1.


1. chelsea bado walikuwa na interest mpaka juzi, walijitoa baada ya leaks za juzi. kwasababu tayari Van Djik aliweka wazi kuwa anataka kuja LFC

2. The same kama Chelsea, the player chose us (and Mou na Klopp wanaushawishi mkubwa kwa players kuliko Pep. Pep huwa anatumia pesa zaidi ndo maana hata kuja kwake hakujabadilisha mbinu ya City katika usajili "No negotiations")

3. Southampton walipeleka Complaints FA jana, ndo maana LFC wakaamua kuomba msamaha haraka, ili kuepuka."transfer ban" FA hawawezi kuchukua hatua zozote kwasababu Soton wenyewe wameamua kudrop complaint yao baada ya ile apology ya jana. kuna ushahidi wa Texts za Klopp Na Van Djik kabla.hata ya March. Soton walikuwa hawana tatizo na hilo ndo maana hawakuzuia kwasababu kila club duniani huwa inasajili kwa mtindo huo (hakuna jipya) but walikuwa pissed na habari kuwa Van Djik chose us wakati negotiations bado zinaendelea.

4. LFC wamefanya illegal tapping..hii njia ya usajili ndiyo inatumika na clubs zote, lakini machoni mwa FIFA ni illegal, PSG were forced kuomba msamaha kwa AC Milan kwenye ile saga ya Thiago Silva. we started kuongea na Van Djik kabla ya permission ya March (kitu ambacho soton hawakuona kina shida) but recent leaks ndo zimewaudhi, na wangetumia ushahidi wa Texts za Klopp na Van Djik kutushtaki.

ishu ya tap in ipo kwenye transfers, FA wakiamua kufanya uchunguzi kina Wenger watakuwa katika hali gani? Wenger huwa anaanza kuongea na mchezaji direct kabla ya Agent, Mourinho huwa anaingia kama kukiwa na ugumu kidogo.

taratibu za FIFA ni kuwa, unaanza kuongea kwanza na Agent wa mchezaji ili kujua kwamba kuna uwezekano wa mchezaji kuuzika/kuja kwenye club husika, Agent akikubali, ndiyo unaicontact club husika, ambapo kabla ya kuingia kwenye negotiations, unaomba ruhusa ya kuongea na kambi ya mchezaji (hasa hasa mchezaji mwenyewe) club husika inaweza kukubali au kukataa, ili kupisha negotiations kwanza. (ukraine/russia clubs ndo maarufu kwa hili)

Sasa club kubwa huwa zinaanza na mchezaji mara moja ili kuturn his head..whens the player head is turned hata agent anakuwa hana nguvu.

Wenger did to Suarez/Sanchez/Ozil/Xhaka/Cech/Petit etc. utakumbuka Ozil wanted to sack his father kama agent wake, kwasababu he wanted him to join PSG instead of Arsenal (Wenger alikuwa kishapiga simu muda mrefu sana).

na kama FIFA wakiamua kufanya uchunguzi wa suala la Mbappe club ipo itapona?,Klopp/wenger/Mou/Madrid wote wameongea na dogo, but Monaco are keeping it cool kwasababu wanaelewa ndo mchezo unavyoenda kwa sasa.

Negotiations strategies za FSG kutumia kina Paul Joyce and Cos ndiyo zinaticost kwa sasa.
Habari yako mkuu Mos...

Kwenye miaka ya hivi karibuni suala la mchezaji anakwenda wapi limekuwa likiamuliwa zaidi na guvu ya pesa na mbinu nynginezo. We’ll all remember what Chelsea did to get Willian who was already on the hand of Tottenham…and what did Ferguson did to sign Berbartov while he was already on the way to the other side…

I think kwa wacheza ambao wanajali kipaji chao and would like to enjoy their game will always choose Pepe over Maureen…

Soton complains ilipelekwa juzi baada ya board meeting…LFC wakapiga kimya! The next day tukaona jamma wameongaza dau la mauzo from toka 50 to 75m pounds…guess what happened after!!? Kocha kuwasiliana na mchezaji anaetaraji kumsajili siyo kitu kigeni ingawa siyo utaratibu rasmi…but I think them get pissed with the so called leaked story ni kwasabau waliona biashara inaharibika

If tapping in is illegal then they should take action ili isiendelee kutumika sababu itajenga hisia kwamba kuna watu ni untouchable! As far as I remember sababu moja wapo kubwa ya AC Milan kuwauza Ibra na Thiago kwa PSG ilitokana na wao kuyumba kiuchumi rather than PSG using back doors… Thiago kwenye interview yake ya kwanza as PSG player aliweka wazi kwamba hakutaka kuhama AC Milan but ni AC Milan wenyewe ndiyo walimlazimisha kuhama

Sasa kama PSG uses the same strategies like other big clubs, then how come unawalaumu tena?
 
Habari yako mkuu Mos...

Kwenye miaka ya hivi karibuni suala la mchezaji anakwenda wapi limekuwa likiamuliwa zaidi na guvu ya pesa na mbinu nynginezo. We’ll all remember what Chelsea did to get Willian who was already on the hand of Tottenham…and what did Ferguson did to sign Berbartov while he was already on the way to the other side…

I think kwa wacheza ambao wanajali kipaji chao and would like to enjoy their game will always choose Pepe over Maureen…

Soton complains ilipelekwa juzi baada ya board meeting…LFC wakapiga kimya! The next day tukaona jamma wameongaza dau la mauzo from toka 50 to 75m pounds…guess what happened after!!? Kocha kuwasiliana na mchezaji anaetaraji kumsajili siyo kitu kigeni ingawa siyo utaratibu rasmi…but I think them get pissed with the so called leaked story ni kwasabau waliona biashara inaharibika

If tapping in is illegal then they should take action ili isiendelee kutumika sababu itajenga hisia kwamba kuna watu ni untouchable! As far as I remember sababu moja wapo kubwa ya AC Milan kuwauza Ibra na Thiago kwa PSG ilitokana na wao kuyumba kiuchumi rather than PSG using back doors… Thiago kwenye interview yake ya kwanza as PSG player aliweka wazi kwamba hakutaka kuhama AC Milan but ni AC Milan wenyewe ndiyo walimlazimisha kuhama

Sasa kama PSG uses the same strategies like other big clubs, then how come unawalaumu tena?

Southampton wamepeleka complaint jana FA. juzi PR team yao ilitumia club's local media kutoa threat za kuichukulia LFC hatua za kisheria, ndo maana LFC hawakujibu kwasababu walikuwa wanaamini ni media tricks za soton. but jana walivyopeleka complaints rasmi, LFC wakawa forced kuomba msamaha.

Tapping up katika football ni "illegal" nadhani nimeelezea zaidi kwanini "clubs" zenyewe kwa zenyewe huwa zinachukuliana poa kuhusu hili, ni juzi tu Rais wa FC porto kailalamikia southampton kuhusiana na suala la wao kuongea na Casilas bila ruhusa yao. but hajathreat kuchukua any legal actions (coz wanaelewa wenyewe kuwa thats how the market rolls siku hizi)

nadhani kwenye posts zangu huko juu, nimeonesha kuilalamikia FSG kwa kuleak transfer stories kama mbinu yao ya kuzi-bully club husika katika negotiations na siyo kuhusu tap up's..

Sijaiponda FSG kuhusu Tapping up players, nimeiponda FSG kwasababu ya irrelevant leaks zao ambazo huwa wanazitoa pale negotiations zinapokuwa ngumu, this happened to Mk/konoplyanka/Texeira/Dempsey/ etc and wote hawa tuliwakosa.

Saga ya Silva to PSG, ilikuwa all over the media, point ya kwamba Milan waliuza kwasababu ya "uchumi" ni irrelevant. Milan accused PSG kwa ishu ya kuongea na Mchezaji bila ruhusa ya club, situation ile ilikuwa ni kama hii ya Van Djik, remember Barcelona pia walikuwa wanamtaka Thiago Silva, but PSG wakafanya kama sisi tulivyofanya na AC threatened to file a complaint. PSG issued an apology and issued a statement saying wanastopisha maongezi ya aina yoyote na mchezaji.

hii ni baadhi ya contents za kwenye press release yao ambayo waliitoa, na kuitweet..ni french lakini imetafsiriwa kwa lugha ya English isiyo rasmi.
 

Attachments

  • wp_ss_20170608_0003.png
    wp_ss_20170608_0003.png
    37.9 KB · Views: 38
Southampton wamepeleka complaint jana FA. juzi PR team yao ilitumia club's local media kutoa threat za kuichukulia LFC hatua za kisheria, ndo maana LFC hawakujibu kwasababu walikuwa wanaamini ni media tricks za soton. but jana walivyopeleka complaints rasmi, LFC wakawa forced kuomba msamaha.

Tapping up katika football ni "illegal" nadhani nimeelezea zaidi kwanini "clubs" zenyewe kwa zenyewe huwa zinachukuliana poa kuhusu hili, ni juzi tu Rais wa FC porto kailalamikia southampton kuhusiana na suala la wao kuongea na Casilas bila ruhusa yao. but hajathreat kuchukua any legal actions (coz wanaelewa wenyewe kuwa thats how the market rolls siku hizi)

nadhani kwenye posts zangu huko juu, nimeonesha kuilalamikia FSG kwa kuleak transfer stories kama mbinu yao ya kuzi-bully club husika katika negotiations na siyo kuhusu tap up's..

Sijaiponda FSG kuhusu Tapping up players, nimeiponda FSG kwasababu ya irrelevant leaks zao ambazo huwa wanazitoa pale negotiations zinapokuwa ngumu, this happened to Mk/konoplyanka/Texeira/Dempsey/ etc and wote hawa tuliwakosa.

Saga ya Silva to PSG, ilikuwa all over the media, point ya kwamba Milan waliuza kwasababu ya "uchumi" ni irrelevant. Milan accused PSG kwa ishu ya kuongea na Mchezaji bila ruhusa ya club, situation ile ilikuwa ni kama hii ya Van Djik, remember Barcelona pia walikuwa wanamtaka Thiago Silva, but PSG wakafanya kama sisi tulivyofanya na AC threatened to file a complaint. PSG issued an apology and issued a statement saying wanastopisha maongezi ya aina yoyote na mchezaji.

hii ni baadhi ya contents za kwenye press release yao ambayo waliitoa, na kuitweet..ni french lakini imetafsiriwa kwa lugha ya English isiyo rasmi.

Maisha ya wenzetu especially when it comes to serious matters, hayaendeshwi kwa kutoa threats kupitia media. We’re talking about institutes zinazoendeshwa with big budgets na kila angle ikiwa na watu professionals wenye kujua majukumu yao. Source za Press Association Sport zinaonyesha kwamba on Tuesday (na siyo jana kama ulivyoandika) Soton walionyesha nia ya kuitaka FA kuchunguza kinachoendelea juu ya usajili wa VVD. Echo wanatuambia…The St Mary’s outfit contacted the league to raise the issue and Red were then asked for their Observations…the echo also reveal that Soton have as yet not made any formal complaint to the Premier league over Liverpool’s actions!

Ishu ya tapping up kuwa ni illegal wala halina mjadala na halihitaji mifano. Watu wa mpira wote tunafahamu kwamba siyo kitu sahihi kufanya. Nilichoshauri mimi ni hatua zinazostahili kuchukuliwa ili the so called big teams ziache mchezo huo

Leaking up stories ni upuuzi but kwenye hili inawezekana VVd mwenyewe ndiyo amechemsha! Yesterday nimesoma tweet ya Carragher…”(The) only person at Liverpool who should apologies is the person who fed the story he wanted to come to LFC when no fee had been agreed”…

Your attachment does not show that PSG offered an apology after got threatened by AC Milan…different from what we’re witnessing on Soton, LFC situation. As for the balancing the bookings…it was mentioned on nearly each media which wrote on him and Ibra moving to France

But here that is not the case…
 
Maisha ya wenzetu especially when it comes to serious matters, hayaendeshwi kwa kutoa threats kupitia media. We’re talking about institutes zinazoendeshwa with big budgets na kila angle ikiwa na watu professionals wenye kujua majukumu yao. Source za Press Association Sport zinaonyesha kwamba on Tuesday (na siyo jana kama ulivyoandika) Soton walionyesha nia ya kuitaka FA kuchunguza kinachoendelea juu ya usajili wa VVD. Echo wanatuambia…The St Mary’s outfit contacted the league to raise the issue and Red were then asked for their Observations…the echo also reveal that Soton have as yet not made any formal complaint to the Premier league over Liverpool’s actions!

Ishu ya tapping up kuwa ni illegal wala halina mjadala na halihitaji mifano. Watu wa mpira wote tunafahamu kwamba siyo kitu sahihi kufanya. Nilichoshauri mimi ni hatua zinazostahili kuchukuliwa ili the so called big teams ziache mchezo huo

Leaking up stories ni upuuzi but kwenye hili inawezekana VVd mwenyewe ndiyo amechemsha! Yesterday nimesoma tweet ya Carragher…”(The) only person at Liverpool who should apologies is the person who fed the story he wanted to come to LFC when no fee had been agreed”…

Your attachment does not show that PSG offered an apology after got threatened by AC Milan…different from what we’re witnessing on Soton, LFC situation. As for the balancing the bookings…it was mentioned on nearly each media which wrote on him and Ibra moving to France

But here that is not the case…

Clubs use medias a lot man.

Ac Milan/Southampton/porto/Flamengo/Gremio/Shakhtar/Dynamo Kiev etc zote hizo zishawahi kutumia medias kwa ajili ya kutoa threats za kufile complaint etc..

Southampton used the Local paper "southampton echo" kuissue hizo threats kabla ya kwenda FA kufile the official complaint..

There is no way, Van Djik's camp wangetumia liverpool local papers kuleak story ya kuwa kakubali kuja LFC, Carragher alikuwa anamaanisha kuwa mtu wa ndani ya LFC aliyeleak hizo habari ndiyo anatakiwa kuomba msamaha na siyo club. (fingers pointed at Michael Edwards)

Paul Joyce/Dom and Cos ndiyo walitumika kileak hizo habari, no way Van Djik angewatumia hawa local journos kutoa hizo habari, wasingekubali hata kidogo, kwasababu huwa wanapewa habari moja kwa moja na Club. thats why katika saga zote za transfers za kina Suarez/Sterling/Torres/Mascherano etc kambi zao/players wenyewe hawakutumia local papers kuleak news/interviews kwasababu Local journos wanakuwepo kwa maslahi ya club husika (Pearce/Barett/Dom/Mellisa/Paul/Neil), kama ingekuwa ni kambi ya Van Djik ndo imeleak hizo habari, breaking news zingetoka kwa kina Maddock/John Cross/Andy hunter/Peter rouke/Graeme bailly and most of all Di Marzio.

hakunaga club duniani ambayo huwa inaleak news kupitia kwa "neutral journos". madrid use Marca, Barcelona use Catalan Newspaper, Milan/Inter use Gazzete delo sport, LFC use Liverpool Echo, Arsenal use BBC and so on.

utakuwa huijui FSG na LFC vizuri kama unadoubt nani ameleak zile news.

kwenye post yangu nimesema ile tweet ilikuwa ni baadhi ya contents za full statement ya PSG, (statement ya PSG ilienda moja kwa moja kwenye media (press release)) they used twitter kupost whats in that statement. LFC hawakuissue press release yoyote, walipost statement kwenye official website and thats that.
 
Dusan Tadic to Liverpool

The Times claim Liverpool boss Jurgen Klopp is keen on signing Southampton's Tadic this summer as he seeks to add more creativity to his ranks. The Serbian reportedly has a £13m release clause and would add depth as the German manager readies his team for a Champions League qualifier at the end of August.
 
"Dominic Solanke stars for England but Liverpool fans must show patience"

It was certainly a fine achievement and all of those involved should be proud of what they accomplished, but let's not get too carried away by England's victory in the Under 20 World Cup and what it now means for the players involved.

The narrative among some observes seems to be that this tournament victory is proof that the latest "Golden Generation" are ready to be unleashed on the Premier League, and that clubs have no excuse for not giving them their opportunity to shine. If only it were that simple. Sadly, impressing against players in your own age group is not the same as being able to hold your own in the Premier League.

Let's look at Liverpool, who had three players in that England U20 squad. Ovie Ejaria, Sheyi Ojo and new boy Dominic Solanke, who will officially sign for the Reds this summer after opting not to sign a new deal at Chelsea.

Ojo and Ejaria have been given limited opportunities by Jurgen Klopp and although the pair have shown some promise, neither look to be ready to challenge for a regular place this year. England winning the U20 World Cup does not change that.

Although Klopp seems to be a big fan of Ejaria, the 19-year-old is still a long way behind Adam Lallana, Emre Can, Georginio Wijnaldum, Philippe Coutinho and even Marko Grujic.

As for Ojo, he's talented but when Sadio Mane was missing and Liverpool were desperately short of pace and creativity on the right flank, Ojo couldn't even make the substitutes' bench. One day he might establish himself in Liverpool's first team, but that day won't be any time soon.

Indeed, when you look at that squad, with the possible exception of Everton's Dominic Calvert-Lewin, there isn't one player who is currently a regular with a top flight club.

Obviously it's more difficult for kids with the top six clubs to make a breakthrough, but there are players in that victorious England squad who have been unable to get a game with Bournemouth, Middlesbrough and even Newcastle United, who spent last season in the Championship. The lads from those clubs had to go out on loan in the lower leagues because they aren't ready for the top flight. Many never will be.

It's easy to blame the clubs for not giving opportunities to youth, but England winning the U20 World Cup doesn't automatically make those players ready for the demands of the Premier League. Some will go on to make it, but history tells us that most won't.

The question for Liverpool supporters is whether Solanke might be the real deal. After all, he was more than just a member of the victorious squad, he was the player of the tournament, following in the illustrious footsteps of the likes of Diego Maradona, Sergio Aguero, Javier Saviola, Lionel Messi and Paul Pogba.

It's exciting for Liverpool that their newest recruit has shone on such a big stage and it will be fascinating to see how high, or indeed how low, Solanke will be in the pecking order when the season starts.

Initial suggestions are that he will begin the season in Liverpool's U23 squad, with some first team action possible in the early rounds of the EFL Cup and possibly in Europe if there are any meaningless group matches.

Given the young striker refused to extend his contract at Chelsea due to a lack of first team opportunities, though, why would he swap their U23 side for Liverpool's? Presumably he must have had some assurances from Klopp that he'll get an opportunity to play, but when you look at Liverpool's current squad you have to wonder how Solanke will even make the bench.

As things stand, Roberto Firmino, Daniel Sturridge, Divock Origi and Danny Ings are competing for the one central striker berth in Klopp's preferred system. Solanke looks to be fifth in line, and even if one (or more) of the others were to move on, there's every indication that Klopp will be adding another top striker to his ranks this summer anyway.

Some at Liverpool might like the idea of cashing in on the injury prone Sturridge, but the player seems content where he is so shifting him might not be so easy. Ings has barely kicked a ball in anger for two years so a loan move to regain full fitness could be in everybody's best interests and would open up a spot for Solanke, but perhaps it is Origi who should be most concerned by the arrival of another hungry young striker looking to make his mark? The Belgian was distinctly underwhelming last season and now has it all to prove again.

Liverpool did not sign Solanke just to make their U23 side stronger, and more importantly, there has to be a reason why Solanke chose Liverpool when he will have had numerous other offers, many of which will have included a virtual guarantee of first team football.

Perhaps he will play a much bigger role next season than anybody expects.
 
"Liverpool summer briefing: Hong Kong, Germany, Dublin and transfers"


Liverpool reached the heights of fourth in the Premier League season and, while they did not find cup success, they will be in the hat for the Champions League playoff draw on Aug. 4, 2017 and will be one of the seeded teams.

A year ago, Jurgen Klopp was pondering his first summer in charge of the club and was putting into practice some of the unique training plans that has made them so successful this season. Now, with a full year of fitness behind them and an increased transfer budget due to participation in Europe's top club competition for the first time since 2014-15, they will be looking to make the step up.

The squad have already been out to Australia to play Sydney FC at ANZ Stadium on May 22 -- in a game that included Steven Gerrard and Jamie Carragher -- but real preparations begin in Hong Kong, their first trip to the region since 2007.

Liverpool have a huge fanbase in Asia and shirt sponsors Standard Chartered have a strong presence there, with the four-team knockout Asia trophy also featuring Crystal Palace (July 19) and a game against either Leicester or West Brom on July 29.

Then it's over to Germany for three games in a week, starting with a celebration of both clubs' 125th anniversaries (branded 'Celebrating football since 1892') against Hertha Berlin (July 29). The Audi Cup at Bayern's Allianz Arena will see Klopp's men come up against the German champions, as well as Atletico Madrid and one team yet to be announced, but likely to be either Napoli or AC Milan.

The final game on the agenda is a trip to Ireland to face Athletic Bilbao -- the first time the teams have met since the European Cup campaign of 1983-84 when Liverpool went on to lift the trophy.

Fixtures
July 19: Liverpool vs. Crystal Palace (PL Asia Trophy, Hong Kong)

July 22: Liverpool vs. West Brom/Leicester City (PL Asia Trophy, Hong Kong)

July 29: Liverpool vs. Hertha BSC, Olympiastadion Berlin

Aug. 1: Liverpool vs. Bayern Munich/Atletico Madrid/TBD (Audi Cup, Allianz Arena)

Aug. 2: Liverpool vs. Bayern Munich/Atletico Madrid/TBD (Audi Cup, Allianz Arena)

Aug. 5: Liverpool vs. Athletic Club, Aviva Stadium, Dublin

Total matches: Six

Total miles travelled: 13,981 (estimated)

- Liverpool to Hong Hong round-trip: 11,994 miles

- Liverpool to Berlin: 683 miles

- Berlin to Munich: 314 miles

- Munich to Dublin: 855 miles

- Dublin to Liverpool: 135 miles

Uncertainties
The final opponents for the Audi Cup are yet to be named. But of more importance is that the new Premier League season begins on Aug. 12 and almost immediately the club will face their Champions League playoff first-leg on the 15th or 16th. Before a second-leg on Aug. 22-23. The UCL opponents will be announced in a draw on Aug. 4, but a tough first few fixtures in the league could well make it a hard week or two.


Ins and outs
Liverpool will have extra games so desperately need to add some squad depth to the side. A left-back, centre-back, winger and a big-name striker to complement the arrival of England Under-20 star Dominic Solanke, are on the cards, while the future of Daniel Sturridge and midfielder Lucas remain up for debate.

The club will want to make a statement signing, but made rather the wrong statement in their failed pursuit of Southampton defender Virgil van Dijk.

Already signed:

- Dominic Solanke, ST, Chelsea: free transfer

Major players linked with arrival:

- Mohamed Salah, FW: Roma

- Virgil van Dijk, DF: Southampton

- Gelson Martins, FW, Sporting Lisbon

- Kylian Mbappe, FW: Monaco

- Naby Keita, MID, RB Leipzig

Already left:

- Alex Manninger, GK: contract ended

Possible departures:

- Mamadou Sakho, DF, Crystal Palace

- Alberto Moreno, DF, La Liga: Loan

- Lazar Markovic, FW, West Ham

- Andre Wisdom, DF, Derby

Youngsters
Klopp used the loan market well last year to send some young players out, but he's already promised that goalkeeper Danny Ward will fight for a place in the XI. He has a decision whether to keep or sell young Pedro Chirivella, but the future looks bad for the likes of Andre Wisdom and Jon Flanagan.

Returning from loan:

- Danny Ward, GK: Huddersfield

- Jon Flanagan, DF: Burnley

- Lloyd Jones, DF: Swindon Town

- Andre Wisdom, DF: Red Bull Salzburg

- Lazar Markovic, FW: Hull City

- Cameron Brannagan, MID: Fleetwood Town

- Pedro Chirivella, MID: Go Ahead Eagles

A squad of 25 travelled to Sydney and that included some young players too. Rhian Brewster, 17, should get a chance alongside the more established likes of Trent Alexander-Arnold, 18, and Ben Woodburn, 17. Despite failing to break into the first XI last season, 20-year-old Harry Wilson scored buckets of goals for the reserves and should get a chance to impress.

