Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

😀😀😀😀 Finally Gurdiola Amekiri Kuwa Kumbe Kucheza Na Bercelona Ni Kazi Rahisi Kuliko Kucheza Na Kibonde Cha Uingereza..... Si Alibisha Huyu Alipoambiwa Kuwa Ligi Kuu Ya Uingereza Ni Tofauti Na Hile Ya Spain Unayocheza Mechi 20 bila Ya Kufungwa Wala Kudraw.... Na Mfungaji Bora Anaibuka Na Magoli 40.....


#Pep Akiri.png
 
Hizi tetesi za REAL MADRID Kumtaka COUTINHO zinaanza kuumiza vichwa tena maana Wabrazil wakishaanza kutakiwa na ZILE TIMU MBILI ZA SPAIN wanaanza kuzingua...
Inasemekana wapo tayari kutoa Paundi milioni 25 + JAMES
 
yaan hakuna kitu liverpool iattucost km kumwachia Courtinho aende dah, team itayumba sana
 
Hizi tetesi za REAL MADRID Kumtaka COUTINHO zinaanza kuumiza vichwa tena maana Wabrazil wakishaanza kutakiwa na ZILE TIMU MBILI ZA SPAIN wanaanza kuzingua...
Inasemekana wapo tayari kutoa Paundi milioni 25 + JAMES
Siyo hao tu kuna Barcelona wao ndo wapo muda mrefu tangu wamemchukua Suarez walitaka na Coutinho ili wawe na total package, Madrid wameibuka recently na wana na PSG Unai Emery anataka kutengeneza timu yake kuna watu anataka kuwaondoa pale

Kwa madrid kutupa hiyo hela na James hapana aisee, James ni mtu wa kutokea katikati ya uwanja ambapo kwa uchezaji wa Liverpool utakuwa mgumu kwake. Kama Madrid wana mtaka kweli Coutinho( na kwa sasa hatuna mchezaji mwenye guts za kuzikataa elite European clubs tulikuwa na Gerrard tu ambaye aliitolea nje Madrid) walete 30M na Isco tu
 
Siyo hao tu kuna Barcelona wao ndo wapo muda mrefu tangu wamemchukua Suarez walitaka na Coutinho ili wawe na total package, Madrid wameibuka recently na wana na PSG Unai Emery anataka kutengeneza timu yake kuna watu anataka kuwaondoa pale

Kwa madrid kutupa hiyo hela na James hapana aisee, James ni mtu wa kutokea katikati ya uwanja ambapo kwa uchezaji wa Liverpool utakuwa mgumu kwake. Kama Madrid wana mtaka kweli Coutinho( na kwa sasa hatuna mchezaji mwenye guts za kuzikataa elite European clubs tulikuwa na Gerrard tu ambaye aliitolea nje Madrid) walete 30M na Isco tu

Pale Madrid anacheza position gani? Kuna CR7, Bale, Modric, Benz
Kama ni PSG basi ni football suicide manake Ligue 1 hamna kitu hapo
Labda Barca ndio kutamfaa
I believe atamaliza season yake LFC
Season ikiisha akitaka kuondoka tunamtakia safari njema huko aendako
It was great to have him in LFC shirt
 
King Ngwaba ,

Kwa kuangalia lists ulizoweka, ni sahihi kusema bila Henderson Liverpool imekufa?

Maana katika zote, top ten yupo mchezaji mmoja tu wa Liverpool. [HASHTAG]#beWorried[/HASHTAG]
 
Pale Madrid anacheza position gani? Kuna CR7, Bale, Modric, Benz
Kama ni PSG basi ni football suicide manake Ligue 1 hamna kitu hapo
Labda Barca ndio kutamfaa
I believe atamaliza season yake LFC
Season ikiisha akitaka kuondoka tunamtakia safari njema huko aendako
It was great to have him in LFC shirt
Hapo anajua zaidi Zidane anae mtaka ila anaweza cheza nyuma ya BBC akiwa na modric
 
Pale Madrid anacheza position gani? Kuna CR7, Bale, Modric, Benz
Kama ni PSG basi ni football suicide manake Ligue 1 hamna kitu hapo
Labda Barca ndio kutamfaa
I believe atamaliza season yake LFC
Season ikiisha akitaka kuondoka tunamtakia safari njema huko aendako
It was great to have him in LFC shirt


Real Atacheza Winga Ya Kushoto Ya Kuvunja Kutokea Kati Kama Anavyochezeshwa Liverpool.. Bale Atacheza Right Wing... Banzema & Ronaldo Watasimama Kama Mafowards 9 & 10 respectively...
 
King Ngwaba ,

Kwa kuangalia lists ulizoweka, ni sahihi kusema bila Henderson Liverpool imekufa?

Maana katika zote, top ten yupo mchezaji mmoja tu wa Liverpool. [HASHTAG]#beWorried[/HASHTAG]

Kwahiyo Kwakuwa Man City Kila rekodi Yupo Kevin De Bruyne, Akiondoka Yeye Timu itakufa au??

Je, Kwenye Goal Scorers Yupo Hapo Henderson??
Sasa ukitoa Goli lake Moja Alilofunga Siku Ya Chelsea! Hayo 29 tuliyofunga Kafunga Nani??

Kwenye Assists Yupo Hapo Henderson??
Sasa Hizo Assists Za Magoli 26 (ukiachana na 4 ya penalties) KaAssist Nani??

Kwenye Shots Yupo Hapo Henderson???
Sasa Hayo Mashuti 210 ya Liverpool Kapiga nani??

Wacha Kuquote Post Za Watu Kipumbapumba....
By thr way! Wacha Nikupuuze..
 
Tokea kampuni ya takwimu ya Opta imeanzishwa hakuna Timu iliofanikiwa kuregister 17 shots on target kwenye single game zaidi ya Liverpool(jana)
 
When Kevin Keegan left, Kenny Daglish, John Barnes and Ian Rush arrived and start tearing up the defences in England the whole of Europe

When Michael Owen left, Torres arrived

When Torres left, Suarez arrived

When Luisito left, Coutinho stepped up

When Gerrard left, Hendo stepped up

In case Coutinho leaves, we trust in Lalana, Firmino, Gini, and Mane will step up

Worry not my fellow Reds

We are no Longer a one man team. Gegen pressing football requires a team effort
 
Kwahiyo Kwakuwa Man City Kila rekodi Yupo Kevin De Bruyne, Akiondoka Yeye Timu itakufa au??

Je, Kwenye Goal Scorers Yupo Hapo Henderson??
Sasa ukitoa Goli lake Moja Alilofunga Siku Ya Chelsea! Hayo 29 tuliyofunga Kafunga Nani??

Kwenye Assists Yupo Hapo Henderson??
Sasa Hizo Assists Za Magoli 26 (ukiachana na 4 ya penalties) KaAssist Nani??

Kwenye Shots Yupo Hapo Henderson???
Sasa Hayo Mashuti 210 ya Liverpool Kapiga nani??

Wacha Kuquote Post Za Watu Kipumbapumba....
By thr way! Wacha Nikupuuze..
Duu mkuu una hoja ila umemjibu kwa jazba sana huyu mdau Mentor , huyu mdau anaheshima zake jamvini japo yeye ni shabiki wa Chelsick
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom