Hendo ana bahati mbaya mkuu.Ameimprove sana uwanjani season hii and still the blames are put on him.To me hendo hastahili hizi lawama eti yupoyupo tu uwanjani hajui afanyeje?Our captain struggles so much to make sure a team win.Anaweza asiwe na kipaji kikubwa cha soka lakini juhudi zake kuziba hili gap ni kubwa.Kuna wachezaji wana kipaji kikubwa cha mpira kama Markovic but still hawafanyi juhudi zozote kipaji chao kionekane kina manufaa kwa timu zao.Work hard can outperform talent when talent does not work hard.Mkuu hivi mnaposema Hendo hakuwa mchezoni mnamaanisha nini!!??,siamini kama tulikuwa tunaangalia mechi moja na wewe.anyway,ukweli ni kwamba Hendo was the best midfielder on the pitch,amepiga pass nyingi kuliko mchezaji yoyote pale uwanjani na amefanya takles nyingi kuliko mchezaji yoyote wa LFC msimu huu,alafu bado mnasema kacheza hovyo!!
![]()
So far so good
Klopp angetusikia hii combo ingekuwa ya Sakho na Matip
Walahi tungekuwa na beki imara Ulaya
Matip anacheza juu sana,Sakho anacheza sana chini
Sakho January anauzwa!!
Hendo ana bahati mbaya mkuu.Ameimprove sana uwanjani season hii and still the blames are put on him.To me hendo hastahili hizi lawama eti yupoyupo tu uwanjani hajui afanyeje?Our captain struggles so much to make sure a team win.Anaweza asiwe na kipaji kikubwa cha soka lakini juhudi zake kuziba hili gap ni kubwa.Kuna wachezaji wana kipaji kikubwa cha mpira kama Markovic but still hawafanyi juhudi zozote kipaji chao kionekane kina manufaa kwa timu zao.Work hard can outperform talent when talent does not work hard.
He has been amazing so far
Selection ya Lallana-Can-Henderson ndo long term itatumika or itatakiwa kutumika but only kama tunacheza na defensive minded opponent, ila kama tunacheza na attacking opponent wijnaldum ataanza in place of LallanaMuna Mitazamo Mizuri ambayo inamaanisha Kuwa nyinyi Ni Wanakopites Wa Uhakika!!
Lakini Hawa Gini, Can, Hendo na Lallana Hawawezi Kucheza Wote Kwa Wakati Mmoja! Ni Lazima Mmoja Abakie Juu...
Combi yao ni Hii:- ↓↓
1) Hendo-Gini-lallana
2) Hendo-Can-Lallana
3) Can-Hendo-lallana
Sasa iwapo Can atacheza Holding Midfield! itampasa Hendo acheze 8... Kwahiyo Gini atabakia Benchi.
Au iwapo Hendo atabakia hilehile Holding Midfield! Basi Can au Gini mmoja wapo ataanza! Na kwasasa anayeonesha ubora zaidi kwa Mashambulizi Tokea Mechi Ya Man U basi ni Can... Kwahiyo Gini itampasa Abakie juu...
Lallana Yeye Hataathiriwa Na Mabadiliko ya Midfields Coz Hawa Hendo, Gini & Can ni Midfields Wakabaji na Wachezeshaji.. Lakini Lallana Yeye Ni Midfield Mshambuliaji (Wing or Foward no 10)! Kwahiyo Hatahusika Na Challenge Za Kina Gini, Hendo & Can.
I agree karius needs time but bado hajaonyesha ubora wa kupitiliza sana kwa mignolet...Mkuu Kwani Karius Jana Kafanya Kosa lagi la Kuigharimu Timu???
Mignolet Ndiye Aliyetucost Siku ya Arsenal au umeshasahau??
Jana Goli la Kwanza ni Mistake ya Lovren!!
Na Goli La pili ni Mistake ya Moreno na Lovren..
→ Moreno alishindwa Kumkaba Zaha Asiingize ktosi..