Joe Gomez, 20, will hope to take his chance to impress Klopp after a season spent recovering from serious injury. Sheyi Ojo and new arrival Solanke will be equally keen to make their mark after impressing with England U20 at the World Cup.

Possible youth-teamers to travel to Asia:

- Rhian Brewster, FW, 17-years-old

- Ben Woodburn, ST, 17

- Sheyi Ojo, FW, 19

- Harry Wilson, ST, 20

- Joe Gomez, DEF, 20

- Connor Randall, DEF, 21
 
Utd just bought Lindelof for £30m

The ev are paying £30m for Jordan Pickford.

but kuna some proper reds wanaona £60m ni huge kwa one of the Top five defenders in the league.

there's a reason why Klopp want this player kwasababu anaelewa soko la good CBs lilivyo kwasasa. kama unaachana na Van Djik, altenatives lazima ziwe zinashabihana na uwezo wake. ukiachana na kina Boateng/hummels/Bonuci/Chielin/Ramos/Pique/Thiago etc who are certified WC defenders, defenders wa level ya Van Djik kina Laporte/Marquinos/Varane/Umtiti/Gimenez/Manolas etc w'd cost £40m-£50m kama Van Djik. Laporte tu peke yake ana release clause ya £57m..

Koublaly wa Napoli anauzwa kwa £60m and Van Djik is miles miles better than him.

De Virj is very good but ni injury prone..

Fazio been good this season but not in any way better than Van Djik.

thats why Klopp went all out to get him..(he's that good)..

the lack if quality players and squad depth ilikaribia kuharibu msimu wetu.

Wakati Klopp anakuja LFC, nilisema kuwa ni mmoja kati ya managers wenye pulling power kubwa sana, CL football tu ndiyo ilikuwa ina-miss na sasa tuna CL and you can see how bigger his pulling power is.

Moaned a lot about lack of signings kwenye transfer window ya january, reached to a point ya kufikiria [HASHTAG]#KloppOut[/HASHTAG]. but this time around he's going for the players ambao tunawahitaji sana, Klopp anajulikana kwa falsafa yake ya kukataa kupay over the odds (refused to overpay kwa Texeira) at Dortmund, Klopp paid over the odds kwa Mikhtaryan/Aubameyang/Reus ukilinganisha na kiasi alicholipa kwa kina Lewandowski (ambaye alifail trials at Blackburn), Kagawa, Sahin,Gotze, Hummels (£1-2m), Gundogan, Bender etc. but alikubali kupay over the odd kwa kina MK and you can see what these players walichokifanya pale dortmund (MK ameacha legacy, Auba anaacha legacy (heading to PSG acc to reports), Reus turning into Dortmund's legend)

agreed to pay over the odds for Mane and Wijnaldum and ukiachana na Cout/Firmino hawa wawili wameplay part kubwa ya kupata Top Four.

and now he's willing to Pay £60m for van Djik kwasababu anaelewa Van Djik atatusaidia kwa kiasi gani. we could've signed Dahoud/PZ/Gotze/Tex etc but Klopp refused to pay over the odds for them ( i rmb we refused to add £2m for PZ) but ameenda extra miles kwa Van Djik, anamtaka kwa nguvu zote. and i am backing him fully kwa hili.
 
Emre Mor's agent saying we want him on loan..

i'd take him.

Dortmund walimnunua kipindi kile kwa "kumkomoa" Klopp, kama walivyofanya kwa Dembele..but wameshindwa kumpa nafasi.

Very talented footballer..i'd take him or Gray/Tadic kwa ajili ya squad depth. will be a good addition kwa kuwasaidia Salah na Mane kwenye Wings.
 
Utd just bought Lindelof for £30m

The ev are paying £30m for Jordan Pickford.

but kuna some proper reds wanaona £60m ni huge kwa one of the Top five defenders in the league.

there's a reason why Klopp want this player kwasababu anaelewa soko la good CBs lilivyo kwasasa. kama unaachana na Van Djik, altenatives lazima ziwe zinashabihana na uwezo wake. ukiachana na kina Boateng/hummels/Bonuci/Chielin/Ramos/Pique/Thiago etc who are certified WC defenders, defenders wa level ya Van Djik kina Laporte/Marquinos/Varane/Umtiti/Gimenez/Manolas etc w'd cost £40m-£50m kama Van Djik. Laporte tu peke yake ana release clause ya £57m..

Koublaly wa Napoli anauzwa kwa £60m and Van Djik is miles miles better than him.

De Virj is very good but ni injury prone..

Fazio been good this season but not in any way better than Van Djik.

thats why Klopp went all out to get him..(he's that good)..

the lack if quality players and squad depth ilikaribia kuharibu msimu wetu.

Wakati Klopp anakuja LFC, nilisema kuwa ni mmoja kati ya managers wenye pulling power kubwa sana, CL football tu ndiyo ilikuwa ina-miss na sasa tuna CL and you can see how bigger his pulling power is.

Moaned a lot about lack of signings kwenye transfer window ya january, reached to a point ya kufikiria [HASHTAG]#KloppOut[/HASHTAG]. but this time around he's going for the players ambao tunawahitaji sana, Klopp anajulikana kwa falsafa yake ya kukataa kupay over the odds (refused to overpay kwa Texeira) at Dortmund, Klopp paid over the odds kwa Mikhtaryan/Aubameyang/Reus ukilinganisha na kiasi alicholipa kwa kina Lewandowski (ambaye alifail trials at Blackburn), Kagawa, Sahin,Gotze, Hummels (£1-2m), Gundogan, Bender etc. but alikubali kupay over the odd kwa kina MK and you can see what these players walichokifanya pale dortmund (MK ameacha legacy, Auba anaacha legacy (heading to PSG acc to reports), Reus turning into Dortmund's legend)

agreed to pay over the odds for Mane and Wijnaldum and ukiachana na Cout/Firmino hawa wawili wameplay part kubwa ya kupata Top Four.

and now he's willing to Pay £60m for van Djik kwasababu anaelewa Van Djik atatusaidia kwa kiasi gani. we could've signed Dahoud/PZ/Gotze/Tex etc but Klopp refused to pay over the odds for them ( i rmb we refused to add £2m for PZ) but ameenda extra miles kwa Van Djik, anamtaka kwa nguvu zote. and i am backing him full kwa hili.
hivi bado klopp anataka kumsajili Van Djik after we have apologised???
 
Bayern are getting Tolisso. Wow.

they'll continue to dominate that league mpaka mwisho.

mid-3 ya Vidal/Tolisso/Thiago Alcantara (Thiago, best locomotion merchant after Lionel Messi)
 
hivi bado klopp anataka kumsajili Van Djik after we have apologised???

Deal is still On..

tuli-apologise ili kuepuka further complaints

though FA will hold a meeting baina ya LFC na Southampton ili kuclear the air, kwasababu pande zote mbili zimeona ni vyema zikaendelea mahusiano yao ya kawaida.

Juzi, southampton walilalamikia Chelsea kwaajili ya Tapping up kwa huyo huyo Van Djik. but haikuwa ni big deal kwasababu ilikuwa ni Chelsea (siyo media darlings).

We'll resume negotiations, but kuna kila dalili ya kuongeza £10m. kwasababu mara ya kwanza Soton walikuwa wanataka £50m so kutokana na ile debacle i guess watamuachia kwa £60m.
 
Deal is still On..

tuli-apologise ili kuepuka further complaints

though FA will hold a meeting baina ya LFC na Southampton ili kuclear the air, kwasababu pande zote mbili zimeona ni vyema zikaendelea mahusiano yao ya kawaida.

Juzi, southampton walilalamikia Chelsea kwaajili ya Tapping up kwa huyo huyo Van Djik. but haikuwa ni big deal kwasababu ilikuwa ni Chelsea (siyo media darlings).

We'll resume negotiations, but kuna kila dalili ya kuongeza £10m. kwasababu mara ya kwanza Soton walikuwa wanataka £50m so kutokana na ile debacle i guess watamuachia kwa £60m.
siku hizi defenders wamekuwa ghali kama attackers, naona mpaka ratiba wa epl ana kitu na sisi siyo bure august tuna 2 big games versa Arsenal na Man city
 
Back
Top Bottom