Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Klopp bado ananipa Moyo na Hii timu ni Kubadilisha Kipa na Mabeki na Middle style kama za Kante basi, Moreno abaki ila awe bench yy na Mignolet ndio mpira inauma ila With Klopp inaonyesha timu mbovu kaisukuma mbali je nzuri? Liverpoolfc YNWA!
 
Dogo Enzo
Lile Timu letu la mieleka na rugby linacheza CL au Europa msimu ujao?

Kule Arsenal wapo akina un-stable-negro wanamtaka Klopp ili awape motisha wachezaji.

Ukishangaa ya stable-negro unayaona ya majogoo ya malafyale.

Tunajipanga kwa msimu ujao, tutabeba vikombe vitatu! Hongeren arsenal kwa kuchukua ubingwa wenu big4
 
Dogo Enzo
Lile Timu letu la mieleka na rugby linacheza CL au Europa msimu ujao?

Kule Arsenal wapo akina un-stable-negro wanamtaka Klopp ili awape motisha wachezaji.

Ukishangaa ya stable-negro unayaona ya majogoo ya malafyale.
 
Hii performance yetu vs sevilla is 10000000000th reminder kua we need to sort our midfield big big time..as i said before kama klopp trusts his options in midfield atakua a german bogerman.. a failure waiting to happen....

we watched Ever Banaga(who seems to have been around forever) play the sort of football that Henderson or milner will never ever play..kama klopp anaendelea kuamin in training kuliko transfers then he is deluded...u cnt train a dog to read a book..same way he cnt train our current midfielders to be footballers...

Moreno is a bomb waiting to explode...he is a mignolet of defenders...lazima awe replaced huyu jamaa.

Firmino coutinho wanaharib when we need them the most...tunapozidiwa in midfield usitegemee hao brazilians kufanya la maana.. banega- krychowiak-nzonzi vs emre-milner?? Hii midfield battle sevilla waliwin kabla hata ya game kuanza...

I hope klopp atajifunza zaid na hataignore our glaring weakness in midfield...

No european football next season means tutakua na game chache..means we can play intensive gegenpressing consistently. ..means we will focus mainly in epl...ila it can also mean axing alot of deadwoods coz we wont be needing very big squad...
 
Tunajipanga kwa msimu ujao, tutabeba vikombe vitatu! Hongeren arsenal kwa kuchukua ubingwa wenu big4
Kubeba Vikombe vitatu ni makalio?
Wewe dogo kituko. Hapa umeandika nini?
Mkijitahidi sana msimu ujao, mtacheza Europa league.

mnafikiri kubeba EUROPA ni makalio, useme kila mtu ana yake.
#Looserfull
Looserfools?
 
Kubeba Vikombe vitatu ni makalio?
Wewe dogo kituko. Hapa umeandika nini?
Mkijitahidi sana msimu ujao, mtacheza Europa league.

Looserfools?
wachana na wajinga wengine Europa na CL hawajui hata inabebwa vipi.
 
Ndugu zanguni njooeni tujipe Moyo ndio football tehteh Liverpoolfc 4 Life tusiwe kama kina Mashabiki "Hewa" kina Mentor kule tehteh. Interview ya Klopp imezidi kunipa Moyo kuliko Ma Manager wengi wa LFC wakifungwa hawakubali walikosea wala kuyaona makosa, Klopp jana kasema LFC ukitoa Goli la Sturidge haijacheza mpira na hasa kipindi cha pili na anawapongeza Seville ila LFC toka achukue kaona matatizo na mazuri ya timu na hasa anaamini kama timu kama hii imefika Final basi akiweka sawa itafikia malengo hakuna alietegemea watafika hapo ukilinganisha na timu zengine, jengine Klopp alivyoulizwa kukosa CL ligi kasema inaumiza ila tena kasisitiza hapo ndipo nilipompenda Klopp kasisitiza ndio tutatumia vizuri muda wakutokuwepo CL inavyotakiwa japo na wengine watatumia muda wao ila toeni shaka anajiamini Klopp safi sana. LFC hii bila Klopp tungetoka zamani sana kwenye mashindano ya Europa, Klopp anasema kama unaweza kufika Final tabia ya kutaka kufika tena utakuwa nayo ndio football na siku ukiipata tena atahakikisha hawafanyi makosa. Sasa maneno yangu LFC hii mbovu ila tumefika hapo kuna watu timu zao wanajijua wanasema timu yao kimpira kali ila mashindano ya Europe wanasindikiza tu.
 
Poleni sana bandugu zangu kweli ng'ombe wa maskini hazai akizaa ni dume.....poleni may be next season mtamake....... Ed n Edd nEddy pole sana best yangu daah jana hadi nimekuonea huruma kuingia humu, Malafyale pole sana nkamu , pole sana best mak89 Pazi wembeee Manga ML na marafiki zangu wote humu na wanazi wote wa LFC......You never walk alone.
 
Duh nimecheka kuwakuta huku wazee alafu mmeongozana kama kawa kwa jirani ila nyie mnafurahia jirani kafiwa hapa ni unoko unoko tu maana ukikausha siku ukifiwa utajuta,tar 21 may saa 1:30 nitakua kibarazani kwenu maana machale yananipa imani kua mnafiwa pale kwenu alafu yule dada yenu haji uku nahisi ni jukwaa la shemeji zake.
You Will Never Win Anything
Hahahhahhahaha nimecheka mpka machozi......Hamna mtani mimi mwanamke bana Nina roho ya huruma....from the bottom of my heart niliwaonea sana huruma......
 
Umejitahid kuongea kama shabiki
5093ec657a5084cb6c643ec97f066a35.jpg
 
Poleni sana bandugu zangu kweli ng'ombe wa maskini hazai akizaa ni dume.....poleni may be next season mtamake....... Ed n Edd nEddy pole sana best yangu daah jana hadi nimekuonea huruma kuingia humu, Malafyale pole sana nkamu , pole sana best mak89 Pazi wembeee Manga ML na marafiki zangu wote humu na wanazi wote wa LFC......You never walk alone.
Ahsante everlenk, msimu ujao tutafanya vizuri tu

Sent from my K019 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom