Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Goetze ni kama deal done? Maana naona week hii we have been strongly linked nae sana

Sent from my K019 using JamiiForums mobile app
Goetze ana mazungumzo zaidi na klopp huwa wanawasiliana Mara kwa mara ila lfc haijaonekana kuwa linked official tusubiri tu maana kila siku kuna kahabari kake anavyofeel ku-work na klopp
 
Goetze ana mazungumzo zaidi na klopp huwa wanawasiliana Mara kwa mara ila lfc haijaonekana kuwa linked official tusubiri tu maana kila siku kuna kahabari kake anavyofeel ku-work na klopp
Klopp kakataa jana kuwa hajui lolote kuhusu Gotze

Lkn tukimpata Gotze na beki mmoja wa kati na box to box mido tutakuwa title contender
 
Begovic sidhani kama Chelsea watamuachia maana Cou naona kama PSG wanamtaka summer hii

Hapo juu I like foster

Stegan tatizo tulikuwa linked kitambo sana
Mkuu nadhani ulimaanisha Forster wa SOTON, sio foster wa westbrom....
 
Congratulations to Adam Lallana, who has been named PFA Fans' Player of the Month for March!

30595914c02bddc10ff87df5b189a432.jpg
 
Continued work at Anfield could mean Liverpool have to contest a home European qualifier away from Merseyside, with Bolton and Wigan possible alternatives.
 
Origi anaweza cheza against torts

Frimino tunahitaji 24hrs kujiridhisha zaidi haihitaji haraka lolote lawezekana (kuwepo/kutokuwepo)
 
Goetze ana mazungumzo zaidi na klopp huwa wanawasiliana Mara kwa mara ila lfc haijaonekana kuwa linked official tusubiri tu maana kila siku kuna kahabari kake anavyofeel ku-work na klopp
Vipi mnataka kumuuza Coutinho au Gotze anakuja kumrithi Benteke ?
 
Ilitakiwa tuwe mbele bao 2!Nafasi ya Dan na Lallana ilikuwa iwe bao

Then sijui Sakho nowdays kakumbwa na nn anababaika sana akiwa na mpira
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom