SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,923
Bad news!
Ooh shiiiiiiiit
Bad news!
ApiaJonas Hector karibu Anfield
Can anapiga jaramba (usiwaze)Wijnaldum has done his hamstring.
Can anapiga jaramba (usiwaze)
Bad news!
Hata kukiwa na mashaka na hali zao tuna kikosi kikubwa kidogo hivi sasa na wote walio nje wanausongo wakucheza kweli Can/Grujic/Lucas/wote wapo fitLallana, Clyne, Lovren, And now Wijnaldum.
Clyne and Lovren will make it, but sidhan kama Lallana and now Wijanaldum watakuwa tayar kwa gemu ya tarehe 17.
Hata kukiwa na mashaka na hali zao tuna kikosi kikubwa kidogo hivi sasa na wote walio nje wanausongo wakucheza kweli Can/Grujic/Lucas/wote wapo fit
Firmino ndie ana ushindi wetu hio juma3Yep Yep.
Depth ipo ya kutosha now.
Firmino ndie ana ushindi wetu hio juma3
Firmino hana histor za injury kama coutinho ndie anaumiaga jamaa na ndoanarejea kwenye form taratibu dahBado ana game moja na Brazil. Hope him and Coutinho watamalizia game yao bila setbacks zozote.
DS? Mkuu upo serious kweli? Kwani DO ana injury? Yani ni bora yule bwana mdogo anaweza kufanyia kitu kikaeleweka kuliko DS.....au bora amchukue Dany Ings anaweza kutufaa kwa zile mbio zetu lakin DS ni mzigo kwa staili yetu ya uchezaji.Wijna Asipokuwa Fiti Mimi Bado Nina Imani Na Can Kuwa Atawakilisha Vyema! Problem Lipo Kwa Kukosekana Lallana Lakini Hata Hivyo Bado nina imani na DS kuwa Anao Uwezo Wa Kutuwakilisha Vyema iwapo Naye Hatapata Injury...
DS? Mkuu upo serious kweli? Kwani DO ana injury? Yani ni bora yule bwana mdogo anaweza kufanyia kitu kikaeleweka kuliko DS.....au bora amchukue Dany Ings anaweza kutufaa kwa zile mbio zetu lakin DS ni mzigo kwa staili yetu ya uchezaji.