MosDef
JF-Expert Member
- Mar 13, 2014
- 8,420
- 17,183
Kuna kipindi nilisikia mnasema Lucas ni mzuri kuliko Morgan, bado mna yaamini maneno yenu?
Siajabu hujui hata Postioning ya Morgan uwanjani. manake ungekuwa unaijua usingekuja na hiyo kauli.
Kuna kipindi nilisikia mnasema Lucas ni mzuri kuliko Morgan, bado mna yaamini maneno yenu?
naomba hili swali akujibu Ed n Edd nEddy
Duh!!! Poleni sana Rafiki zangu Ed n Edd nEddy sijui leo umejificha wapi? My kaka naona jogoo hili lishakuwa la kizungu mchinjaji hana tabu..... Pazi na mak89 take it easy league ngumu..... wembeee na fredricko khaahahhhhahahahahhah hii ndo gege style, kujeni basi msiwe mnajificha bana!!!!
teh teh are you serious?Hahaaa mkuu lucas is the best
teh teh are you serious?
I can see it teh teh120% no worries
WELCOME TO ANFIELD Marco GRUJIC
~~DILI YAKAMILIKA RASMI SASA~~
**Marko GRUJIC akubali Mkataba wa Miaka Mitano**
>>Kufanya vipimo wiki ijayo.
Ian Ayre alilipotiwa kusafiri wiki iliyopita kwenda malizia mazungumzo Na Red Star Brigade ya Serbia,hatimae dili imekamilika Na Dogo Grujic amekubali mkataba wa miaka mitano ss hapo ANFIELD.
Huu ndio unakua usajili wa kwanza KBS wa Meneja huyu wa Kijeruman BOSS Jurgen KLOPP,Grujic atasafiri wiki ijayo kuja malizia vipimo hapo Melwood.
>>haya haya Wadau KLOPP ndio anaianza safari ya kuijenga au kuibadirisha LIVERPOOL.
#nn maoni yako juu ya usajili huu ambao sasa rasmi.
I can see it teh teh
hapana aiseeNaona umecheka kiuongo
Tisha-TOTO comments zako zimenisikitisha sana.
Am annoyed, and when am annoyed like this I say it as I see it. I want LFC to be successful once more.
Klopp must put his act together, and fast. Like any other Kop, I was expecting a lot better from him - not this shiite.
Anyways, acha ninyamaze sasa. Nitarudi kuanza kuchangia hapa nitakapoona stats (zinazo-matter) za Klopp zitakapokuwa better than BR's.
Kila la heri.Tupo kwenye transition baada ya BR kutuletea wachezaji wa hovyo hovyo,Klopp will make us better
Red Star's sporting director Zvezdan Terzic says Marko Grujic will sign with #LFC in three days. Says he'll wear No 8.
Annual salary: ?1.2m
Hii inaonekana klopp anapanga kumtumia dogo first team....milner atafute seatbealt kweny bench
Inasemekana buvac ana hasira sana na ndie anaeongea na players wakicheza ovyo....
Jana klopp hakuongea. Buvac aliwamind players na kuwaambia wanatakiwa kufight for their future. ....Dirisha kubwa ni kusafisha makapi yote kabisa