Wijnaldum ndio anafanya Hendo atiki pale kati ndio tunaona Pengo leo Can bado hajazoea mfumo huu mpya na akija kupoteza mpira tunaweza kuumia ila Bora winger zianze mbio bora hata Origi kengine Man U wametuzidi Ubavu wa mwili wanajua kutumia. ndio ambacho Widnaldum anacho.Lalana and Wijnaldum kweli tumewamiss
Sturridge auzwe tu hana maana leo
Mashabiki wanajitahidi kuongeza morali but team haijaweza kutulia haswa kiungo...naamini 2nd half itakua tofautiHii game haijaendana na matarajio, hakuna mashambulizi ya kueleweka.Morali ipo chini sana, kwanzia mashabiki, kocha hadi wachezaji.
Naona akili zinaanza kuwarudia hahahaaKuna uwezekano wa 80% hii game kuisha droo.
Kuna uwezekano wa 70% mshindi akaibuka kwa goli 1:0.
Mashambulizi ya Liver hayatoshi, uzembe wa Sturr. upo clear kabisa.
Ibra ama Rashford wanaweza kutuumiza vibaya sana.
Game za namna hii ni mbaya sana.Inakuwa legelege then dak.80 mtu unapigwa nyundo.Wakati ukijitafakari unashangaa mchezo umekata. Clyne bado hajaonesha mambo yake ya siku zote.Mashabiki wanajitahidi kuongeza morali but team haijaweza kutulia haswa kiungo...naamini 2nd half itakua tofauti
Hachezi na Arsenal au ChelseaGame za namna hii ni mbaya sana.Inakuwa legelege then dak.80 mtu unapigwa nyundo.Wakati ukijitafakari unashangaa mchezo umekata. Clyne bado hajaonesha mambo yake ya siku zote.