Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ndio manaana yake hatulii Na yeye ndio hajui kusimama line back 4 akichemsha anasababisha wote nyuma wapate tabu, kaniuzi ILA Klopp naye Leo kachemsha upangaji na usimamizi WA timu. Bora Ligi iishe Tu! Skertel kazi kukimbia Na kuvuta mashati Na ndio anasababisha mpaka Sakho anakuwa mbovu wakali game ngapi alitulia.
Umeona lile goli la kwanza la saints Sakho alifanya kucover nafasi ya skrtel ili kuokoa jahazi ila wapi
 
Points 3 za leo zimeniuma sana!
Klopp leo alikosea kwenye sub!Mpe Kolo nafasi badala ya Skrtel

Anyway ndiyo soka!
 
I blame Klopp today for his poor substitution,... why he enters Skrtel with no reason,...

Haikuwa for no reason lovren alionekana kupata red kama angeendelea tatizo ni uchaguzi wa klopp ningemchagua kolo over skrtel

where is milner

He's another jipu tho.. all in all ni injury

why he doesn't start Henderson....

He's another jipu tho... ila pia klopp inaonekana hafurahishwi naye kama uliangalia vizuri mechi alikuwa anataka amuingize sekunde chache kabla ya goli la 3 tulipofungwa tu aka-change uamuzi akamleta Ojo ndani
 
Leo ndo imejulikana shida kwenye backline yetu siyo Lovren wala Sakho ni skrtel. Leo kaingia tu na kutoa penati all 3 goals he was at fault.

I hope next mechi atakuwa kwenye bench tu haiwezikani uingie wewe tu 45 minutes tunapigwa 3
He's real disaster ... klopp must sell him like BR did to Agger too stupid
 
Duh Leo skertel kauzi wengi watu twitter wengine I wish he die wengine he is worst than Hitler, Skertel kaja kuharibu kazi nzuri iliofanywa Na wenzake week mbili zote nyuma ILA Mie pia namlaumu Klopp kidogo bora Kolo Na Kati Hendo hapo naye aondoke Hendo.
 
Skrtel mkataba wake ni pay as you play!Liverpool wakatize mkataba huo aondoke tu bure
 
Duh Leo skertel kauzi wengi watu twitter wengine I wish he die wengine he is worst than Hitler, Skertel kaja kuharibu kazi nzuri iliofanywa Na wenzake week mbili zote nyuma ILA Mie pia namlaumu Klopp kidogo bora Kolo Na Kati Hendo hapo naye aondoke Hendo.

Juzi kati tu hapa mlikuwa mnajidai kuwa Skirtel karudi backline yenu itaimarika kwa kumbench mzee wa maboko Kolo, now anaonekana mbaya kisa mistakes za kimichezo?? Soccer ndivyo lilivyo leo anacheza vizur next game anazingua. Tuvumilane wakuu. Poleni anyways.
 
Juzi kati tu hapa mlikuwa mnajidai kuwa Skirtel karudi backline yenu itaimarika kwa kumbench mzee wa maboko Kolo, now anaonekana mbaya kisa mistakes za kimichezo?? Soccer ndivyo lilivyo leo anacheza vizur next game anazingua. Tuvumilane wakuu. Poleni anyways.
Hahahaaaaaa chifu utawaweza hawa watu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom