ENZO
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,248
- 1,745
Hii ngumu kumeza.
Tuanze kumjadili Klopp. Conclusion yangu ni kuwa kuna very thin line ya kuwatofautisha Klopp na Rodgers.
Kama Suarez asingeondoka na Sturridge kuumia, tungeweza kuchukua EPL na pia kufika mbali sana kwenye UCL kwenye season ya 2014/15. Kilichomfanya Klopp awike B Dortmund ni mchango binafsi wa Lewandoski na Gotze, walipoondoka hawa Klopp na Dortmund yake wakaangukia pua!
Cc. Ed n Edd nEddy
Last edited by a moderator: