Nilitaka liver washinde waje angalau ongeza coefficients za epl ulaya maana nina uhakika arsenal, spurs na leicester wanaenda zipunguza msimu ujao ila ndo hivyo tena!!Sio kuhisi, mshapigwa la tatu. Kuna mtu anayaogopa Majogoo?? Namuonea sana huruma Malafyale huko aliko sijui ana hali gani now now
Duuuh!!Samahani ndugu zangu,leo nipo naangalia final kwanza maana niko happy kinoma.
Tutakutana baada ya kubeba kombe.
YNWA
EPL soka limeporomokaNilitaka liver washinde waje angalau ongeza coefficients za epl ulaya maana nina uhakika arsenal, spurs na leicester wanaenda zipunguza msimu ujao ila ndo hivyo tena!!

Msiba tena na huku kwa waliozoea miujiza. Sasa sie wacha turudi bandani kwetu 'OT' kama hakijatokea kitu vile..!! Vingenyanyuliwa vikwapa humu basi habari ingekuwa nyingineLiverpool fans 1st half: “Look at the impact Klopp has made, amazing”
Liverpool fans 2nd half: “This is still Brendan Rodgers’ team"
#COKEhead
Wapi THE SPIRITS OF HILLSBOROUGH??I love you Liverpool. I still believe in you
DaaahMsiba tena na huku kwa waliozoea miujiza. Sasa sie wacha turudi bandani kwetu 'OT' kama hakijatokea kitu vile..!! Vingenyanyuliwa vikwapa humu basi habari ingekuwa nyingine
Hivi kwenye ligi liver imemaliza ya ngapi?? Au mwakani wao ni kama chelsea?? Hamna hata futuhi??Msiba tena na huku kwa waliozoea miujiza. Sasa sie wacha turudi bandani kwetu 'OT' kama hakijatokea kitu vile..!! Vingenyanyuliwa vikwapa humu basi habari ingekuwa nyingine
Umeongea la maana sana na mie nlitaka hvoNilitaka liver washinde waje angalau ongeza coefficients za epl ulaya maana nina uhakika arsenal, spurs na leicester wanaenda zipunguza msimu ujao ila ndo hivyo tena!!
S3V1LLA wame INSTAN-BASEL, walidhani kuna second legMsiba tena na huku kwa waliozoea miujiza. Sasa sie wacha turudi bandani kwetu 'OT' kama hakijatokea kitu vile..!! Vingenyanyuliwa vikwapa humu basi habari ingekuwa nyingine