Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,570
- 21,530
You are all welcome at Old Trafford today's evening.... Ni kichapo tu ...
Come on Lads .. GGMU
Come on Lads .. GGMU
Hatuangalii tupo wapi. Kichapo lazma mpate.Naona unaota mchana. Kama kwenu ulishindwa kumfunga unategemea nn kwao.
Baba yake Marcus alikuwa na miaka 18 alipompata!!! Dah! Maisha haya!! Unakuta jamaa alikuwa hana mbele wala nyuma kipindi anampata dogo. Sasa he is laughing straight to the bank.Hii sijui inafaa humu...
![]()
Liverpool 18 League titles..........Chelsea 5 League titles.........Hivi huoni aibu kuleta habari kama hii kwenye jukwaa la Liver?Hii sijui inafaa humu...
![]()
Baba yake Marcus alikuwa na miaka 18 alipompata!!! Dah! Maisha haya!! Unakuta jamaa alikuwa hana mbele wala nyuma kipindi anampata dogo. Sasa he is laughing straight to the bank.
Liverpool 18 League titles..........Chelsea 5 League titles.........Hivi huoni aibu kuleta habari kama hii kwenye jukwaa la Liver?
Mentor bana muda mwingine. Kwahyo kabisa unaketi chini na kuamini Chelsea watakujaga kuwa na idadi ya makombe (tena yoyote) sawa na Liverpool? Dah!aisee. Kweli ndo mana wakina mzee wa upako wana waumini.So what!???
5 titles..
6th loading...
..and counting!
Nyie/wao ndo wame-stagnate hapo....
kwangu alibana. kwake atapanua (ataachia).Naona unaota mchana. Kama kwenu ulishindwa kumfunga unategemea nn kwao.
So what!???
5 titles..
6th loading...
..and counting!
Nyie/wao ndo wame-stagnate hapo....
Chelsea haijafikisha hata theluthi moja ya makombe ya Liverpool halafu mashabiki wa Chelsea kwa uso mkavu kabisa bila aibu wanakuja kushindana na Liverpool.........Tofauti ni makombe 13,....achana na ya UEFA.Mentor bana muda mwingine. Kwahyo kabisa unaketi chini na kuamini Chelsea watakujaga kuwa na idadi ya makombe (tena yoyote) sawa na Liverpool? Dah!aisee. Kweli ndo mana wakina mzee wa upako wana waumini.
Hii sijui inafaa humu...
![]()
Mic dropHapa Ndiyo Ninazidi Kujirisha Na Hile Kauli Yangu Kuwa Kabla Ya Mwaka 2005 (Kuja Mourinho) Chelsea Haikuwa Na Washabiki.. Na Ndiyomaana Mashabiki Wa Chelsea Wote Hawaijui Historia Ya Timu Yao ikoje...!!
Washabiki Wote Wa Chelsea Wanatokea eitha Man U, Arsenal au Liverpool, Walizihama Timu Hizo Na Kuhamia Chelsea Mwaka 2005 Kumfata Mourinho, Na ndomana Mpaka Leo Utawakuta Wale Mashabiki Wa Chelsea Kindaki Ndaki Kuwa ni Lazima Watakuwa na Mapenzi Ya Ndani Ya Timu Zao Za Zamani na Baada Ya Mourinho KuwaAdapt Kuichukia Liverpool, Basi Mapenzi Yao. Yapo Aidha Kwa Arsenal au Man U...
Naamini Hiyo Picha uliyoipost Hapa inawakilisha Mapenzi Yako Ya Timu Yako Ya Zamani Moja Katika Ya Hizo Mbili hapo..
Labda Nikuulize Unaipenda ipi hapo, Arsenal? Man U?
By the way! Mimi Natimiza Mwaka Wa 27 bila ya Premier League Tittle.....
Hivi Hujui Kuwa Kabla Ya Mwaka 2005 Mourinho Kuwaonesha Mwanga, Chelsea ilikaa Miaka 50 kamili Bila ya Premier League Titlle??
Amakweli Nyie Mou-Fanboys Hamujui Chochote Kuhusu Historia Ye Timu Yenu Muliyodandia Ukubwani....
Mpwa 2003 uko kidato, kumbe bado mdogo kwangu? Mimi nilianza kushabikia Liverpool juzi tu hapa kipindi cha Alhaji diofHahahaha napenda sana Liver mnavyojua kukimbilia cocoon ya history mnapobanwa.
Sijawahi kushabikia man utd wala arsenal. Wakati niko sekondari nilikuwa shabiki wa inter milan (nilikuwa na jezi ya pirelli na nilipopata fahamu ya mpira wa nje na kugundua ni ya intermilan nilianza kuifuatilia na kuishabikia).
Vivyo hivyo nikiwa kidato cha nne 2003 nilipewa ofa ya kuchagua jezi ya kununuliwa. Kipindi hicho chelsea ilikuwa na wachezaji weusi wengi (Babayaro being one of them). Na nilichagua ya Chelsea (sababu nyingine ni kuwa i love the color blue). Tangu kipindi hicho nikawa official shabiki wa Chelsea hadi leo.
Kila mtu ana kilichomsababisha akashabikia timu anayoshabikia. Msipende kulazimishia watu kwa kukosa point ya kuongea.
Safari yetu ya miaka 50 ilianza na mwaka mmoja...10..20..27..50.
Uzuri maisha tunaishi kwa kwenda mbele. Tuombe uzima...miaka mingine 23 tuone mtaongea nini.
Ila kwa kuwa mimi si mpenzi wa historia zenu...naenda one season at a time...2016/2017 ndo tunayoongelea sasa.
Wacha nilale...na mkishindwa kumfunga Mourinho lazima mnipe ban walai....nitakesha hapa na kibwebwe!!!
Kipindi hicho liver anashinda ligi wew ulikuwa na miaka mingapi vile....we are in 2017. So tuongelee currentLiverpool 18 League titles..........Chelsea 5 League titles.........Hivi huoni aibu kuleta habari kama hii kwenye jukwaa la Liver?
Miaka 102.Kipindi hicho liver anashinda ligi wew ulikuwa na miaka mingapi vile....we are in 2017. So tuongelee current
Kuna watu wanatia huruma sana! Huyu huyu aliyeweka historia za watu humu, akijibiwa analalamika kuwa watu wanakimbilia kwenye historia!Hii sijui inafaa humu...
![]()