Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Tunahitaji mfunga magoli mmoja aisee. Hatuna true score striker yani. Tunatengeneza nafasi nyingi sana lakini nyavu zinatingishika kidogo yani.
Namuwaza sana Suarez angekuwepo na hii team sijuwi nani angetushika kwa mabao yani.
 
ukweli mtupu.
 

Attachments

  • IMG_5143.PNG
    IMG_5143.PNG
    35.8 KB · Views: 38
Jamani tuacheni utani Liver tumeporomoka vibaya sana kutoka kwenye standards zetu za kucheza uki compare how we played gemub4 za mwisho and we used to play november. Tunashuka issue sio kufurahia droo ila angalia how we are playing now.
Yaani sikuhizi umekuwa mkweli na muwazi zaidi yaani nakupendajeeee!!!! kesho ntakupitia maeneo yako nikupe soda yako si kwa ukweli huu!!!..... missing you!!!.... usijali no pain this time, EPL chapter closed ........ see youuuuuuu at EFL if God wishes.
 
Liverpool bila Mane na Coutinho ni sifuri..na bado january haijaisha. Muombe Mane watolewe haraka huko AFCON arudi kuwaokoa maana mpaka kiwango/confidence ya Coutinho irudi si leo
 
Ila hongereni na asanteni kwa kutimiza our wish!

Yours truly,
CFC.
 
Yaani sikuhizi umekuwa mkweli na muwazi zaidi yaani nakupendajeeee!!!! kesho ntakupitia maeneo yako nikupe soda yako si kwa ukweli huu!!!..... missing you!!!.... usijali no pain this time, EPL chapter closed ........ see youuuuuuu at EFL if God wishes.

Wanadhani kudanganyana ndo kutabadilisha ukweli ambao our last 5 matches in all competition have been under perfomance???unajua nn Dada yangu tujifunze Unapoona shida au mapungufu unayakiri sio kuyaficha mpaka yawe makubwa bt missing more
 
Liverpool bila Mane na Coutinho ni sifuri..na bado january haijaisha. Muombe Mane watolewe haraka huko AFCON arudi kuwaokoa maana mpaka kiwango/confidence ya Coutinho irudi si leo

Wewe Siku Zote Utabiri Wako Hugeuka Kuwa Wa Mganga Wa Kienyeji (Hauendi Sawa)...

Ulitutabiria Kuwa Uhakika Man City atatufunga! Hatma Yake Alishindwa.......
Ukatutabiria Sunderland Kuwa Atatufunga! Hatma Yake Akashindwa......
Ukatutabiria Man U Kuwa Atatufunga! Na Yeye Pia Akashindwa...
Sasa eti Unatamaa Kuwa na Wewe Pia Utatufunga! Pole sana Mkuu!!!!!!!

Mimi Nawahitaji Kina Coutinho na Mane Ninapocheza na na Zile "MID TABLE TEAMS na RELEGATORS" lakini Sio Kwa CHELSEA, ARSENAL, MAN CITY na MAN U ambao Munajiita Timu Kubwa.....

Wewe Subiri Tarehe 31st Nije Nikudonowe Pale Anfield Kiulaini kabisa.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom