Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kweli watani zetu mmechoka, mnafikia kumuaga the legend SG kwa kipigo cha nusu dazani!
 
sijaangalia game ila nahis rodgers na maneno yake yale yale;: af hawa wachezaj ari ilipotea zaid pale walipofungwa na astonvilla kwenye semifinal:; rodgers nakuchukia
 
Rodgers yupo tayari kutimuliwa,kazi imebaki kwa FSG kumchinja
 

Attachments

  • 1432487322648.jpg
    1432487322648.jpg
    39.4 KB · Views: 198
tunakomalia kubaki na sterling halafu tunauza Lucas

BR akili ziko ma@tak0ni

sawa kabisa mkuu;; ila pole sana kwa steve G maana tokea alivorud kutoka injury games almost zote kaangushwa na wenzake
 
Thanks God match hii si kwenda kuingalia ... Ila am truly shocked nilipoona haya matokeo 5 goals in first half nasikitika kuona time ya Gerard ilivyoisha vibaya deeply sorry

Kwa Mara ya kwanza after many years nimejikuta chozi likinitoka, asipofukuzwa BR tukawa nae next season nahisi itakuwa ndo Mara yangu ya kwanza since nianze kushabikia LFC kutoangalia game hata moja

Very disappointed, tunakua humiliated na Stoke.....!!!!!
 

Attachments

  • 1432487309095.jpg
    1432487309095.jpg
    39 KB · Views: 220
Thanks God match hii si kwenda kuingalia ... Ila am truly shocked nilipoona haya matokeo 5 goals in first half nasikitika kuona time ya Gerard ilivyoisha vibaya deeply sorry

Kwa Mara ya kwanza after many years nimejikuta chozi likinitoka, asipofukuzwa BR tukawa nae next season nahisi itakuwa ndo Mara yangu ya kwanza since nianze kushabikia LFC kutoangalia game hata moja

Very disappointed, tunakua humiliated na Stoke.....!!!!!

Mtani pole sana umenifanya na mimi machozi yanilenge........mtani pole sana, mtani yataisha tu....
 
Thanks God match hii si kwenda kuingalia ... Ila am truly shocked nilipoona haya matokeo 5 goals in first half nasikitika kuona time ya Gerard ilivyoisha vibaya deeply sorry

Kwa Mara ya kwanza after many years nimejikuta chozi likinitoka, asipofukuzwa BR tukawa nae next season nahisi itakuwa ndo Mara yangu ya kwanza since nianze kushabikia LFC kutoangalia game hata moja

Very disappointed, tunakua humiliated na Stoke.....!!!!!

Pole sana. Rodgers asipofukuzwa msimu ujao mnashuka daraja
 
Nilitamani itokee hivi, sasa nawasikiliza hawa FSG watasemaje....Dah Asante sana Stoke City kwa kukoleza moto
 
kuna mdau humu alitaka tufungwe saba bila... yule jamaa nilimpinga ila kwakweli nimemuelewa

for the first time, 90% ya liverpool supporters thet want him fired
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom