Dah nililala na njaaa jana tutafanya nn na timu ipo kwenye damu mapenzi haya ya Mpira! Sorry God naanza kutudisha Mapenzi kwa Mungu kuliko mipira.Leo Wasiwasi wangu Ni Gameiro jamaa mbayaaa! na Klopp kutoshinda Last 4 Finals, LFC leo ushindi muhimu LFC YNWA!

