Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Leo niwatakie kila lililo jema na kati ya mawili yatokee:-
1.Nipigieni kile kikundi cha wahuni ambao wanajaribu kua team
2.Pateni sare ili iwe faida kwangu hakika itanipa usiku wenye heri na baraka
![]()
Dua Za Arsenal leo ni Mbili:-
1) Gemu itoke Sare.
2) Liverpool ishinde.
Lakini Chaguo Lao ni Namba 1..
Lakini sisi Chaguo letu ni la 2.
😀😀😀😀😀😀😀