Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

2017-01-07_14.19.07.jpg


Na Ndiyomaana Kuna Watu Nakuwa SiwaQuote Kwasababu Uwelewa Wao Ligi za Europe unakuwa Mdogo Na Ndiyomaana Mchezo Wa Jana Wakasema Tayari Soton Ameshatinga Finali wakiamini Kuwa Hakuna First Leg Wala Second Leg....

Lakini Kwa sisi Tunaoijua EFL Cup tunawaambia Kuwa Tutafanya Maamuzi Katika 2nd Leg hapo January 25 ambapo Tutaamua Nani Atacheza Finali Kama ni Liver au Soton..
 
View attachment 458736

Na Ndiyomaana Kuna Watu Nakuwa SiwaQuote Kwasababu Uwelewa Wao Ligi za Europe unakuwa Mdogo Na Ndiyomaana Mchezo Wa Jana Wakasema Tayari Soton Ameshatinga Finali wakiamini Kuwa Hakuna First Leg Wala Second Leg....

Lakini Kwa sisi Tunaoijua EFL Cup tunawaambia Kuwa Tutafanya Maamuzi Katika 2nd Leg hapo January 25 ambapo Tutaamua Nani Atacheza Finali Kama ni Liver au Soton..

Hahahaaaa mfamaji kwa hy jana hukuhitaji ushindi?
 
3 games without Jordan Henderson no wins . mliokuwa mnamtukana Jordan now mnaona umuhimu wake. Naomba hiyo j2 awepo maana

Mkuu Hayo Yako ni Wrong Perception!
Kumbuka Kuwa Tumecheza na Burnley, Bournemouth tukafungwa Akiwemo Huyo Henderson...

Na Tumecheza na Spurs, Soton, Westham Tukadraw Akiwemo Huyo Henderson....

Sasa unashangaa Kwa Sunderland, Soton Na Playmouth?

Mkuu Usiwe na Mawazo Ya Mpira Wa Kibongo! Tatizo la Sasa ni Performance Ya Timu Nzima na Wala si la Kukosekana Mchezaji Mmoja....

Timu Yetu imekosa Hoduma Za Wachezaji 4 tunaowategemea utambue hilo...

Waliokosekana ni ↓↓

1) Matip
2) Henderson
3) Coutinho
4) Mane

So, Hapo Uwezi Ukachukua Mmoja (Henderson) ukasema Tunapoteza Mchezo Sababu ni Yeye....
Hata Angekuwemo Henderson Kwa Jana Tusingelishinda...

Mkuu Muunganiko Wa Timu Ndio Unaoleta Mafanikio Sio Mchezaji Mmoja na Ndiomaana Timu Yetu ili ishinde Ni Lazima Pawepo na Trio 2 ambazo ni hizi hapa ↓↓

1) Henderson → Gini/Can → Lallana

2) Mane → Firmino → Coutinho

Sasa Bila Ya Hivyo ↑↑ tutaishia Kulaumu Makipa na Kulalamikia Henderson tu...

Cha Msingi ni Kusubiri Fitness ya Henderson, Matip na Coutinho Kwa Sasa atleast Tuweze Kuwania Top 4 (Na Sio Ubingwa)...…

Mkuu Kocha Alitengeneza Mfumo, Na sasahivi Ulioharibika Ni Mfumo Kwani Ni Dhahiri Kuwa Wachezaji Umewashinda (Reason behind! I don't Know...)
 
Liver iliyokuwa inatishia naona now haipo tena. Tulikuwa tunatisha sana kwa kupiga short passes in tight spaces huku tukikimbia kuelekea goli la wapinzani. Ssa hvi naona Klopp anaamua kutumia wings kupiga cross ambazo binafsi leo ni mechi ya 5 mfululizo nimeshuhudia hazina manuufaa kabisa kwetu. Klopp akiamua kuanza kucheza tena zile one touch za haraka in tight spaces kama alivyokuwa akifanya awali na Coutinho, Firmino, Lallana, Mane na Origi na wengine basi tutarudi kwenye ubora wetu. Huu mpira wa kupiga krosi hautufai coz timu pinzani wamepaki basi so wanakuwa wengi kwenye boksi so kuclear inakuwa rahisi. Kingine Klopp aache mahaba niue na DS15 na Can maana wanatuumiza sana hasa hasa DS15 leo alitakiwa atolewe hata dakika ya 20 baada ya goli maana hii mechi haimfevi his type of play inahitaji mtu kama Origi. Can nae ni kidonda pale kati hataki kutoa mipira haraka na anataka kuwa Messi kwa kukusanya kijiji anaishia kunyanganywa mipira bora Wij aanze na Lucas maana kdgo hawa majamaa wako straight kutoa mipira. Ila kinachotu cost ni huu mfumo mpya wa Klopp wa kupiga krosi wakati timu pinzani wako kama 7 kwenye boxi, its madness kwa kweli. Kwenye timu za kupaki basi unapiga short passes za one touch huku mki move haraka in tight spaces, na mwanzoni huu mfumo Klopp aliutumia ukatusaidia ila aliyemdanganya ahamie kwenye krosi ndo anaishusha Liver now.
Achen kulia lia basi, hakuna namna nyingine mnatakiwa mrudi kwenye nafasi zenu. Welcome OLD TRAFFORD teh teh teh
 
offcoz KIPA AKTUOKOA JANA.....NAONA ATLEAST BENCHI LIMEMCHANGAMSHA
 
Kocha mwenye kazi ngumu ni yule aliyeshinda 1-0 halafu anatakiwa kuja Anfield kwa 2nd leg. Angalieni msije nyie ndiyo mkaishia pale.

Miss you
Hahahaha ishi kwa matumainiiiii........... aiseeee missing you moo
Kocha mwenye kazi ngumu ni yule aliyeshinda 1-0 halafu anatakiwa kuja Anfield kwa 2nd leg. Angalieni msije nyie ndiyo mkaishia pale.

Miss you
 
J2 kikosi prediction
1.Mignolet atarudi golini ingawa karius alionyesha kiwango vs soton
2.Cline atashika nafasi kama kawa ingawa ningependa anorld aanze maana yuko offensive sana Cline hawezi hata kumpita beki mmoja yeye akipanda anarudisha pasi nyuma.
3.Milner atarudi na tunamhutaji hapo maana Ana dicpline sio kama Moreno ataunguza nyumba mapema
4.Lovren bila ubishi
5.Hapa Ni 50/50 unaweza kumuona klavan au Matip maana kaanza zoezi. Ingekuwa Ni juu yangu basi Matip aanze maana ataweza kumkontroll vzr sana kadabra bila ya shida.
6,7,8 HAPA tutakuwa na
LALLANA,GINI,HENDERSON
lallana atarudu upande wake wa kulia ambako ndio anakuwa the best sana. Can ataanza benchi maana anapoza sana movements kwenda mbele Ana dribo sana so tunachelewa pasi zetu zile.
9,10,11
ORIGI FIRMINHO COUTINHO
Ingawa ningependa nimuone sturdge ingawa alikuwa na game bovu vs soton maana Ana record nzuri vs shetani but naona Firminho atasimama tu pale na sturdge hawezi cheza vzr pembeni so najua kama sio ORIGI basi OJO atapewa shavu la kulia.
Sub: Sturdge,woodburn, can,karius,Lucas, anorlanorld n Moreno.
 
YNWA Kila la Heri wana Liverpool . Kamwe sitaki kufungwa na SHETANI Bora hata Everton Mara Mia
 
Here we go again..

Hakuna ushindi mtamu kama kumfunga ManFongo kwao, haijalishi competition or position.

Come on the Mighty Reds.
YNWA!
 
Here we go again..

Hakuna ushindi mtamu kama kumfunga ManFongo kwao, haijalishi competition or position.

Come on the Mighty Reds.
YNWA!
Naona unaota mchana. Kama kwenu ulishindwa kumfunga unategemea nn kwao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom