Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,897
- 11,292
Aliye panic ni Man UUtawaweza hawa Loserfools!! Mara Klapp kabadili timu! Mara oh Klapp anahitaji wachezaji wake! Mara oh tutamaliza top 4! Mara tusubiri msimu ujao Klapp akiwa na timu yake!
Hivyo wamepaniki chifu! Mizuka inazidi kuwaishia. Usishangae wakikwambia hivyo. Wanajifariji
Kutoka kuwa EPL kama mali yao hadi kuombea wamalize angalau nafasi ya 4 kwa mwaka wa 3 mfululizo sasa!
Kinacho wafanya m panic zaidi ni kuwa kila nafasi kasajiliwa mchezaji star na nafasi zingine wapo hadi watatu,na Di Maria wa Milion 60 akaondoka LKN hamna lolote la maana!
Falcao alilipwa bei gani hapo?