Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,897
- 11,292
Daaaa!Kakera sana leo huyu mtu!Vipi Lovren aliumia?Lovren kaitwa team ya Taifa kwa week hii?skrtel analipwa 90k+ per week man..
Daaaa!Kakera sana leo huyu mtu!Vipi Lovren aliumia?Lovren kaitwa team ya Taifa kwa week hii?skrtel analipwa 90k+ per week man..
Nadhani atakuwa kaumia tena AU labda ilikuwa ni precaution ya Redcard, but nahisi itakuwa ni injury, tusubirie official reports...ila kama itakuwa ni injury, then april 7 na game dhidi ya spurs itakuwa ni balaa..Daaaa!Kakera sana leo huyu mtu!Vipi Lovren aliumia?Lovren kaitwa team ya Taifa kwa week hii?
Mechi ya jana ilikuwa inatupeleka CL easily kabisaNadhani atakuwa kaumia tena AU labda ilikuwa ni precaution ya Redcard, but nahisi itakuwa ni injury, tusubirie official reports...ila kama itakuwa ni injury, then april 7 na game dhidi ya spurs itakuwa ni balaa..
Yeah, nahisi kaitwa tena safari, manake alikuwa kapigwa chini kwenye kikosi cha croatia..atakuwa amerudishwa sahiv.
Klopp anatakiwa adeal zaidi na Europa league kwa sasa..Mechi ya jana ilikuwa inatupeleka CL easily kabisa
Captain Hendo kamkosea nn Klopp?Kuna anaye elewa kwa nn?and SundayTimes are saying Klopp is ready to offload Henderson....Spurs are interested.
Villarreal ni timu ngumu sana chief, sio la liga tu hadi Europa sijashangaa kudroo na barca, tatzo lenu looserfool ni kwamba hamna consistency, leo mtakua vizuri mtawasifia sana wachezaji, game ijayo mtaharibu mtarudi kusema klopp anahitaji wachezaji wake.Soka gani una analyze hivyo?Leo Barca ka draw na Villarel ina maana hawaendi popote CL?
Hii iko since wiki iliyopita that's why zikaibuka tetesi kuwa klopp will sell out hendo ili pia kupata hela za kuongezea hapo na imeonekana kweli itakua hivyo baada ya jana hendo kupigwa benchBensmith, saying we want Gotze and Zielinski...lol, old tricks za club bado zinaendelea, leaking good news baada ya shit perfomances kuwacheer up fans..
Siku Liverpool wakiamua kufungwa wanafungwa kirahisi na jana waliamua kufungwa ndio maana Southampton wakashinda kiulainiMechi ya jana ilikuwa inatupeleka CL easily kabisa
Henderson anatakiwa kuondoka LFC, hana standard za kuvaa jezi ya LFC..Captain Hendo kamkosea nn Klopp?Kuna anaye elewa kwa nn?
Leo hii mnataka captain wenu aondoke tena vibaya hivyo.Henderson anatakiwa kuondoka LFC, hana standard za kuvaa jezi ya LFC..
Klopp anataka kusuka kikosi chake upya, so sidhani kama deadwoods zitaendelea kuwepo msimu ujao
SAF aliongea ukweli na mashabiki wa Liverpool wakamtukana kwa ile statement now wanakubaliLeo hii mnataka captain wenu aondoke tena vibaya hivyo.
Hata Sir Alex alimponda huyu. Mchezaji hata kudribo mpira hajui. Captain Henderson