Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

upload_2017-6-16_12-17-43.png
 
Liverpool inambakiza Wards sababu Manninger kaisha ondoka!Na huyu atakuwa kipa namba moja wa Liverpool
Hata kocha wa hudder (best wa klopp) ashasema ataongea na klopp amtumie tena. Dogo bado mdogo he will go out. Manninger alikuwa kama.anafundisha wengine kudaka alishazeeeka. Bado tutamuona mignolet golini na yule mjerumani as no.2 au wakibadilishana. But dogo ataenda hudderslfield tena.
 
Salah's deal is done!
Kuna habari tumelipa pound Milion 39
Kazi nzuri!
Bado sasa winger wa kireno na OX
Then turudi kwa Van Djik sababu kocha kaja mpya na sheria zake pale Soton
God bless THE REDS
 
Hiyo habari ni changamsha jiji. Hatuwezi.mwaga 71m labda kama tutabadilishana na mchezaji kama tulivyofanya kwa torres 2007 (garcia plus money).
 
Hivi hatuwezi kumpata Aubameyang?...then Van Djik, afu Ox... vile tumemnasa Salah, hapo tutakoswa bek tatu..tu na Dm ili jeshi likamilike
Aubameyang hawezi kucheza chini ya klopp mkuu, hizi ni tetesi tu kuna zaidi ya asilimia 90 PEA atabaki dortmund msimu ujao
 
Aubameyang hawezi kucheza chini ya klopp mkuu, hizi ni tetesi tu kuna zaidi ya asilimia 90 PEA atabaki dortmund msimu ujao

Mbona kacheza chini ya Tuchel pale BVB kocha ambaye hamfikii kwa lolote Klopp?
Kwa nn Aube asucheze chini ya Klopp?
 
Mbona kacheza chini ya Tuchel pale BVB kocha ambaye hamfikii kwa lolote Klopp?
Kwa nn Aube asucheze chini ya Klopp?
Chini ya klopp Auba mara nyingi alikua anachezeshwa kama winger nafasi ambayo jamaa hakua comfortable nayo, Huyu huyu klopp ndio alitaka kumuuza AS Roma hadi watzke alipoingilia kati.
 
Hiyo habari ni changamsha jiji. Hatuwezi.mwaga 71m labda kama tutabadilishana na mchezaji kama tulivyofanya kwa torres 2007 (garcia plus money).
Hilo dau kubwa sana FSG sijui kama watakubali kutoa kweli.
 
Nmeona RB Lezpig hawataki tuuzia Naby Keita. Wanadai Keita hauzwi ng'o. Ssa cjui Klopp atamuangalia DM gn mwngine wa kutufaa....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom