Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Oh ma dear Jogoo its Xmass time tho, muda msimu ambao lazima uchinjwe hasa unapokuwa umenona, pole weee!!!!
 
Hii ngumu kumeza.

Tuanze kumjadili Klopp. Conclusion yangu ni kuwa kuna very thin line ya kuwatofautisha Klopp na Rodgers.

Kama Suarez asingeondoka na Sturridge kuumia, tungeweza kuchukua EPL na pia kufika mbali sana kwenye UCL kwenye season ya 2014/15. Kilichomfanya Klopp awike B Dortmund ni mchango binafsi wa Lewandoski na Gotze, walipoondoka hawa Klopp na Dortmund yake wakaangukia pua!
 
Liverpool fans praised Jurgen Klopp when
they beat Chelsea and Manchester City,
but the players "aren't his signings" when
they lose.
 
Hii ngumu kumeza.

Tuanze kumjadili Klopp. Conclusion yangu ni kuwa kuna very thin line ya kuwatofautisha Klopp na Rodgers.

Kama Suarez asingeondoka na Sturridge kuumia, tungeweza kuchukua EPL na pia kufika mbali sana kwenye UCL kwenye season ya 2014/15. Kilichomfanya Klopp awike B Dortmund ni mchango binafsi wa Lewandoski na Gotze, walipoondoka hawa Klopp na Dortmund yake wakaangukia pua!

Klopp sio kocha mbovu but hii ligi ni tofauti sana na nyingine,On my view Carlo Anceloti angewafaa sana kuliko Klopp
 
Liverpool Poleni 😼😃😃😃😃😃😃😃😃😃⚽️⚽️⚽️🚶🚶🏃🏃🏃🏃🚶🚶🚶😼😼😼😼😼😼😼🙋
 
Watford wamevuna mazao(klopp) yao leo kutoka kitalu cha majogoo ya Malafale. Watford walicheza kama wanacheza fainali ya Uefa.

Mimi kilichonifurahisha ni uwanja...hali ya uwanja. Ni msimu wa mvua huu lakini uwanja unatoa vumbi na mpira ukidunda ni sawa na kugonga sakafu ya zege.

Enzo umeona maajabu ya timu za shamba?

Nani anaogopa majoogoo?

Ni majogoo au majongoo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom