Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Klaap right now
517a2c6f9ca589cf016afd928e6694b1.jpg
 
TUNAFUNGA bao 3 hii ina maana foward haina shida!
Beki ama Klopp amsamehe Sakho au amlete VDJ
Team yetu nzuri sana tatizo mtu wa kucheza na Matip hayupo!
Moreno kabadirika sana
 
TUNAFUNGA bao 3 hii ina maana foward haina shida!
Beki ama Klopp amsamehe Sakho au amlete VDJ
Team yetu nzuri sana tatizo mtu wa kucheza na Matip hayupo!
Moreno kabadirika sana
Klop anabifu kama mwanamke

Uhuru atosha
 
Poleni Liverpool kwa kudondosha point 2 kwenye msimu huu mgumu

Sent from Man Utd fans
 
Majogoo yameshindwa kupiga mbawa leo.. Hii ndiyo PL sio International Champions Cup bana.
 
TUNAFUNGA bao 3 hii ina maana foward haina shida!
Beki ama Klopp amsamehe Sakho au amlete VDJ
Team yetu nzuri sana tatizo mtu wa kucheza na Matip hayupo!
Moreno kabadirika sana
huyu dogo jana alikamua vizuri sana
upload_2017-8-13_19-37-46.jpeg


Shida ilianza alipoingia huyu na ndio chanzo cha kufungwa goli la 3
150817-137-Liverpool_Bournemouth.jpg
 
Leo tena tupo dimbani dhidi ya hoffenhaim kule ujerumani. Hiki kitimu ni kizuri has a wanapokuwa nyumbani. Klopp analijua vizuri soka la kijerumani lakini tusipokuwa makini tunaweza kutandikwa na kujiweka katika mazingira magumu ya kucheza ulaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom