Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

hahhaaaa atakua ana-wish sana kutufunga ili ajione bora .... Kama itakua kweli Swansea namuonea huruma Ayew




Alijichanganya alipokuwa anahojiwa kwao na vyombo vyao vya habari akasema

“What’s annoying me the most, is that I would have never signed for Liverpool if I wasn’t the manager’s first choice.”

Also ile game tuliyo-lose kwa soton Klopp alimlaumu sana na hivi anavyooneshwa mlango wa kutokea hayuko sawa kabisa
Nahisi Benteke ndiye atakuwa mchezaji wa kwanza kuondoka LFC..
 
Both Liverpool and Manchester City have made bids for Marc-Andre ter Stegen...
likija suala la kuchagua kati ya LFC na Man city, he'll chose city coz wataoffer mshahara mwingi..

Na kama atachagua kwenda City sidhani kama atakubali kuwa 2nd choice na pia sidhani kama Joe hart atakubali kuwa benched.

So kama city watamsajili Stegen, that means Hart ataondoka..but club yoyote itakayomsajili Hart lazma itaweka mezani mkataba mnono..i'd be happy kama Klopp will decide to go in for him.
 
Kuna makipa kibao EPL ambao watafanya vyema wakija Liverpool
Keeper kama Forster
Keeper kama Begovic
Keeper kama Scheim(ingawaje baba yake ni Man U)
Mignolet's stats are better than Begovic msimu huu..he's not an upgrade..
 
Goetze mwenyewe anapenda kuungana na Klopp lkn bado yupo kwenye mkataba na miezi 6 ikibaki ndiyo unaweza jiamulia mwenyewe!

Yy ana mwaka bado kwa hiyo hata Bayern bado wana nguvu ya kuamua aende kwenye hela kubwa lkn Man City hawezi enda sababu kama Pep hakukupanga Bayern una uhakika gani atakupa namba Man City?
he's coming to LFC.
 
Goetze ana mazungumzo zaidi na klopp huwa wanawasiliana Mara kwa mara ila lfc haijaonekana kuwa linked official tusubiri tu maana kila siku kuna kahabari kake anavyofeel ku-work na klopp
Its official, Smith, Barret, Pearce, Joyce, Jones, Bascombe, Mullock, Skysports, Honngton etc, wote wamereport..

Smith anasema Klopp anataka deals za Gotze na Zielinski ziwe zimeshakamilika before 1 july..

Jana Mullock kareport kuwa talks are in advanced stage baina ya LFC na kambi ya Gotze..

he's coming to LFC.
 
Congratulations to Adam Lallana, who has been named PFA Fans' Player of the Month for March!

30595914c02bddc10ff87df5b189a432.jpg
our Johan cruyff
 
Kweli,Wengi wa kopites hawaoni work rate ya hawa jamaa,...angalia hendo kafanya tackles 8 wakiwa na cou'...
Lol...hendo is useless..nitajie team 6 za juu pale EPL ambapo Hendo anaweza akaanza..
 
Hendo will struggle to start pale West ham..noble and kouyate are MILES better than him
 
Daaah beki yetu lahaulaaa!Kwa kweli Klopp ana kazi kubwa sana May hii
Lol, time flies, Leo Lovren ndo alikuwa nacover mistakes za Sakho...Sakho had a shocker today, but i'd still keep him

Basing on Lovern's perfomance this season (tangu aje klopp), i'd start him and Matip next season.

and ukiangalia kwa kina tatizo siyo our CBs tatizo linaanzia kwenye middle..Can anatakiwa kucheza kama DLP but anajikuta yupo out of his position kila.muda kwasababu ya kucover blunders za Hendo na Milner..hendo na Milner ni tatizo pale LFC, Can anahitaji watu wapya kwenye kiungo..we were so poor kwenye kiungo but Emre can himself aliweza kuwablock Dembele na Dier, kitu kilichofanya Alli kuwa kimya leo..but Hendo na Milner walikuwa busy kuchase their first touch..awful players..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom