the gunners alitulizwa, na mmoja wa watu walioweza kuongea naye ni steve G. Apart from arsenal kuweza kufikia realese clause iliyokuwepo kwenye mkataba wake lakini owners nao walipigilia msumari wa kukataa kuuza. (It has been said that, steve alimwambia kwamba gunners will be a step down and instead he should give LCF at least one season and if a team like barca have to come then it will makes sense to leave…During summer break I think most of us tulikuwa tayari tumeishajua kwamba Lui hatorudi tena baada ya kilichotokea kwenye world cup. Hii ya phil ni kali! James Pearce baada ya kukataa kwamba hakuna transfer request, later on anatuhabarisha kwamba phili has REQUESTED HIS TRANSFER VIA EMAIL…and HIS IS DOING THIS A DAY BEFORE THE LEAGUE STARTS!!

Sina hakika kama timu ilijiandaa au haikujiandaa kwa tukio hili but what I hope is for the club to spend the transfer money wisely…kupata mchezaji wa level ya coutinho ni lazima nayeye atakuwa around bei hiyohiyo LCF watakayo uza…tumeona Dortmund refused pound 100m kwa Dembele…how about mbappe? I don’t know!!

LCF need to do something now! We sold Lucas and Stewart without any replacement…Lallana is now injured. Tumeshindwa kusajili our two main targets…mpaka sasa hatujui nini kinaendelea kwenye mkataba wa emre…are we gonna failed again on this transfer market?? No, we still have three weeks…WAKE UP WAKE UP!
Ukisikia sucker punch ndo hii tumepigwa na coutinho tena jioni kbisa na giza limeingia in two weeks time ni ngumu kupata replacement yake na ukizingatia ligi inaanza soon na timu nyingi hazitakuwa tayari kuuza star wao bila ya kuwa na uhakika wa replacement.

Kwa ninachokiona ni Klopp pamoja na Owners hawapo tayari kuumuza kabisa tutarudi kwenye issue ya suarez na arsenal kitu kingine kinachofanya kuwepo na ugumu wa kumuuza ni mkataba ambao hauna buyout clause aliyoingia hii itamfanya a-strike kitu ambacho kitamsababishia fury from fans.

mwishoni mwa msimu uliyopita fans wa liverpool wali-attack gari la coutinho na kuvunja kioo hapo ilikuwa ni rumours sasa kama hata huzwa na ameisha peleka request ya kuondaka si maisha yake yatakuwa magumu kwenye mji wa liverpool. Tujiandae tu kisaikologia tu little magician anaondoka na ubaya zaidi tumebakiwa na spana mkono Lallana,Sturridge,Henderson,Ings.

Possible lines up................


Salah Solanke Mane

Firmino

Gini Emre

Moreno Lovren Matip Clyne

Mig
ila bado tuna timu nyepesi sana kwenye paper
 
Daah naionea huruma sana hii klabu ..maana kotinyo ndo ivo tena hamna wa kumzuia ...sijui nani ata ziba pengo lake. Klopp tabidi ajipange kisaikolojia maana hakuna namna KOTINYO LAZMA HAONDOKE TU.

[HASHTAG]#kotinyoOUT[/HASHTAG].

c904eb7f14c76841d4c53214ea200b48.jpg
naona kama anasema ukweli kuhusu [HASHTAG]#LFC[/HASHTAG]

Ila tusuburi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkataba wa Coutihno HAMNA buy out clause
Klopp aliisha ona haya akaondoa hicho kipengele
Coutihno wenye kauli ya mwiho ni Liverpool hasa Klopp
Hawezi kuuzwa na wenye team wakilazimisha tujiandae kumpoteza Klopp
Kumbuka aliondoka BVB kwa sababu ya kutoelewana na watawala kuhusu kuuza uza!
Coutihno hana kisingizio cha kuondoka sababu hata sisi tunacheza champion league
UCL kule mnaenda kuongeza idadi ya timu zinazoshiriki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Liverpool Echo wamekuja na hii: Philippe Coutinho won't get his own way - but this is the beginning of the end at Liverpool

Wakuu baada ya Coutinho Kupeleka Ombi la Kuruhusiwa Kujiunga na Barca, msimamo wa FSG ni kwamba Coutinho Kajibiwa Moja kwa Moja Kuwa Hauzwi kwa Gharama yoyote hile na ataendelea Kubaki Liverpool Kwa Msimu Hui!
Ingawa Atakosa game ya leo kutokana na injury lakini akipona tu next game atavaa jezi ya Liverpool...

Hata hivyo Liverpool echo wanakiri kuwa ingawa Coutinho haendi popote kwa msimu huu na wala hawezi kulazimisha move ya Barca, lakini huu ndio mwisho wa maisha yake Ndani ya Liverpool kwani Msimu ujao iwapo Barca wataongeza £100m+ huenda akaruhusiwa.[/B]
 
Hii tabia klopp aikomeshe,Liverpool sio arsenal na iwe fundisho
 
Ligi inazid kuwa ngumu kukicha,timu zinazotaka ubingwa zinaongezeka kila msimu, lakini livepool yetu ni ileile na ndoto zilezile..Acha coutinho aende zake akachukue makombe situbaki na sifa yetu ya roho ngumu ya ushabiki na tubaki na day dreaming za ubingwa..f...ck

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwakweli hakuna namna KOTINYO NI LAZIMA ASEPE TU.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha aende zake maana hakuna la maana tunalofanya kuchukua vikombe...conte kaja akachukua,msimu ni wa pep au mou..sisi ngoja klopp wetu aijenge liver kama BVB baada ya miaka mitano wakina solonke,woodburn, ojo,ejaria,watakua washakua world class players tutachukua ubingwa..

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom