Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Hahahaha Umethibitisha kila stori ina sura zaidi ya mbili. Hapa umechagua sura inayokupendezesha wewe tu na kuja kusema hii ndiyo inayotakiwa kuangaliwa na kuaminika. Umekwenda kuchagua mechi walizoshinda Liverpool only but one halafu unakuja kusema ndiyo hali ilivyo kama vile Arsenal na Liverpool hawachezi mara kwa mara katika ligi.Kwa hiyo between 2000-2016 Liverpool na Arsenal hawajawahi kukutana hahahaha. Good try.
Mimi Najua Kama Tulikutaka Kabla ya 1992 na Baada 2000s!!! Lakini Nimekuekea Hizo ScreenShot Kukuonesha Kuwa Mimi Kukufunga wewe Sibahatishi wala Sikuotei Bali Ni Kawaida Yangu Niliyozoea Kukunyanyasa Yokea Kitambo tu... Hapo points Yangu Ni Kwamba Kama Niliweza Kukupiga Gemu 10 mfululizo (Umesota Miaka 8 bila ya Kumfunga Liverpool) nije Nishindwe Kukufunga Gemu 1 ya juzi????
"KWANZA USIJIDANGANYE! ARSENAL HAIKUWAHI KUMTAWALA LIVERPOOL HATA KIPINDI KIMOJA AMBACHO ALIKUWA MBABE WA LIVERPOOL"
SASA HUO UJASIRI WA KUONGEA NA SISI UMEUPATA WAPI?? WEWE ARSENAL KUBAHATIKA USHINDI SIKU MOJA MOJA HAIMAANISHI KUWA NDIYO UMEJIKOMBOA UTUMWA KWA LIVERPOOL!! KWANZA MIMI SITAWALIWI NA TIMU ZA LONDON UKAE UKIJUA...
SASA SUBIRI KIDOGO NITAKULETEA MATOKEO YA 2000 - 2016 UONE UNAVYONYANYASIKA.
Hebu Angalia Na Hapa FA Finali nilivyokunyanyasa mwaka 2001 ↓↓↓ sio uropokwe tu wakati Nimeshakuzoea..