Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

imagine wanting Sturridge to leave LFC...mambo kama haya ndo yanafanya club yetu irudi nyuma baada ya kusonga mbele..

We gave Lovren a lot of sticks last season, but sahiv akiumia kidogo tu tunachanganyikiwa (but bado hatujifuzi kuwapa Players muda)

Leo asubuhi nimesoma sehem, nikaona some LFC fans wanaquestion ujio wa Gotze, hahahahah, na ukiwaambia Hendo hafai wanakubishia..na hapohapo wanataka team icompete..

origi na ings ni decent players, but bado hawajafikia uwezo wa kuiongoza LFC's attacking line,
Kop embu sasa niambie ni wachezaj gani ungependa wasajiriwe na akina nani waondoke
 
Msimamo wangu kuhusu DS wa sasa ni hafai kuiongoza liverpool kama mshambuliaji regardless of many words of convincing someone can write
 
Kop embu sasa niambie ni wachezaj gani ungependa wasajiriwe na akina nani waondoke
Wachezaji ambao ningependa wasajiliwe
-Ter Stegen/Leno (GK)
-New Left-back (Back-Up)
-Xhaka (Defensive Mid)
-Zielnski (Creative Mid)
-quick and skillful attacking winger (Kostic, ousmanne dembele etc)
-Mario Gotze

Wachezaji ambao ningependa waondoke
-Bogdan
-Skrtel
-Kolo
-Lucas
-Henderson (kama ingekuwa possible)
-Milner
-Jose Enrique
-Lallana
-Benteke
-Mignolet (kama ingekuwa possible pia)
-Jordan Ibe (Loan)
-Rossiter (Loan)
-Pedro (Loan)


pia it seems Klopp wants another Centre-back, and Niklas Süle is highly rated, i'd take him, but that means ndo utakuwa mwisho wa Lovren na Gomez(?)..Kama Süle akija, kutakuwa na Sakho, Matip, Lovren, Gomez, (Süle)..5 CBs.

Lets wait and see..
 
Some report claims BR summer hii atarudi EPL yawezekana ikawa ni Swansea
looool, hahahaha Rodgers alisema alikuwa anasubiria kazi kwenye club nyingine kubwa, hahaha imekuwaje anarudi Swansea??

kipindi kile some lazy Journals linked him with a Move to Barcelona..hahaha
 
Despotic la corona wameanza mazungumzo na lfc kuhusu saini ya huyo dogo pamoja na Illori

ec8c3985323d2c57d95dbfd79bdff218.jpg
 
looool, hahahaha Rodgers alisema alikuwa anasubiria kazi kwenye club nyingine kubwa, hahaha imekuwaje anarudi Swansea??

kipindi kile some lazy Journals linked him with a Move to Barcelona..hahaha
Hahahaa ingekua crazy thing if barca wakimpa mkataba .... tena unaweza kuta akaibuka na timu itakayopanda daraja
 
Hahahaa ingekua crazy thing if barca wakimpa mkataba .... tena unaweza kuta akaibuka na timu itakayopanda daraja
Hahahaha..Aende Swasea tu tumrudishie deadwoods zake zote..

Lol, vipi kuhusu Benteke? nmeona analalamika balaa..
 
Before you laugh at kids who believe in the Easter bunny, remember there are liverpool fans who believe they can win
the Premier League next season.

1459099833525.jpg
 
Wachezaji ambao ningependa wasajiliwe
-Ter Stegen/Leno (GK)
-New Left-back (Back-Up)
-Xhaka (Defensive Mid)
-Zielnski (Creative Mid)
-quick and skillful attacking winger (Kostic, ousmanne dembele etc)
-Mario Gotze

Wachezaji ambao ningependa waondoke
-Bogdan
-Skrtel
-Kolo
-Lucas
-Henderson (kama ingekuwa possible)
-Milner
-Jose Enrique
-Lallana
-Benteke
-Mignolet (kama ingekuwa possible pia)
-Jordan Ibe (Loan)
-Rossiter (Loan)
-Pedro (Loan)


pia it seems Klopp wants another Centre-back, and Niklas Süle is highly rated, i'd take him, but that means ndo utakuwa mwisho wa Lovren na Gomez(?)..Kama Süle akija, kutakuwa na Sakho, Matip, Lovren, Gomez, (Süle)..5 CBs.

Lets wait and see..
Dah poa kop in klopp we trust. Ngoja tuendelee kusapot chama letu no matter wat
 
Hahahaha..Aende Swasea tu tumrudishie deadwoods zake zote..

hahhaaaa atakua ana-wish sana kutufunga ili ajione bora .... Kama itakua kweli Swansea namuonea huruma Ayew

Lol, vipi kuhusu Benteke? nmeona analalamika balaa..


Alijichanganya alipokuwa anahojiwa kwao na vyombo vyao vya habari akasema

“What’s annoying me the most, is that I would have never signed for Liverpool if I wasn’t the manager’s first choice.”

Also ile game tuliyo-lose kwa soton Klopp alimlaumu sana na hivi anavyooneshwa mlango wa kutokea hayuko sawa kabisa
 
Liverpool Football Club today confirmed that Dr Ryland Morgans is to leave his role as head of fitness and conditioning, ending a near four-year association with the club.
 
Both Liverpool and Manchester City have made bids for Marc-Andre ter Stegen...
Goetze ni kama deal done? Maana naona week hii we have been strongly linked nae sana

Sent from my K019 using JamiiForums mobile app
 
Both Liverpool and Manchester City have made bids for Marc-Andre ter Stegen...
Kuna makipa kibao EPL ambao watafanya vyema wakija Liverpool
Keeper kama Forster
Keeper kama Begovic
Keeper kama Scheim(ingawaje baba yake ni Man U)
 
Goetze ni kama deal done? Maana naona week hii we have been strongly linked nae sana

Sent from my K019 using JamiiForums mobile app
Goetze mwenyewe anapenda kuungana na Klopp lkn bado yupo kwenye mkataba na miezi 6 ikibaki ndiyo unaweza jiamulia mwenyewe!

Yy ana mwaka bado kwa hiyo hata Bayern bado wana nguvu ya kuamua aende kwenye hela kubwa lkn Man City hawezi enda sababu kama Pep hakukupanga Bayern una uhakika gani atakupa namba Man City?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom