SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,923
Hope wote tulikuwa weupeeeee![]()
![]()
![]()
![]()
,aiseee usuper star mmeuanza lini?
Kwa kiwango chenu toka ligi imeanza hata Arsenal wana nafuu
Leo LFC kutoa draw Ni sawa na Luxembourg kuibamiza USA
Yaani tumedhalilishwa kupita maelezo
Tumepoteza mechii hii kipuuzi sana