→ Lovren Alishindwa Kumkaba McArthur Asiucheze Mpira wa Kichwa..
So, it is not fair to blame Karius while he had nothing to do with those goals...
Karius Still ni New Comer Katika Hii League na Anaonesha uwezo mzuri tu kwani Anaendelea Kuimproove game after game...
Mignolet ni Kipa Mzuri sana! Lakini anapokuwa Golini Hawi Makini That is why anafanya Makosa mengi ya kizembe na Kutugharimu..
Kwahiyi Siokweli Kama Karius ni Poor!!! Karius ni Brave GK ambaye anaelekea Kuwa Tishio Barani Ulaya Coz ana Kila Sifa Ya Ukipa..
I agree karius needs time but bado hajaonyesha ubora wa kupitiliza sana kwa mignolet...
First goal ndio lovren mistake ilianzia kwake but karius should have stayed in goal kulikua na distance kiasi na lovren na matip walikua washaanza kum track McArthur and not only alitoka but hakuonyesha kutumia mwili wake kufanya striker ajichanganye but akageuka kama anaogopa collision that was indecision na ameonyesha kwenye game kadha
Secondly distribution yake haieleweki at best anapenda kuanzisha short passes ambazo zinam force defender arudishe kwake then anajikuta amebanwa na hana option then anapiga mpira with no accuracy maybe cause ya ku panic unaenda out of play which happened alot jana
Ila ni vitu vya kufundishika I hope goalkeeping coach anaona na watavifanyia kazi, ana kazi kubwa bado kuendana na standard tunayo expect
Kuhusu nani aanza kati ya Can na Wijnaldum mimi kwa mawazo yangu naona Wij aanze na Can atokee bench tena sub yake awe Lallana (inategemea na mchezaji siku hio yuko vp)
Can Dm lakini anapenda sana kupanda juu kufanya majukumu sio yake kama ikitokea tunekutana na timu inapiga accounter attack Can atatuuza mchana kweupeee....
Wijnaldum huyu yeye ni mzuri wa kugusa pass za upendo pass ambazo anataka kila mtu auguse mpira while Can anapenda sana kukaa nao na kusubiri adui aje wapambane sidhani kama kuna mtu atanibishia hili
Nikweli mkuu Sakho angesaidia sanaSo far so good
Klopp angetusikia hii combo ingekuwa ya Sakho na Matip
Walahi tungekuwa na beki imara Ulaya
Matip anacheza juu sana,Sakho anacheza sana chini
Sakho January anauzwa!!
tehteh Pazi nachungulia baada kubadili ch! jiji la London bado Westham LFC YNWA!
sababu nyiingi ndio kawaida yenu sasa wengine wanasajiliwa kufanya nn kucheza gololi? kamili au na nusu sie tulishawafunga tukajibebea point zetu 3.Mechi ya fungua dimba mlituotea hatukuwa kamili. A return game mtajuta kwa kumwamsha Simba aliyelala hahaha.
Mechi ya fungua dimba mlituotea hatukuwa kamili. A return game mtajuta kwa kumwamsha Simba aliyelala hahaha.
Mechi ya fungua dimba mlituotea hatukuwa kamili. A return game mtajuta kwa kumwamsha Simba aliyelala hahaha.
Tazama Na Huyu Mgonjwa Mwengine!!! Mtu Niliyekupiga Gemu Kumi Mfululizo Za EPL Bila Ya Kunusa Ushindi Kukupiga Goli Nne Unasema Nimekuotea????
Bila Shaka Wewe Ndiyo Kina Wale Mulioanza Kuangalia Mpira 2010...
Kwataarifa Yako Kwa Pale England Timu Tunayoongoza Kuinyanyasa Kuliko Timu Zote ni Arsenal...
Sisi Arsenal Ni Mke Wetu tu...
Stats hii ↓↓ Ni Kuanzia Mwaka 1992 - 2016 tu Ambazo Tumekutana Mara 50.
View attachment 426835 View attachment 426836 View attachment 426837 View attachment 426838 View attachment 426840