Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool fans 1st half: “Look at the impact Klopp has made, amazing”

Liverpool fans 2nd half: “This is still Brendan Rodgers’ team"

#COKEhead
Msiba tena na huku kwa waliozoea miujiza. Sasa sie wacha turudi bandani kwetu 'OT' kama hakijatokea kitu vile..!! Vingenyanyuliwa vikwapa humu basi habari ingekuwa nyingine
 
Looserfools wa mchangani
CixBzXZWsAI3jZ3.jpg
 
Msiba tena na huku kwa waliozoea miujiza. Sasa sie wacha turudi bandani kwetu 'OT' kama hakijatokea kitu vile..!! Vingenyanyuliwa vikwapa humu basi habari ingekuwa nyingine
Daaah
Eb turud kwetu bhana

Kelele zangu kuhusu EPL itabid nizitulize kwanza
 
Msiba tena na huku kwa waliozoea miujiza. Sasa sie wacha turudi bandani kwetu 'OT' kama hakijatokea kitu vile..!! Vingenyanyuliwa vikwapa humu basi habari ingekuwa nyingine
Hivi kwenye ligi liver imemaliza ya ngapi?? Au mwakani wao ni kama chelsea?? Hamna hata futuhi??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom