Gwamahala
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 3,925
- 2,327
Shenzi sana nyie...timu haina pesa mnambela tu...ovyi ovyo...mane atafanya mini sasa pale....
Mbona yule kasema anaondka Chelsea next season....anavunja mkataba
Matusi ya nini ndugu??
Shenzi sana nyie...timu haina pesa mnambela tu...ovyi ovyo...mane atafanya mini sasa pale....
Mbona yule kasema anaondka Chelsea next season....anavunja mkataba
Mwenye kujua mods wa jukwaa la michezo pls mtoeni huyu mtu anayekuja kwenye jukwaa letu kutukana!
Hapa ni jukwaa la watu wanao jiheshimu sana
Wanao bishana bila lugha za ajabu kama zako
Please ondoka hapa,hatukuhitaji
Nenda kwenye majukwaa ya watu wanao tumia lugha kama zako,sio hapa
Wana Kopites yyt mweny jina la mods wa jukwaa la michezo naomba nimripoti huyu
Pazi
MosDef
Wakuu kuna watu wala msisumbuane nao kwa kupoteza muda wenu kuwajibuMatusi ya nini ndugu??
Matip vipi?game yetu na Arsenal hua ya aina yake
kwa mimi naona 50-50 tu cha zaidi ni mwanzo wa Msimu
.
Sijui Mignolet kawa mpya au lah maana huyu nae,..nhh hata cech anaweza muotea
.
Sio mechi nyepesi wala ngumu,.. tutegemee tactical battle ya makocha,(even though JK amekataa huu usemi,kwa kusema sio makocha watacheza).. nikitegemea zaidi high pressing yetu,total team defending.!
Team work as JK said it's not all about individual it's a Team Work,..!!
Natarajia makubwa toka kwa Firmino Origi Mane Can Countinho wakiwa kwenye ubora ni waamuz wa matokeo,..
natamani zaidi kama Moreno angecheza winger ana pace ya kutosha,kupiga mijaruba ya mbali,na mguu wa kunyoosha upo ila ndio ivo hatuna LB mwingine.
Arsenal wana watu wanyumbulifu mno hasa kwanzia dimba la chini adi mbele kule (6-11),.. !! sijui klopp atatumia mbinu gani zaidi ya high pressing muda wote as we did at Etihad last season all in all Good luck my fellow kopities
my wish 1s 11 kwa 4-2-3-1
1.Mignolet
2.Clyne
3.Moreno
4.Lovren
5.Klavan
6.Can
7.Mane
8.Wijnaldum/Henderson
9.Origi
10.Countinho
11.Firmino
Matip bado hajawa fit.. majeruh yuleMatip vipi?
Welcome back mkuuHappy BPL day Everyone.
#LFC
Mapovu yanamtoka mpaka hajui anachokiongea!Matusi ya nini ndugu??
tunafurahi kukuona YNWA!Happy BPL day Everyone.
#LFC
Mkuu zilibaki siku chache nitoe tangazo la kukutafuta huku umekuwa adimu huwa unanitia moyo kuendelea kuishabikia timu iliyoningia moyoni kama nimelogwa kwema.Happy BPL day Everyone.
#LFC
Hahaaaha. Huo ndo ushabiki.Mkuu zilibaki siku chache nitoe tangazo la kukutafuta huku umekuwa adimu huwa unanitia moyo kuendelea kuishabikia timu iliyoningia moyoni kama nimelogwa kwema.
Mmmh ndugu, hiyo ni lugha gani? Unaweza kututafsiria kwa kiswahili hayo uliyoandika hapo?!Shenzi sana nyie...timu haina pesa mnambela tu...ovyi ovyo...mane atafanya mini sasa pale....
Mbona yule kasema anaondka Chelsea next season....anavunja mkataba
Mkuu, ni vizuri kuwa umeonekana. Ilifikia mahali nikaanza kufikiri kuwa kama uko bongo, basi utakuwa busy kuhamia Dodoma!Happy BPL day Everyone.
#LFC
Matusi ya nini ndugu??
Mkuu zilibaki siku chache nitoe tangazo la kukutafuta huku umekuwa adimu huwa unanitia moyo kuendelea kuishabikia timu iliyoningia moyoni kama nimelogwa kwema.
Mmmh ndugu, hiyo ni lugha gani? Unaweza kututafsiria kwa kiswahili hayo uliyoandika hapo?!
tunafurahi kukuona YNWA!