Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

ili swala liko serious sana aisee toure mwenyewe kesha amua hivyo..ngoja tuone
..maana nmesikia juzi mashabiki wa mancity wanalaumu uchezaji wake
 
Yaani huyu Henderson na yule Benteke, huwa nawaona kama walikosea njia kuja Liverpool.
sana sana Benteke, lakin alishauriwa na Tim Sherwood kuwa LFC haitomfaa, but kwa upande mwingine mchezaji gani wa Aston Villa angekataa move ya LFC tena kwa mshahara wa 120k per week??
 
ili swala liko serious sana aisee toure mwenyewe kesha amua hivyo..ngoja tuone
..maana nmesikia juzi mashabiki wa mancity wanalaumu uchezaji wake
We're NOT signing him Jaslaws

Kutokana na Reports za Kina Ben smith, ni dhahiri kuwa Targets zetu kwenye eneo la kiungo ni Xhaka na Zielinski..

Ishu ya Xhaka imekuja tena, kwasababu inaonekana City wameamnua kudeal na Gundogan..so hapo mlango kuhusu Saini ya Xhaka unafunguka, he'll cost a lot but Wage demands zake hazitakuwa kubwa kama za Gundogan.
 
Jamaa anaondoka nini etihad???
Toure hakuondoka Barca vizuri kipindi cha Pep..situation yake ilikuwa ni kama ya Ibra wakat anaondoka Barca...hakukuwa na maelewano mazuri na Pep.

And Kwa sasa Man city are targeting Pogba na Gundogan..that leaves no room kwa yaya Toure...

But LFC wont sign him, he's past his best..
 
Mmeona hujuma ya kwanza dhidi ya Liverpool kwa wachezaji wetu?Lovren kacheza dakika zote 90 leo na Israel!

Hii haikubaliki na kocha wa Uingereza huwa anamchezesha DS dakika zote 90 badala ya 45!
 
Mmeona hujuma ya kwanza dhidi ya Liverpool kwa wachezaji wetu?Lovren kacheza dakika zote 90 leo na Israel!

Hii haikubaliki na kocha wa Uingereza huwa anamchezesha DS dakika zote 90 badala ya 45!
Nani anawahujumu?
Katumwa na timu gani kuwahujumu ?
 
Kuna tetesi kuwa Man City ( Pep Guardiola) anamtaka coutinho kama replacement of aging David silva hii niliona jana kwenye Liverpool tv wakiwa wanachambua usajili.

Kuna tetesi tume kubaliana na River plate wa kuuziwa striker wao Lucas Alario kwa pound 8m (new Max Rodriguez???) ila dogo yupo vizuri japo at age of 24 hajawahi kuitwa Argentina's national team
 
Lots of arguments for and against whether selling Sturridge for £45 million would be good or bad for LFC.
 
Lots of arguments for and against whether selling Sturridge for £45 million would be good or bad for LFC.
Ed tambua Mil 45 nying sana for sturridge ambae hayuko reliable fitness wise...

But upande mwengine hamna many strikers in europe tunaowez kuwasain
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom