Wijnaldum ndio anafanya Hendo atiki pale kati ndio tunaona Pengo leo Can bado hajazoea mfumo huu mpya na akija kupoteza mpira tunaweza kuumia ila Bora winger zianze mbio bora hata Origi kengine Man U wametuzidi Ubavu wa mwili wanajua kutumia. ndio ambacho Widnaldum anacho.
Bado majeruhi huyoHuyu dogo Wijnaldum kwa nini hajacheza leo? Nahusudu anavyocheza. Mechi ya leo inaelekea wote walicheza kupata draw, hakuna aliye take a risk.
Kaumia, ila LFC wameniangusha sana sema zman U wamekuja na Game plan za Morinho ime work kati pale unavu na kurukia mipira juu wametuweza ila kengine nimpe pongezi Herrera kacheza vizuri leo Mane na Firminhohawakufurukuta. LFC hii Game naona kama tumepoteza Points 6 hivi na sio 2Points.Huyu dogo Wijnaldum kwa nini hajacheza leo? Nahusudu anavyocheza. Mechi ya leo inaelekea wote walicheza kupata draw, hakuna aliye take a risk.
Kaumia, ila LFC wameniangusha sana sema zman U wamekuja na Game plan za Morinho ime work kati pale unavu na kurukia mipira juu wametuweza ila kengine nimpe pongezi Herrera kacheza vizuri leo Mane na Firminhohawakufurukuta. LFC hii Game naona kama tumepoteza Points 6 hivi na sio 2Points.
Kaumia, ila LFC wameniangusha sana sema zman U wamekuja na Game plan za Morinho ime work kati pale unavu na kurukia mipira juu wametuweza ila kengine nimpe pongezi Herrera kacheza vizuri leo Mane na Firminhohawakufurukuta. LFC hii Game naona kama tumepoteza Points 6 hivi na sio 2Points.
Mkuu si umeona tena na leo DS alivyokua vasco da gama mule ndani? Narudia tena huyu jamaa haendani na kasi yetu.DS Nakubali Kuwa Kuanza Kwa Msimu Alikuwa Mzigo Ambao Ni Wakutugharimu! Laki Nilikuwa Bano Nina Some Hope Kuhusu Yeye Kwani Nilijua sababu Ya DS kuwa Mzigo Ni Kutokana Na Last Season Kusota Benchi Kutokana Na Injury Ya Muda Mrefu That is why imetake time Kurecover na Kumrudisha Katika Ubora Wake...!
Lakini Ukweli Ni Kwamba DS siku hadi siku Anaimprove Performance Yake Na Huenda Akarejea Katika Ubora Wake..
Wana kipa mzuri sanaHawa jamaa walikuwa weupe kabisa kuanzia mtumishi hewa Pogba, Felaini Wema Sepetu hadi hilo jitu kubwa akili ndogo Zlatan
Liverpool wameniangusha sana leo
Sturridge auzwe tu hana maana kabisa
Yaani tumepoteza hii mechi kijinga na inauma sana