Hivi kumbe!! Tatizo mie mpira hadi pawepo motivation.Uliwahi mara. Mpendwa wangu karibu sana usiishie barca tu
Usijar itapatikana tu kama raha ya juzi ungekosaje kwa mfano?Hivi kumbe!! Tatizo mie mpira hadi pawepo motivation.
Sadio Mane yupo vyema sana
Raha gani wewe timu yenyewe ni floppy.....Usijar itapatikana tu kama raha ya juzi ungekosaje kwa mfano?

Hana lolote huyo hapo kwenu kuna kale kamtu ka Coutunho tu lkn vingine vyote ni vichekesho tuSadio Mane yupo vyema sana
Mkuu hata kama ni mahaba na timu yako sasa hii ni noma. Kwamba mane hana lolote??Hana lolote huyo hapo kwenu kuna kale kamtu ka Coutunho tu lkn vingine vyote ni vichekesho tu
Ndio hana lolote kafanya nini kikubwa Zaidi kumzidi Philip Cou?Mkuu hata kama ni mahaba na timu yako sasa hii ni noma. Kwamba mane hana lolote??
Kwa hiyo kutomzidi coutinho ndo hana lolote?Ndio hana lolote kafanya nini kikubwa Zaidi kumzidi Philip Cou?
Magoli kua nayo mangi si hoja hoja ni nani yuko vzr kuliko mwenzake? Coutinho ni bora kuliko huyo Mane na ndio maana Cout anawekewa marking kubwa na timu pinzani. ......Kwa hiyo kutomzidi coutinho ndo hana lolote?
Hivi nani ana magoli mengi kati ya mane na co10??

Mentor bana, nimekutetea hapo juu halaf unaleta pumba tena?![]()
![]()
![]()
Haya subiri zamu yenu
Mimi Nitamuogopa Yule Sunderland ambaye yupo kwenye Relegation Kuliko Chelsea Ambaye Kila Mwaka Lazima Nivunje Daraja.. Na Kibaya Zaidi Getoni Anayekuja Huwa Sipigi Kidogo....
Hii pumbu ulio mwaga humu katafute wakumlisha maana hamna kuku humu![]()
Kwa hiyo kutomzidi coutinho ndo hana lolote?
Hivi nani ana magoli mengi kati ya mane na co10??
Hana lolote huyo hapo kwenu kuna kale kamtu ka Coutunho tu lkn vingine vyote ni vichekesho tu
They remain brittle at the back.
With Sadio Mane due to leave for the African Cup of Nations in January,
Mkuu Nzi umehama timu!????
Kweli Liverpool sio wa kutegemea...heri ungebaki Man utd una uhakika wa kumaliza nafasi ya 8, huku hakutabiriki mkuu! Hawachelewi ku-dab!!!
Unatufananisha mkuu kuna Nzi wa mama yuu na inzi ambae ni mimi wa liverpoolThey remain brittle at the back.
With Sadio Mane due to leave for the African Cup of Nations in January,
Mkuu Nzi umehama timu!????
Kweli Liverpool sio wa kutegemea...heri ungebaki Man utd una uhakika wa kumaliza nafasi ya 8, huku hakutabiriki mkuu! Hawachelewi ku-dab!!!
Hana lolote no matter do I watch Liverpool or not!....bado Mane hafiki kwa Phillip....A one man show? Possibly hauwangalii Liverpool wakicheza. A joy to watch jinsi wanavyoshirikiana
Nzi ninaemjua mimi hawezi akawa na akili pungufu za kahangaika na kupiga kelele kwa litimu lisilo na Premier League, huyu ni INZI sio NZI
Huna Premier League tittle, unazungumzia 18 League tittle mlizopata kipindi manyani yanacheza, hamna hata kona ukizidiwa unapiga mpira nje inakua goal kicknajua hauna muda wa kusoma gazeti zima japo soma hio mistari minne tu ya mwanzo. Asante![]()