Mwanzo mzuri, 5 defeats in a row WITH BRENDAN ROGER'S team!!
Hayo ndo mawazo ya Kops, mie sio YNWA, mi ni kimeo kile kingine cha North London kwa le prof!!
Brendan Rodgers team wanapotumbuliwa tu
Acha tufurahi tu chief, I hate Liverpool from deep down of my heart
Najiuliza wangeshinda leo sijui kesho ingekuaje kazini aisee,
HahahaAcha tufurahi tu chief, I hate Liverpool from deep down of my heart
Najiuliza wangeshinda leo sijui kesho ingekuaje kazini aisee,
Acha tufurahi tu chief, I hate Liverpool from deep down of my heart
Najiuliza wangeshinda leo sijui kesho ingekuaje kazini aisee,
nawangeoshea mbayaa bora tukose wote tuHuu mchezo hauhitaji hasira
daa basi tena!!
inauma
Dogo Enzomnafikiri kubeba EUROPA ni makalio, useme kila mtu ana yake.
#Looserfull
Sevilla wamejinja "mboga/ majogoo ya Malafyale"?Sevilla si timu ndogo, wamenipa raaha sana leo.
Acha tufurahi tu chief, I hate Liverpool from deep down of my heart
Najiuliza wangeshinda leo sijui kesho ingekuaje kazini aisee,
Loser will always be a loser broh, klapp sasa kapoteza 5 finals in a row, MLITEGEMEA JIPYA HAPOO???
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mzee naona leo tumekuja kuchekea kwa jirani


nimecheka kuwakuta huku wazee alafu mmeongozana kama kawa kwa jirani ila nyie mnafurahia jirani kafiwa hapa ni unoko unoko tu maana ukikausha siku ukifiwa utajuta,tar 21 may saa 1:30 nitakua kibarazani kwenu maana machale yananipa imani kua mnafiwa pale kwenu alafu yule dada yenu haji uku nahisi ni jukwaa la shemeji zake.

Duhnimecheka kuwakuta huku wazee alafu mmeongozana kama kawa kwa jirani ila nyie mnafurahia jirani kafiwa hapa ni unoko unoko tu maana ukikausha siku ukifiwa utajuta,tar 21 may saa 1:30 nitakua kibarazani kwenu maana machale yananipa imani kua mnafiwa pale kwenu alafu yule dada yenu haji uku nahisi ni jukwaa la shemeji zake.
You Will Never Win Anything![]()