Mr. Wise
JF-Expert Member
- Jul 23, 2012
- 7,733
- 6,469
There is a big difference between real and fake, serious and joke!...Thanks for a joke buddy.
There is a big difference between real and fake, serious and joke!...Thanks for a joke buddy.
mkuu sala zimesikilizwa
Mtani pole sana umenifanya na mimi machozi yanilenge........mtani pole sana, mtani yataisha tu....
Pole sana. Rodgers asipofukuzwa msimu ujao mnashuka daraja
mkuu sala zimesikilizwa
LOL..
![]()
"Defending is not hard to coach. It's very easy to set a team up to defend." - Brendan Rodgers (2014)
Do you remember this? Ilikuwa baada ya Mourinho kutupiga 2 nil Anfield na tukashindwa kubeba ubingwa... Lakini he's never been successful on it.. Maybe in day dreams.
Liverpool has an assembly of brilliant defenders in it's tank kuliko most teams in epl..
Few to mention
Sakho
Skrtel
Moreno
Lovren
Toure
Manquillo
Johnson
Ukiweka na injury proned Flanagan na Enrique..
Mpaka tumetoa wengine kwa mkopo ambao walitucost pesa na wengine wa Academy ambao they'd once made it to the first team.
Ilori
Wisdom
Robinson
Coates
Smith
Yet defensively we are worst kuliko Manchester United iliyomtumia McNair na Blacketts for most of his games na akina Valencia..
Then BR is calling himself good in defense na kuifanya kazi ya defense Kuwa rahisi.
I never thought in a million years we can lose to a mediocre team kwa goli sita... Never!Kabisa Mkuu, sema tu haikua Saba nilizotamani. Pl'se FSG we are waiting to hear from You.
I never thought in a million years we can lose to a mediocre team kwa goli sita... Never!