Wenger ameshika kiungo, kama tunataka matokeo hapo atoke henderson aingie Can na Lallana origi na kuchenji mfumohuu mpira LFC mbovu soft touch hizi watu wanaongelea Arsenal beki mpaka sasa ni sie hasa Moreno utumbo, Goli limetokana na Lallana na turn zake ila mpira unataka nguvu pia na akili hatuna majembe kabisaaaa tuna touch players ambao soft! Klopp halftime atamtabdika mtu makofi.
la tatu huko mkuuuuBado sijatizika na LFC uchezaji kama Arsenal wakiweka Xhaka sijui nani na Carzola wanatufunga.
Upo sahihiBado sijatizika na LFC uchezaji kama Arsenal wakiweka Xhaka sijui nani na Carzola wanatufunga.
kweli kabisa mkuu bt wacha tushangilie ila pia hata makosa wanatakiwa wayashughulikie vinginevyoUpo sahihi
Kama tunashinda leo sababu ya kukosekana kwa Carzola na Ozil
Wangekuwepo kwa kasi yetu hii wanatufunga easily maana tunapoteza sana mipira katikati
