Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

SAF aliongea ukweli na mashabiki wa Liverpool wakamtukana kwa ile statement now wanakubali
Nakumbuka sana. Wakasema kuwa SAF ana wivu kisa amemkosa. Leo wanaanza kumkataa captain wao
 
Leo hii mnataka captain wenu aondoke tena vibaya hivyo.

Hata Sir Alex alimponda huyu. Mchezaji hata kudribo mpira hajui. Captain Henderson
Wacha matuc eti hata kudribo hajui,...SAF alimponda ukimbiaji wake akasema atakua na injury prone,...!!!
 
Bogdan
Skrtel
caulker
ilori
Henderson
Milner
Lucas
Benteke
Lallana
Enrique
Teixeira
Sinclair

Wanatakiwa waondoke summer hii, either kwa mkopo au kuuzwa moja kwa moja.
Selfish Sturridge anatakiwa awepo kwenye list
 
Captain Hendo kamkosea nn Klopp?Kuna anaye elewa kwa nn?
Mkuu kwani we humuoni alivyo kilaza? Yani sijui aina gani ya mchezaji yule yupo slow, pasi zenyewe hazina macho yani akipata mpira ye kazi kuwapasia walio karibu yake tu pale no vision at all....btw yule alikua anabebwa na BR kwa kuwa ni muingereza na sio kwamba ana uwezo.....huwezi kumpa ucaptain hendo ukamuacha mtu kama skritel kwa kipindi kile.....na ukitaka kujua BR ana uingereza angalia timu yake alivyosajili waingereza.....na alivyofika milner tu akampa u-assistant capt mtu katoka from nowhere nakupewa hadhi ya juu kiasi kile na kuwaacha wakongwe wa timu.......
 
Leo hii mnataka captain wenu aondoke tena vibaya hivyo.

Hata Sir Alex alimponda huyu. Mchezaji hata kudribo mpira hajui. Captain Henderson
Th Name nakubali kuwa Henderson katusaidia sana for past 2 seasons, alikuwa katika ubora (Wake)..but ni mchezaji wa kawaida sana, na hii injury aliyonayo ndo inamfanye acheze kwa kiwango cha chini sana, amekuwa ni weak link kwenye kiungo chetu, hawez kudictate pace, kuanzisha attacks, kutackle, kukimbia na mpira, kuhold mpira etc kikubwa anachokifanya ni kupiga back and sideways passes ambazo zinaharibu movements za team.

ukiangalia MF's za Klopp tangu yupo Mainz na Dortmund utagundua kuwa Henderson hafai kuwa starter, mara ya kwanza nilikuwa nafikiri kuwa gegeANDpressing ingemfaa Hendo kutokana na kazi yake off the ball, but imekuwa ndivyo sivyo..tunahitaji viungo wapya na wazuri ili tuweze kucompete..

LFC, utd, Arsenal, Man city, Chelsea zote zinalegalega kwasababu ya ubovu wa midfield, Midfield ikiwa mbovu lazima team ipotee, Leicester wapo pale juu siyo kwasababu ya Vardy/Mahrez ni kwasababu ya kazi inayofanywa na Kante/Drinkwater ambao wanafanya kazi ya kudefend kwa kina Huth na Morgan iwe nyepesi, sasa sisi tukiendelea kumlea Henderson hatutafika popote..
 
Th Name nakubali kuwa Henderson katusaidia sana for past 2 seasons, alikuwa katika ubora (Wake)..but ni mchezaji wa kawaida sana, na hii injury aliyonayo ndo inamfanye acheze kwa kiwango cha chini sana, amekuwa ni weak link kwenye kiungo chetu, hawez kudictate pace, kuanzisha attacks, kutackle, kukimbia na mpira, kuhold mpira etc kikubwa anachokifanya ni kupiga back and sideways passes ambazo zinaharibu movements za team.

ukiangalia MF's za Klopp tangu yupo Mainz na Dortmund utagundua kuwa Henderson hafai kuwa starter, mara ya kwanza nilikuwa nafikiri kuwa gegeANDpressing ingemfaa Hendo kutokana na kazi yake off the ball, but imekuwa ndivyo sivyo..tunahitaji viungo wapya na wazuri ili tuweze kucompete..

LFC, utd, Arsenal, Man city, Chelsea zote zinalegalega kwasababu ya ubovu wa midfield, Midfield ikiwa mbovu lazima team ipotee, Leicester wapo pale juu siyo kwasababu ya Vardy/Mahrez ni kwasababu ya kazi inayofanywa na Kante/Drinkwater ambao wanafanya kazi ya kudefend kwa kina Huth na Morgan iwe nyepesi, sasa sisi tukiendelea kumlea Henderson hatutafika popote..
Nimekuelewa sana MosDef timu bila viungo wazuri ni tatizo kubwa maana wapo ndo wanaunganisha timu mzima. Ila Henderson mpe japo hata msimu unaokuja basi.

Je nani atachukua nafasi?
 
Hebu nitajie hata wachezaji watatu wanaofit philosophy ya Klopp.
kwa pale LFC wachezaji watatu ambao wanafit philosophy ya Klopp haswa bila upendeleo ni Emre Can, Firmino na Origi


kwa upande wa CB's naona Ni Lovren ndo kanufaika zaidi..coz kazi kubwa aliyopewa Lovren ni kuchukua/kukaba mipira kutoka kwa opponents na kuituma moja kwa moja kwa Sakho ambaye ndiye tunayemtegemea katika foward passes, sasa imagine kama tungekuwa na ball playing Midfielder mzuri, akina cou na wenzake wangenufaika sana, tatizo ni henderson akipewa pass katika open space anairudisha tena kwa sakho/Can, jana ile first half si uliona alichokuwa anakifanya Allen, ile ndo kazi ya ball playing Mid..na kwa upande wa pili uliona jinsi Wanyama alivyoibadilisha game kipindi cha pili, hayo mambo mawili yanaelezea umuhimu wa kiungo kizuri kwenye team.

LFC haijawahi kuwa na kiungo kizuri tangu 2009.
 
Nimekuelewa sana MosDef timu bila viungo wazuri ni tatizo kubwa maana wapo ndo wanaunganisha timu mzima. Ila Henderson mpe japo hata msimu unaokuja basi.

Je nani atachukua nafasi?
Henderson kama anabaki LFC, abaki kama Squad player na siyo starter, hafai kuwa starter kwa sasa au msimu ujao..

Klopp analijua hilo ndo maana tumekuwa linked na viungo wengi sana Recently, but kuna dogo nahis tunakaribia kumsign Piotr Zielinski, ni creative/b2b/ball playing mid ambae anafit zaidi katika aina ya mpira wa Klopp, Emre Can wakati yupo Germany alikuwa ni B2B mid, but alivyokuja England BR akawa anampanga kama LCB, lakin klopp alivyokuja akawa anampanga kama B2B lakin akaonekana kupwaya sana kama unakumbuka, Klopp akambadilishia role, Sahiv Emre Can anacheza kama DLP, sasa anahitaji partner aina ya Zielinski/Gundogan kutengeneza kiungo imara..
 
Henderson kama anabaki LFC, abaki kama Squad player na siyo starter, hafai kuwa starter kwa sasa au msimu ujao..

Klopp analijua hilo ndo maana tumekuwa linked na viungo wengi sana Recently, but kuna dogo nahis tunakaribia kumsign Piotr Zielinski, ni creative/b2b/ball playing mid ambae anafit zaidi katika aina ya mpira wa Klopp, Emre Can wakati yupo Germany alikuwa ni B2B mid, but alivyokuja England BR akawa anampanga kama LCB, lakin klopp alivyokuja akawa anampanga kama B2B lakin akaonekana kupwaya sana kama unakumbuka, Klopp akambadilishia role, Sahiv Emre Can anacheza kama DLP, sasa anahitaji partner aina ya Zielinski/Gundogan kutengeneza kiungo imara..
Bora wafanye hivyo. Kila LA kheri katika shughuli yakuwatafuta hao viungo mnaowataka ili timu yenu iwe nzuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom